Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Eti tutatokaje kwa Soton!

Yaani unamzungumzia bingwa mtetezi kama unavyoizungumzia timu ambayo ndo imepanda daraja!

Haya bana, sasa hivi uwanja wa kupiga domo ni wa kwenu.
Watu wanaichukulia poa Sana Liverpool

Team yetu ni hatari Sana

Inaweza kukupa matokeo ya kipumbavu au matokeo ya hatari inategemea na mood hapo ndo ujinga unakuja

Ngoja Jota apone wataelewa
 
Siwachukulii poa wako vizuri kiasi chake..
Lakini Umefikiria pia kwamba Yani Manure achukue ubingwa mbele ya Man city hii! bado kuna balaa lao linakuja juu pale kama kawaida.

Mi nimefikiria msimu huu timu mwenye kikosi kipana atachukua ubingwa plus experience (kuhimili presha ya kuwa juu pale)
Still bado timu za ubingwa ni mbili tu
Liverpool na Man City..hakuna mapya .

View attachment 1667076
Kabisa ndugu mwenye wachezaji wenye utayari wa kupambana kwa ajili ya pointi 3 na si kingine basi huyo ubingwa wake hakuna namna...

Kwenye mpira hua sipuuzi timu yotote na sana sana EPL ina matokeo ya kutisha na muda usiyotarajia Norwich alimpiga Manchester City huku Watford akikuchapa safi kwake... Hii ndio EPL haina matokeo ya mfukoni...

La kuhimili presha Ole anaweza kuwa guide vijana wake kwa vile he has done that as a player.. Hii sisi tuliikosa wakati wa 2014 Rodgers hakuweza kusimama vyema kuwatuliza vijana na ku guide kwenye presha...

YNWA
 
Jamaa ana wachezaji wake na mfumo wake hapangiwi.

Alishakwama Lijinder ndo kamrudisha kwenye reli naona asaivi kiburi kimerudi tena ngoja tuporomoke.
Mpira kwenye nimeamini una bahati zake ndugu maana hao unaosema wachezaji wake japo wametupa ubingwa lakini naamini benchi la Manchester City, Barcelona ama Real hawawezi kuliona..

Kinachofanya tusonge mbele hii timu ni mfumo industrial zaidi kuliko individual brilliance...

We turn the draws to wins and we are sorted...

MF leo nimuone Gini Hendo Thiago...

Pale mbele Mane Takumi Salah...

Nyuma Trent Williams Fabby Robbo

Between the sticks ni Philanthropist Allison...

YNWA
 
Jurgen Klopp has warned that Liverpool may not sign a new centre-back in the January transfer window.

Hivi hii kweli ama ni mbinu zile zile aafu tukamnasa VVD...

YNWA
 
Kabisa ndugu mwenye wachezaji wenye utayari wa kupambana kwa ajili ya pointi 3 na si kingine basi huyo ubingwa wake hakuna namna...

Kwenye mpira hua sipuuzi timu yotote na sana sana EPL ina matokeo ya kutisha na muda usiyotarajia Norwich alimpiga Manchester City huku Watford akikuchapa safi kwake... Hii ndio EPL haina matokeo ya mfukoni...

La kuhimili presha Ole anaweza kuwa guide vijana wake kwa vile he has done that as a player.. Hii sisi tuliikosa wakati wa 2014 Rodgers hakuweza kusimama vyema kuwatuliza vijana na ku guide kwenye presha...

YNWA
Mmh Ole kuhimili presha za Pep?
Sawa maajabu yanatokea lakini wachunguze vizuri Man city alaf angalia na upepo ulivyo msimu huu ..
Mfano mwezi huu tu mpaka wa pili mwanzoni,
Game za Man City na Man U.

View attachment 1667168
20210104-094305_1.jpg
 
Man city ndio mshindani wetu,huyo United mashabiki wanapiga tu kelele hawana lolote hao.kelele za mashabiki zisikutishe.

Wako kama timu zingine nilizowahi kuongoza ligi ,wakasema tunachukua kombe.

Wataanza kupoteana tutakapo washushia kipigo kwenye Mechi yetu . Hapo ndio watajiona hawawezi.
Kama kipindi kile Leicester city sio? 😀
 
Mmh Ole kuhimili presha za Pep?
Sawa maajabu yanatokea lakini wachunguze vizuri Man city alaf angalia na upepo ulivyo msimu huu ..
Mfano mwezi huu tu mpaka wa pili mwanzoni,
Game za Man City na Man U.

View attachment 1667168View attachment 1667169
Kila jambo la mwanzo kama ambavyo na sisi tulihimili presha za Pep kwanza tulkwenda nae jino kwa jino mpaka gemu ya mwisho msimu wa 2018 2019 na akatupiga KO kwa pointi moja... Msimu uliopita tukawa moto sana hakusogea hata kwenye kuuwaza ubingwa..

Ninachosema ni kwamba hata hao Manchester City hawakua na consistent mzunguko wa kwanza hivyo hizi zote ni may bes ndugu..

Tulipo sasa ni kila mmoja ashinde mechi zake kaka hilo tu ndio linatupa pointi hakuna namna...

We will never any win trophy with useless draws...

Pale nyuma japo wachezaji wanabadilishwa kila gemu especially right back naona tupo vizuri gemu nne za mwisho wameruhusu goli 2 tu..

Shinda yetu kuu ni kufunga mashuti mengi tunapiga lakini lol goli hatulioni ndugu..

Leo itakua litmus test..

If we prevail the pressure will be on Manchester United kushinda kiporo next week na Burnley aafu showdown inakua Anfield..

YNWA
 
Baada ya mechi 3 za Mwanzo
- Washabiki wa Arsenal walipitia kila Uzi na kujitangazia kua mwaka huu ni Jino kwa Jino kwenye Title Contender.



Baadaa ya Mechi 7 za mwanzo:
  • Washabiki wa Arsenal Wanapigania kutoingia Kwenye Relegation zone huku wakijipiga self Ban.
  • Washabiki wa Chelsea walihamia hapa kujitangazia Ubingwa huku wakirandaranda kila Uzi kunadi wanamtaka Bayern.

Baada ya Mechi 14 za mwanzo:
  • Washabiki wa Chelsea wajipiga self Ban huku wakililia uhai wa Lampard wamalizane nae huku Wanapigania angalau waingie Top 4.
  • Manchester United wanapita kila Uzi na kuanza kujitangazia Ubingwa.

Kinachojitokeza:
- Wote wanahangaika kupambana na Liverpool lakini wanadondoka wao.

Episode itaendelea .................
 
Hawa mashabiki wa hizi timu nimeshawazoea wakishinda game 3 au nne mfululizo wanajiona ni title contenders
Baada ya mechi 3 za Mwanzo
- Washabiki wa Arsenal walipitia kila Uzi na kujitangazia kua mwaka huu ni Jino kwa Jino kwenye Title Contender.



Baadaa ya Mechi 7 za mwanzo:
  • Washabiki wa Arsenal Wanapigania kutoingia Kwenye Relegation zone huku wakijipiga self Ban.
  • Washabiki wa Chelsea walihamia hapa kujitangazia Ubingwa huku wakirandaranda kila Uzi kunadi wanamtaka Bayern.

Baada ya Mechi 14 za mwanzo:
  • Washabiki wa Chelsea wajipiga self Ban huku wakililia uhai wa Lampard wamalizane nae huku Wanapigania angalau waingie Top 4.
  • Manchester United wanapita kila Uzi na kuanza kujitangazia Ubingwa.

Kinachojitokeza:
- Wote wanahangaika kupambana na Liverpool lakini wanadondoka wao.

Episode itaendelea .................
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom