Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Man Utd ana kiporo cha Burnley, City nadhani kiporo chake ni cha Astonvilla, na hiki kilichoongezeka cha Everton.
Maisha yanabadilika sana.

Muda kama huu msimu uliopita tayar ligi imeisha mapema tu.

Mechi zikilingana na hawa wa juu washinde zote..ligi itakua na ladha!

Viporo vinakera sana mana unajiaminisha kama liverpool kua uko juu kumbe mwingine ana mechi 2 mkononi na anazidi kushinda.
 
Maisha yanabadilika sana.

Muda kama huu msimu uliopita tayar ligi imeisha mapema tu.

Mechi zikilingana na hawa wa juu washinde zote..ligi itakua na ladha!

Viporo vinakera sana mana unajiaminisha kama liverpool kua uko juu kumbe mwingine ana mechi 2 mkononi na anazidi kushinda.

Huu msimu naona dalili za kulikosa kombe kwa kukimbiza upepo kama ilivyokuwa 2018/19 dhidi ya City.

Unakaa juu, unazembea watu wanapita ndo akili inakuja.

Nakumbuka baada ya kupitwa na City hatukutoa sare hata moja, zote ilikuwa ushindi.
 
This where we are so far this season..

Screenshot_20210103_215748.jpg


The attacking side of Robbo is the deal this season.. Trying and trying..
Screenshot_20210103_215844.jpg



YNWA
 
Huu msimu naona dalili za kulikosa kombe kwa kukimbiza upepo kama ilivyokuwa 2018/19 dhidi ya City.

Unakaa juu, unazembea watu wanapita ndo akili inakuja.

Nakumbuka baada ya kupitwa na City hatukutoa sare hata moja, zote ilikuwa ushindi.
Sasa msimu huu eti nae Aston Villa yuko serius kuhusu kombe!

Au Aston Villla huifaham?
 
Ndio maana me nawashangaeni munao muomuogopa Man city.
City ana viporo vigumu vitupu.
Apo kwa Evaton hakatizi, mungu mmoja.
Man Utd ana kiporo cha Burnley, City nadhani kiporo chake ni cha Astonvilla, na hiki kilichoongezeka cha Everton.
 
Mkuu Don Clericuzio ukweli ni kwamba Manchester City na Manchester United ndio competitor wetu aisee hawa Chelsea na wengine nafasi zao zitaanza kuonekana soon..

YNWA

Man city ndio mshindani wetu,huyo United mashabiki wanapiga tu kelele hawana lolote hao.kelele za mashabiki zisikutishe.

Wako kama timu zingine nilizowahi kuongoza ligi ,wakasema tunachukua kombe.

Wataanza kupoteana tutakapo washushia kipigo kwenye Mechi yetu . Hapo ndio watajiona hawawezi.
 
Klopp Atakua na muda wa kutosha kukaa nao baada ya gemu ya kesho na baada ya gemu ya Aston Villa ngoja tuwe na subira ndugu...

Hao RB sio powa kabisa itabidi tupambane sana maana gemu ya kwanza ni kwao tarehe 16/2/2021 na marudiano Anfield tarehe 10/3/21.

YNWA
.Namuamini Kloo kwenye Game kubwa Anajua kuzicheza vizuri karata
Villa hawataweza kutufunga Tena huko hatujawekeza ila kwaajili Villa lazima tusonge tutolewe na wengine ila cyo Villa

Man From House of God
#LFC
#LFC4LIFE
 
Mkuu unajua haya mambo ya hiki kiwango yalianza kuonekana February 2020 kama unakumbuka vyema hata kabka ya gemu ya UCL vs AT na hata kabla ya kipigo tulichopata dhidi ya Watford dalili ilikua we were heading south big time...

Kipindi kile tulisema we dont care winning ugly as long as we get the jon done and gets the 3 points...

Mzunguko wa kwanza msimu uliopita we were brutal, lethal and accurate na tulijikusanyia pointi za kutosha mno kiasi the chasers were seeing dust sisi haoooooo kunasa la 19 EPL...

Msimu huu sasa we have been caught pants down kwa kweli.. Tazama tulivyo tumecheza gemu 16 EPL..

Tumeshinda gemu 9

Tumepoteza gemu 1

Tumedraw gemu 5

Summarising the above scenario i can honestly say we are in a crisis... Big one..

We have a weak squad especially at the back where by our usual dependables aint go be there for long...

We have a toothless MF who can't provide goals or assist when our usual creators are tamed...

We all know Lbs and RBs in our team are the chief architect for scoring opportunities.. Be its corners of which we have been poor without VVD we ain't converting them to goals or dead balls situation whereby its either Robbo or TAA and they have been poor also in that spot...

Honestly Klopp must be scratching his head big time as the rare chances we are getting aint being conveted to goals..

Now going forward without Jota whats to do..
.. Should Klopp drop one of his mjaor boys for Takumi?

.. Should Klopp keep faith in them as he done with Firmino and at last he scored..

.. Should we enter the market...

.. Should we reshape from 4 3 3 to anonther sytem perhaps with Thiago/Keita/Gini playing as a 8..perhaps
3 4 2 1
4 4 2
4 2 3 1

Ama nini kifanyike ndugu zangu...

YNWA
Jamaa ana wachezaji wake na mfumo wake hapangiwi.

Alishakwama Lijinder ndo kamrudisha kwenye reli naona asaivi kiburi kimerudi tena ngoja tuporomoke.
 
Eti tutatokaje kwa Soton!

Yaani unamzungumzia bingwa mtetezi kama unavyoizungumzia timu ambayo ndo imepanda daraja!

Haya bana, sasa hivi uwanja wa kupiga domo ni wa kwenu.

Hapo soton wanayoiwazia ni ya kina mane ,Virgil.

Hao jamaa kuna muda wanajitoa akili kabisa.

Sasa hivi waache wapige kelele tu,watatulia tu.
 
Mkuu Manchester United sio wa kuwachukulia powa...

They lack the experience sustaining the pressure at the top since for long they haven't been in this good phase..

They now believe they are contenders and that is transpiring kwenye matokeo uwanjani i guess ndio timu yenye ushindi zaidi ya gemu10 kwenye losing position in 2020.. That shows the fighting spirit in the team... Ole has done its as player na ana experience he can share to his young team to keep cool heads..

We are still the favourite man..

We win our games and we are sorted regardless of whats others are doing..

YNWA
Siwachukulii poa wako vizuri kiasi chake..
Lakini Umefikiria pia kwamba Yani Manure achukue ubingwa mbele ya Man city hii! bado kuna balaa lao linakuja juu pale kama kawaida.

Mi nimefikiria msimu huu timu mwenye kikosi kipana atachukua ubingwa plus experience (kuhimili presha ya kuwa juu pale)
Still bado timu za ubingwa ni mbili tu
Liverpool na Man City..hakuna mapya .

20210104-063024_1.jpg
 
Man city ndio mshindani wetu,huyo United mashabiki wanapiga tu kelele hawana lolote hao.kelele za mashabiki zisikutishe.

Wako kama timu zingine nilizowahi kuongoza ligi ,wakasema tunachukua kombe.

Wataanza kupoteana tutakapo washushia kipigo kwenye Mechi yetu . Hapo ndio watajiona hawawezi.
Mkuu kwa kuangalia mpira sawa ila ukitazama data zao zinaonyesha winning kwa 2020 performance yao ipo juu yetu na wameonyesha kuonyesha resilience, character n instant decision making whats its matters...

Sijasema watakua bingwa nimesema tusiwadharau..

Wakati sisi tuna drop points wao wanajikusanyia pointi na ndio maana leo tupo sawa.. Ina maana kama hali yetu ikiwa bado inaedelea hivi na wao hali yao ikazidi kuimarika na kujikusanyia pointi basi mbio za ubingwa ni zao na wengine..

Mpaka sasa ubingwa upo wazi mno hakuna timu yenye uhakika nao ndio maana every 3 points won feels like a jackpot won...

Tuanze kuweka mazingira sawa na ushindi wa leo..

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom