Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mkuu ipo hivi Liverpool ni timu moja ambayo kupata taarifa zake za ndani hua ngumu sana hivyo kinachofanyika muda mwingi ni guess work za hapa na pale yaani zinakua sio verified....

Klopp hata twitter nadhani hayupo...

Sasa ma pundit uchwara wao husoma zaidi matukio ya hapa na pale.. Kwa mfano gemi ijayo Mane akianzia benci watasema kwa vile alionyesha chuki wakati anapewa sub bla bla...

Chini ya Klopp tupo vizuri sana hata wachezaji wakiongea huko yeye wala anatazama output uwanjani na si kingine..

Klopp hapangiwi...

YNWA
Hahah sure umenikumbusha ishu ya Buvac.
 
Nyie fungen hata gori mia


Sisi tunakuja kuchukua epl kimya kimya

Kama tuvilofanya 2018/2019

Tofauti Point 1
 
Klopp on Mane reaction...

He was not angry because Mo came on, he was not happy because maybe he didn’t stay on the pitch until after the free-kick," he said. "You cannot play football like this if you are just a soldier and do everything what the bosses say, they do what I say, but they are human beings and react in a specific way. After the game Sadio was completely fine, it’s all good.”

Klopp the Legend.. Case closed its all good

YNWA
 
Teh teh teh Salah bhana eti ka mind kunyimwa ucaptain ile mechi ya mwisho UCL haha...

Na pia akasema wakija Real Madrid ama Barcelona atawasililiza haha huyu naona hamjui Klopp vyema amuulize Emre Can ama Lewandowski ataelewa kwa nini Klopp hapangiwi...

YNWA

Nimeiona hiyo taarifa ESPN, ni kama anaonesha ametuchoka.

Anafanya invitation kwa Barca na Madrid kum-approach.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom