Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Ighalo mitano tena.

Adjustments.jpg
 
Last season nilikuwa natamani tucheze kila siku, nakumbuka siku ambayo tunacheza nilikuwa naamka nimechangamka balaa, full raha.

Jioni unaangalia mechi kwa burudani sana.

Sasa hivi unatamani siku ya game isifike.
 
Unatung'ong'a , wewe sio mwenzetu.
Mimi ni Liverpool HALISI mwandamizi chini ya mwenyekiti wetu tukuka bwana Malafyale.

Sisi ni wazee wa kushikamana, ambao hatuoni umuhimu wa kusajili wachezaji wapya, hawa waliopo chini ya Captain wetu Henderson wanatosha.

Hutaki unaacha.
 
Kwani umelazishwa?
Kuna watu hata ukiwapa offer ya bia watatamani wakanywe mataputapu ili chenji aamke nayo asubuhi.
Mim binafsi naamin title contenders mpaka sasa ni

Liverpool na man city

Full stop

Swala la utd kubeba EPL ,akili inakataa kabisa ,
 
Mfungeni spurs, man city na Leicester then potezeni na westham na Brighton, mutakuwa mumeifanyia Dunia jambo LA maana.

No, Bora Man City na Leicester watupige za kutosha tu then Waliobakia tutoe sare.
Sisi kama hatuna uwezo haina haja ya kuwaharibia walio na uwezo.
 
Mfungeni spurs, man city na Leicester then potezeni na westham na Brighton, mutakuwa mumeifanyia Dunia jambo LA maana.

Kwa game za round ya kwanza tulivyocheza na hizo timu .game yakupoteza labda na spurs ila hizo zingine ni ushindi tu,kuanzia game na man city.
 
No, Bora Man City na Leicester watupige za kutosha tu then Waliobakia tutoe sare.
Sisi kama hatuna uwezo haina haja ya kuwaharibia walio na uwezo.

Mkuu kwa mechi za round ya kwanza zilivyo kuwa city na leicester hawana uwezo wa kutufunga Mechi ya round ya pili .hao Brighton tunamalizana nao mapema kabisa hao ,ile sare refa aliwabeba na goli lao la penalty lisilo eleweka mpira uko mbele kule wanasema eti kuna penalty ilitokea nyuma huku.

Game ngumu hapo ni na spurs tu.lakini liverpool mechi kubwa hizo tunapambana tunaondoka na point.

Kwa huo muda tutakao kutana nao tutakuwa tumesharekebisha mapungufu yetu.
 
Pamoja na yote ,ukiangalia vizur kwa jicho la tatu ,Liverpool bado wanacheza kibingwa ,ukilinganisha na mbinu za kocha mzoefu klop

Harafu ile table ilivo sio ya kujivunia et uko top ,never

Liverpool wanakosa kitu kidogo tu finishing ,kuhusu kutengeneza nafasi bado wapo vizur .

Timu bado ina sprit ya ubingwa ,team yeyote kuna muda mpira unawakataa kabisa ,then wanarudi kwenye form

Mashabiki wa manyumbu ndio wanapiga kelele kiasi kwamba Mashabiki wa liverpool wanapata wasiwasi kwamba hawana nafasi nawakati ukiangalia utofauti uko Kwenye mechi walizopata sare liverpool ana sare 7 Manyumbu wana sare 4 tu kufungwa wamefungwa mechi 3 wote city kafungwa mechi 2 tu mpaka sasa.

Hapo kuna mechi tatu liverpool alipata sare Manyumbu walishinda ndio utofauti uliopo .hata hizo sare za liverpool marefa na VAR ndio waliohamua maana westbro wanafunga goli ambalo ilikuwa ni faulo,Newcastle goli kipa anamshika mane asiuwahi mpira aende akafunge unaona Kabisa lakini refa anaacha tu ,mechi na everton hivyo hivyo wanakataa goli eti ni offside,goli la namna hiyo hiyo timu nyingine wanapewa goli.

Sasa tunakuja kwenye mechi za round ya pili ndio zinakuwaga ngumu sana na huko liverpool ndio watakuwa imara sana wachezaji wake wengi watakuwa wamerudi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom