kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,694
- 20,648
Mimi sio Liverpool sasa.Nakushauri achana na hawa wahuni wanao tukana team
Soka ina matokeo matatu
Liverpool HALISI tuzidi shikamana mambo mazuri Klopp ataleta
Mimi sio Liverpool sasa.Nakushauri achana na hawa wahuni wanao tukana team
Soka ina matokeo matatu
Liverpool HALISI tuzidi shikamana mambo mazuri Klopp ataleta









Most likely huu ubingwa akachukua GuardiolaWatu wanasahau kuwa tokea mwaka 2020 uanze points alizokusanya United kwenye EPL ni something else..wanajisahaulisha na huku wao wakiendelea kupoteza points tu..2 points kwenye last 3 epl matches ndo mlichovuna
Mlisema hamfungwi na timu iliyopo top ten..iko wapi sasa hiyo jeuri?
Hata hapo Anfield its just a matter of time mtatoboka soon..
Veey interesting to be fact... Wachezaji wengi wa liverpool wamechoka kimwili na kiakili weka majeruhi n.k... Kimbia kimbia non stop ya misimu mitatu mfululizo si mchezo.Ukifanya analysis ya timu moja kwa game 17 za mwanzo last season na season hii, ni Manchester United peke yake ambaye anakuwa na +.
City anabaki alipo (assuming viporo vyake ameshinda)
1. Liverpool: 49 kwa 33: -16
2. Leicester: 39 kwa 29: -10
3. Manchester City: 35 kwa 35 (assuming viporo ni ushindi): 0
4. Chelsea: 29 kwa 26: -3
5. Spurs: 26 kwa 26: 0
6. Manchester United: 25 kwa 36 (kama akishinda kiporo chake): +11.
Doesn't this tell you something?
With that look, ni kwamba Liverpool amedrop sana.
Man Utd yuko on the massive plus. City yuko alipokuwa mwaka jana.
Ndo maana nikasema, bado timu ziko pale pale isipokuwa Liverpool kashuka sana.
Pole sana kwa kupenda matatizo Chifu.YNWA
I love this team
So so much
YNWA Ynwa![]()
Yaokote hayo maplastiki ukayauze wala si laana bali ni ajira binafsi nzuri tu, haina kodina inalipa mno kuliko ile ya Leonada Mangi wa Dar City.Maplastiki ya chelsea yameibukia huku
Yaah kaka kufungwa kunauma sema labda inaweza kumshtua kocha na uongozi. Hope matokeo mabovu yalete sababu ya sajili mzuriGame ya jana Soton walikuwa wazuri kutuzidi.
Hicho ndicho nachoweza kusema.
Safari bado ni ndefu ila msimu huu sioni matumaini, labda hii loss ilazimishe aletwe beki ili Fabinho arudi kiungo.
Yaani hizi kuku kubanguliwa, nimelala usingizi mnono
Yaah kaka kufungwa kunauma sema labda inaweza kumshtua kocha na uongozi. Hope matokeo mabovu yalete sababu ya sajili mzuri
tukutane mwisho wa msimuKombe la kiganga labda
Sogea mitaa yetu ya Emirates ujifunze kuzoea misiba na maziko 😀Hatuna uzoefu na misiba, tunaulizia utaratibu mzuri kutoka kwa majirani wazoefu
Veey interesting to be fact... Wachezaji wengi wa liverpool wamechoka kimwili na kiakili weka majeruhi n.k... Kimbia kimbia non stop ya misimu mitatu mfululizo si mchezo.
Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app
Sogea mitaa yetu ya Emirates ujifunze kuzoea misiba na maziko 😀
Msimu huu kwenye EPL kumetokea ushindani wa hali ya Juu Sana. Hakuna mwenye uhakika wa ushindi hadi sasa.Most likely huu ubingwa akachukua Guardiola
Zifunge timu kubwa kwa ndogo sio ndogo tu ndio labda uchukue ubingwa
Msimu huu Spurs anawafunga nje ndani, Round ya pili Emirates stadium hamshindi ,Chelsea pia sidhani kama mtamfunga msimu huu
Mwanzoni ilionekana pengo la Virgil Van Dijk but ukweli wachezaji wengi wamekumbwa na fatigue kutokana na kushirikia michezo mingi.Kwa upepo ulivyo nitaanza kuzoea mkuu.
Kwenye Game of Thrones, The Starks wana msemo wao wa 'Winter is Coming'.
Noma sana.
Winter has come.
To remind you, winter period is twice as long as summer.
I doubt whether we will still be on the throne by the time winter is over.
Winter came too early, we were not prepared for it.
Leo utaongea mpaka kihaya.
PlastikiYaokote hayo maplastiki ukayauze wala si laana bali ni ajira binafsi nzuri tu, haina kodina inalipa mno kuliko ile ya Leonada Mangi wa Dar City.
Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app