Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Humu ndani leo nataka nitembeze kichapo mpaka mucheuwe.
EPL si ulibana mapaja?
Jaribu tena na leo huo upuuzi wako kama sijachana kichupi chenyewe hicho.
 
‘Usipkuwa na team wkt inafanya vibaya,usitushangilie wkt team inafanya vizuri-Bill Shanky’
Liverpool HALISI Klopp kajenga dyanasty kiasi kwamba team ikifungwa huwa gumzo la dunia,wkt team yetu ilipokuwa laughing stocks tulikuwa hatuchekwi tukipoteza

Nawaomba tu Liverpool HALISI tuwe pamoja na team,tuwaachie hawa fakers waendelee kuitukana team
Pamoja tunaweza!
Sawa mwenyekiti, tumekusikia
 
Sawa mwenyekiti, tumekusikia
Klopp mwenyewe analialia huko anasema anaongelea usajili kila siku na uongozi ila sasa pesa hatoi yeye wala hana mamlaka ya mwisho juu ya pesa za usajili yeye anaishia kwenye ushauri tu... Ukiona Klopp anasema hayo ndio ujue ndani kimenuka hapumui na sera mbovu za FSG.... Ni ujumbe sahihi kwani bado muda upo wa kumsapoti sokoni...

Msomeni humu.. 👇 👇


YNWA
 
Bora mbaya wetu kamulikwa wazi hadharani

Klopp mwenyewe analialia huko anasema anaongelea usajili kila siku na uongozi ila sasa pesa hatoi yeye wala hana mamlaka ya mwisho juu ya pesa za usajili yeye anaishia kwenye ushauri tu... Ukiona Klopp anasema hayo ndio ujue ndani kimenuka hapumui na sera mbovu za FSG.... Ni ujumbe sahihi kwani bado muda upo wa kumsapoti sokoni...

Msomeni humu.. 👇 👇


YNWA
 
Klopp mwenyewe analialia huko anasema anaongelea usajili kila siku na uongozi ila sasa pesa hatoi yeye wala hana mamlaka ya mwisho juu ya pesa za usajili yeye anaishia kwenye ushauri tu... Ukiona Klopp anasema hayo ndio ujue ndani kimenuka hapumui na sera mbovu za FSG.... Ni ujumbe sahihi kwani bado muda upo wa kumsapoti sokoni...

Msomeni humu.. 👇 👇


YNWA

Tena analialia hadharani kuwa kaomba CB kaambiwa hakuna hela.

Inaonesha Klopp hataki tena kufanywa mbuzi wa kafara na matajiri.

Matajiri walikuwa wanagoma kutoa hela then lawama zote za usajili anabeba Klopp wao wanabaki safe, but marahii Klopp kaona bora awaweke wazi FSG kuwa ndiyo wanaokwamisha usajili.

Lakini nimehisi kugundua kitu kwenye hili! Kitendo cha Klopp kuwasema wazi FSG ni dalili ya Klopp kuwachoka hawa jamaa na ni dalili ya kufika hatima ya kufanyanao kazi.
 
Unataka msaada kutoka kwetu,Pambaneni wenyewe sina mna timu ya kuchukua Ubingwa.
Mkuu kuliko man city abebe bora hata Leicester..kama sisi Chelsea tukishindwa basi abebe Man u tu ..au unasemaje hahaha
Klopp amkazie Man City, apigwe na Leicester halafu atowe droo na hao wengine..

Ova.
#CFC
 
Humu ndani leo nataka nitembeze kichapo mpaka mucheuwe.
EPL si ulibana mapaja?
Jaribu tena na leo huo upuuzi wako kama sijachana kichupi chenyewe hicho.
Piga hizi kuku saivi zina kideri na mafua ..maana najua nyie ni wateja wetu tu
 
Tena analialia hadharani kuwa kaomba CB kaambiwa hakuna hela.

Inaonesha Klopp hataki tena kufanywa mbuzi wa kafara na matajiri.

Matajiri walikuwa wanagoma kutoa hela then lawama zote za usajili anabeba Klopp wao wanabaki safe, but marahii Klopp kaona bora awaweke wazi FSG kuwa ndiyo wanaokwamisha usajili.

Lakini nimehisi kugundua kitu kwenye hili! Kitendo cha Klopp kuwasema wazi FSG ni dalili ya Klopp kuwachoka hawa jamaa na ni dalili ya kufika hatima ya kufanyanao kazi.
So sad kaka Klopp ni bonge la kocha aisee mpaka ukiona anasema laivu bila chenga ndio ujue amechoka na kabla meli haijazama tukajikuta kushiriki Europa msimu ujao amenena mapema kusudi lawama mwisho wa siku ziwe kwa FSG...

Usajili bado tupo ndani ya muda na taarifa za kimtadao ninkwamba mawakala wengi wamemcheki Edwards wakitaka wafanye biashara za CB ajabu sasa wanajibiwa short hatuhutaji kununua CB sasa... Sasa unajiuliza hawa FSG hawaangalii mechi kuona timu imekatika hakuna ile playing as unit ambayo ndio imetupa mafanikio makubwa zaidi na sio kutegemea mchezaji mmoja mmoja aokoe jahazi..

FSG ni shinda yao nadhani hawajipa muda kuelewa vyema EPL.. Namna ya kujenga continuity... Huu ubahiri unaturudisha kule kule kwa kwa zamani if not addressed mapema...

Ilikua mistake kumtoa Lovren bila usajili a new CB huku wakijua fika Gomez na Matip are made of Indian biscuits...

Ile mistake ya Pep kumtoa Kompany bila kusajili yametukuta.. Pep alimtoa Kompany aafu akaja uumia Laporte na msimu wao ukaishia pale pale.... Ifahamike baada ya lile jeraha mpaka sasa Laporte hajawai kurudi kwenye kile kiwango chake cha 2018-2019 na Pep kuona vile akaingia sokoni na kununua wawili kwa mpigo Ake na Diaz na matokeo yao yanaridhisha...

Tuwe tayari kufahamu VVD might not be the same again guys anaweza kua Keita mwingine anapona leo kesho huyoo kwa dokta wiki 3 nk... Kwa uchezaji wa Klopp wa highline defence inawafanya back line wetu wakimbie muda mwingi hivyo match na physical fitness is of the essence... Hivyo msije shangaa VVD akawa kama Gomez na ndio maana Klopp anatuma ujumbe huu mapema apewe sapoti ya kutosha kwa vile yeye sio miracle worker anahitaji kuwezeshwa...

YNWA
 
Bora mbaya wetu kamulikwa wazi hadharani
Hahaha kama noma iwe noma lol... Klopp kaona akaa kila press interview anabanwa yeye na mambo ya usajili akaamua kuweka mambo wazi...

Hapa sasa mashabiki washajiridhisha nani anamkwamisha Klopp na si wengine mbali ni beberu FSG

YNWA
 
Wakuu kwema.
Naona upepo haupo kabisa upande wetu week hizi shida ninj? Captain Marvelous
Upepo umekata ndugu...

Hua inasemekana January na February ndio miezi mimbaya sana kwetu kimatokeo uwanjani lakini hii ya sasa imezidi ndugu mechi 5 bila majibu ni aibu ukizingatia tulikua favourite kuchukua ubingwa tena...

Mengi yamesemwa lakini bado hatuona matokeo yakiridhisha kwetu...

Cha msingi vijana waongezee bidii mazoezini ili kurudisha ukali uwanjani ni hilo tu hakuna namna maana mpaka sasa usajili ni kama haupo labda baada ya Klopp kuwanyooshea kidole FSG wata react sasa na kumsa sapoti sokoni...

Wachezaji wengi tu wanapelekwa Liverpool na mawakala wao wakitaka kuwauza ama mkopo lakini Edwards anawaambia hahitaji kusajili..

Utashangaa sasa yupo bizy kumwongezea mkataba VVD badala awe bizy na mabosi wake kuingia sokoni kupata angalau CB mmoja kusudi Fabby arejee DM yake na pengine tupate namba 9 mmoja... Jota alipata jeraha ya goti na majeraha ya goti hua yana kawaida ya kujirudia instantly yaani usije shangaa Jota akaanza tena aafu akaumia tupo kwenye wakati tough sana na wachezaji wawili VVD na Jota...

Ngoja tuone kama leo wachezaji watazidukia Old Trafford leo...

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom