Miguel Alvarez
JF-Expert Member
- May 28, 2019
- 3,350
- 6,419
Hapo lazima mmoja wao achane mikeka ya watu😂😂Leo namuonea huruma Arseno sijui atachomokaje kwa Everton
Hapo lazima mmoja wao achane mikeka ya watu😂😂Leo namuonea huruma Arseno sijui atachomokaje kwa Everton
Wewe jamaa kwa siku chache nilizokuona hapa jukwaani nimeamini bila Shaka yoyote kwamba wewe ni mzaramo. Si kwa mineno hiyo😀😀😀Ollachuga na Genge lake la Chelsea walikuwa na kiherehere kipindi kile walipoongoza Ligi kwa masaa 24 tu, baada ya Everton kuwarudisha wanapopaswa kuwepo akili imewakaa sawa.
Sure kabisaaa....Thanks buddy ... kwakweli kuwa at the top huu msimu wa krismasi ni jambo la heri....all in all mfumo wa klopp jinsi anavyo wafanyia diversification wachezaji hakika nimeona umuhimu wake.. Mungu ibariki liverpool .. Mungu tubariki wana liverpool wote
Huyo ni King Ngwaba huyo el capitain wa jukwaa la LiverpoolWewe jamaa kwa siku chache nilizokuona hapa jukwaani nimeamini bila Shaka yoyote kwamba wewe ni mzaramo. Si kwa mineno hiyo😀😀😀


Walimbania sana hawa jamaa hasa golokipa asa leo akiona hivi si anatamani kupasukaYupo na Foxes na Vardy ana jambo pale..
YNWA
Hahahahahahahhahahaah atakuwa kapigwa kufuli huyu. Pole mdau mwenzetu.Huyo ni King Ngwaba huyo el capitain wa jukwaa la Liverpool![]()
Hahaha EPL msimu huu haina mwenyewe kila mmoja ashinde mechi zake tu hakuna namna ndugu...Walimbania sana hawa jamaa hasa golokipa asa leo akiona hivi si anatamani kupasuka
Ila sio adabu za kimpira maana tim siyake pekeakeIla kusema ukweli mane alimind alipofanyiwa sub...sijui kama mmeng'amua hili jambo.
Jamaa katoka ana blame kinoma Sana ....
Ukimuuliza Klopp atasema Mane is hungry to score and help the team so the better..Ila sio adabu za kimpira maana tim siyake pekeake
Huyo ni King Ngwaba huyo el capitain wa jukwaa la Liverpool![]()
Hahahahahahahhahahaah atakuwa kapigwa kufuli huyu. Pole mdau mwenzetu.
Kazi imeisha Leo tumetoa zakutosha ila binafsi numefurahushwa Sana na kiwango Cha Ox





Tumemkuta Adrian wa Palace golini tunamrudishia 7 zake alizotufungisha

