Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
cha ajabu waliompa klop ni makocha na captains,..... yani wanaocheza mpira na wanaofanya hiyo kazi ndio wameona anastahili.......Maybe, uelewa wangu ni kwamba tuzo inaangalia ulichafanya msimu unaozungumziwa.
Football World inashangaa mpaka sasa nini kimetumika kumpa Klopp badala ya jamaa.
Klopp mwenyewe alishangaa.
Bayern wameshinda vikombe 5 chini ya huyo kocha.
Kiushabiki, naweza sema sawa, ila kiuhalisia sidhani kama Klopp alistahili hii tuzo.
cha ajabu waliompa klop ni makocha na captains,..... yani wanaocheza mpira na wanaofanya hiyo kazi ndio wameona anastahili.......
nadhani uelewa wetu kuhusu soka pia unatofautiana, sijui wao wanaelewaje
Ngoja waje Pain Killer, Ollachuga Oc nk
YNWA
Mkuu ipo hivi Liverpool ni timu moja ambayo kupata taarifa zake za ndani hua ngumu sana hivyo kinachofanyika muda mwingi ni guess work za hapa na pale yaani zinakua sio verified....Ukitazama hayo maneno ni tofauti na Story inavyokuwa exaggerated as If Salah aligombana na Klopp wakati alieleza tu hisia kuwa alitamani kuwa Captain.
Huwa wanaangalia vigezo vingi sana ....mimi na wewe kama shabiki tu tunaweza tusielewe hata kama tukieleweshwacha ajabu waliompa klop ni makocha na captains,..... yani wanaocheza mpira na wanaofanya hiyo kazi ndio wameona anastahili.......
nadhani uelewa wetu kuhusu soka pia unatofautiana, sijui wao wanaelewaje
SUPER COMMENT!Half time.
Nasikia harufu ya clean sheet hapa. Backline ipo vizuri kwa leo. Nilimwona Ox akipiga jaramba, nadhani ataingia kipindi Cha pili, angalao apate dk chache.
Wekdi hii Chelsea yupo na Wolverhampton haha..Ollachuga na Genge lake la Chelsea walikuwa na kiherehere kipindi kile walipoongoza Ligi kwa masaa 24 tu, baada ya Everton kuwarudisha wanapopaswa kuwepo akili imewakaa sawa.
Mkuu ipo hivi Liverpool ni timu moja ambayo kupata taarifa zake za ndani hua ngumu sana hivyo kinachofanyika muda mwingi ni guess work za hapa na pale yaani zinakua sio verified....
Klopp hata twitter nadhani hayupo...
Sasa ma pundit uchwara wao husoma zaidi matukio ya hapa na pale.. Kwa mfano gemi ijayo Mane akianzia benci watasema kwa vile alionyesha chuki wakati anapewa sub bla bla...
Chini ya Klopp tupo vizuri sana hata wachezaji wakiongea huko yeye wala anatazama output uwanjani na si kingine..
Klopp hapangiwi...
YNWA
5th goal. FirminoView attachment 1654417View attachment 1654417
[/QUYah hilo ndio la msingi na lakuzingatia mkuuSasa kilichobaki ni ku maintain our position up there .....
Thanks buddy ... kwakweli kuwa at the top huu msimu wa krismasi ni jambo la heri....all in all mfumo wa klopp jinsi anavyo wafanyia diversification wachezaji hakika nimeona umuhimu wake.. Mungu ibariki liverpool .. Mungu tubariki wana liverpool woteI salute Klopp super gaffer he has turned this race around in 2 games..heading to Xmas top of the table...
This is superpresent guys...
Kwa zile injuries tulizonazo na kufika hapa tukiwa kileleni jamani ni furaha tele kwa kweli...
Thanks Klopp, thanks the boys na mashabiki wote humu salute you..
kazi inakwenda powa kabisaa
YNWA
Gini kashaongea sana kucheza hii style yetu ya MF haha ila Klopp wala hata muda nae hana...Na hapa ndiyo anapofeli Mourinho. Yani mchezaji wake akiongea tu basi yeye Kocha anayamwaga hadharani.
Hili goli unaombea mkopo kabisa7th goal. SalahView attachment 1654423