Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Adjustments.jpg
 
Hivi Wakuu haya maneno ya bila Salah tunacheza vizuri yamekaa aje kwamba kwa mfano wenye timu yao wakiamua kuuza kati ya Salah na Mane nani atangulie kuuzwa maana hakuna asiekua na bei...

Ukitazama kwa umakini utaona Mane kwa sasa ni bora atoe pasi kama anaona hajakaa kwenye nafasi bora ya kufunga lakini kwa Salah ni tofauti yeye hua ni kushot na kushuti ndio maana hata most shot anaongoza yeye je haya ni maelekezo ya Klopp ama kajiamulia mwenyewe...

Mane ni team player kwenye hili anazidi kukua na kupunguza 'ubinafsi'...

Salah ni mfungaji kwenye hili yupo makini ndio anaogoza EPL kwa sasa kama mfungaji bora meaning upo uwezekano wa kupata kiatu cha dhahabu kwake.. He is averaging 1 or 2 goals per game this season...

Mambo ni mengi ..

Ningependa wabakie wote ila kama mmoja lazima auzwe basi kwangu ningesema bye bye Salah...

YNWA
 
Hivi Wakuu haya maneno ya bila Salah tunacheza vizuri yamekaa aje kwamba kwa mfano wenye timu yao wakiamua kuuza kati ya Salah na Mane nani atangulie kuuzwa maana hakuna asiekua na bei...

Ukitazama kwa umakini utaona Mane kwa sasa ni bora atoe pasi kama anaona hajakaa kwenye nafasi bora ya kufunga lakini kwa Salah ni tofauti yeye hua ni kushot na kushuti ndio maana hata most shot anaongoza yeye je haya ni maelekezo ya Klopp ama kajiamulia mwenyewe...

Mane ni team player kwenye hili anazidi kukua na kupunguza 'ubinafsi'...

Salah ni mfungaji kwenye hili yupo makini ndio anaogoza EPL kwa sasa kama mfungaji bora meaning upo uwezekano wa kupata kiatu cha dhahabu kwake.. He is averaging 1 or 2 goals per game this season...

Mambo ni mengi ..

Ningependa wabakie wote ila kama mmoja lazima auzwe basi kwangu ningesema bye bye Salah...

YNWA
Naona mnasahau miaka 29 bila epl

Salah mnaanza kumzalau sasa


Hivi nyie salah akiondoka mna mtu wa kuwapa gori 20+ kwa msimu mzima

Masikin akipata matako hulia mbwata
 
Hivi Wakuu haya maneno ya bila Salah tunacheza vizuri yamekaa aje kwamba kwa mfano wenye timu yao wakiamua kuuza kati ya Salah na Mane nani atangulie kuuzwa maana hakuna asiekua na bei...

Ukitazama kwa umakini utaona Mane kwa sasa ni bora atoe pasi kama anaona hajakaa kwenye nafasi bora ya kufunga lakini kwa Salah ni tofauti yeye hua ni kushot na kushuti ndio maana hata most shot anaongoza yeye je haya ni maelekezo ya Klopp ama kajiamulia mwenyewe...

Mane ni team player kwenye hili anazidi kukua na kupunguza 'ubinafsi'...

Salah ni mfungaji kwenye hili yupo makini ndio anaogoza EPL kwa sasa kama mfungaji bora meaning upo uwezekano wa kupata kiatu cha dhahabu kwake.. He is averaging 1 or 2 goals per game this season...

Mambo ni mengi ..

Ningependa wabakie wote ila kama mmoja lazima auzwe basi kwangu ningesema bye bye Salah...

YNWA
Dah kwa Salah mhm hapana aisee abaki tu na Mane abaki wote tunawahitaji sana tu
 
Naona mnasahau miaka 29 bila epl

Salah mnaanza kumzalau sasa


Hivi nyie salah akiondoka mna mtu wa kuwapa gori 20+ kwa msimu mzima

Masikin akipata matako hulia mbwata
Hahahahaha Mkuu Pain Killer mchezaji pekee kwangu ambae sio disposable Liverpool ni Allison....

Ogopa sana maneno ya wachezaji yasipokua controlled mapema.. Unaona Messi yanayowakuta pale Catalan yaani hakuna harmony tena klabuni...

Ninachokiona mimi Salah hawezi kujisemea tu na kuwataja Barcelona ama Real Madrid hivi hivi itakua under the carpet kuna contact na wakala wake...

Kuna mawili hapa Mkuu Pain Killer aidha kweli amedhamaria baada ya kuchukua EPL 2020 2021 atimke zake kutafuta challenge mpaya

Ama huu unakua design ile ya Ramos na Manchester United kutafuta mkataba mpya mnono haswaaaaa haha muda utasema...

Dogo chini ya Klopp ni world class usishangae anakokwenda akawa Coutinho mwingine....

YNWA
 
Hahahahaha Mkuu Pain Killer mchezaji pekee kwangu ambae sio disposable Liverpool ni Allison....

Ogopa sana maneno ya wachezaji yasipokua controlled mapema.. Unaona Messi yanayowakuta pale Catalan yaani hakuna harmony tena klabuni...

Ninachokiona mimi Salah hawezi kujisemea tu na kuwataja Barcelona ama Real Madrid hivi hivi itakua under the carpet kuna contact na wakala wake...

Kuna mawili hapa Mkuu Pain Killer aidha kweli amedhamaria baada ya kuchukua EPL 2020 2021 atimke zake kutafuta challenge mpaya

Ama huu unakua design ile ya Ramos na Manchester United kutafuta mkataba mpya mnono haswaaaaa haha muda utasema...

Dogo chini ya Klopp ni world class usishangae anakokwenda akawa Coutinho mwingine....

YNWA
Hapo anatikisa kiberiti ili apate mkataba mnono


Lazima afanye hivo!


Yupo on fire
 
Hapo anatikisa kiberiti ili apate mkataba mnono


Lazima afanye hivo!


Yupo on fire
Ana haki kwa kweli umri haupo upande wake hivyo ni wakati sahihi apate mkataba mnono kabisaaa kwa magoli yake msimu huu Klabu haina namnaa watakwenda nae sawa...

Na amesema yupo tayari kubakie Merseyside kwa miaka mingi...

Kwa Real kwanza asahau naona wao wanakomaa na Mbappe kwa sasa...


YNWA
 
Duh, ile mechi hata mimi iliniumiza sana! Sijui kale ka kocha kaliendaga wapi "Tony Pulis". Ndiko kalikatisha ndoto za ubingwa za Liverpool msimu huo!!

Ile mechi mimi tayari nilijua tumeshakaa, maana tulitakiwa kushida kitu kama 8 bila au zaidi ili tuweze kupambana na City kwa goal difference.

Aliyetuuza ni Rodgers game ya Chelsea, poor defensive mechanisms na kutojua nini tulichokuwa tunakitaka.
 
Naona mnasahau miaka 29 bila epl

Salah mnaanza kumzalau sasa


Hivi nyie salah akiondoka mna mtu wa kuwapa gori 20+ kwa msimu mzima

Masikin akipata matako hulia mbwata
Kwamba bila Salah hamna Liver acha mawazo mfu yeye ndo aishukuru Liver.

Yoyote anaejua kufunga akija kwa mwalimu huyu atakua nyota.

Aondoke tu afuate nyayo za Kontinho.
Hii kauli itawachoma watu utazani Salah ataishi milele au bila sala hamna Liverpool fc. tusameheane kop ni mtazamo tu
 
Edwards afanye kweli apewe mkataba na mshahara mnono 270 per week atakaa kimya huyu... Pesa sabuni ya roho ndugu..

YNWA
Hii ya kutoa mikataba kwa khofu ndo inayo pelkea baadhi ya wachezaji kucheza chini ya kiwango lazima tim iwe na mpango wake na uheshimiwe anaetaka zaidi aende akapo pata zaidi Man u tunawashuhudia na mishahara yao.

Gini analipwa ngapi je Hendo?

Hii msishangae mtu anaamua kuchagua mechi za kucheza atakavyo
 
Gini Wijnaldum is likely to depart on a free transfer next summer. Reportedly he wants double his current wages, He earns £75k p/w currently, double would take him to £ 150k p/w.

Yves Bissouma representative Michelle N'Cho has confirmed that his significant interest in Yves from Liverpool, Monaco,two La Liga teams and also Arsenal.

Bissouma is being closely followed by Liverpool ahead of the January transfer window ,with manager Jurgen klopp tracking him as a pontelial replacement for Wijnaldum.
 
Siku Ile na Spurs na jana..jinsi tunavyolala vizuri...hii timu ni dawa ya usingizi watu people...

Mimi bila hii timu nilikuwa silipii kifurushi DStv......

Siku hizi nalipa kifurushi bila kujali kabisa..

Hizi nyakati tutakuja kuzikumbuka sana huko baadae..
Beautiful ...so beautiful..
Mimi pia nalipia kwa moyo mweupe tena Compact Plus
 
Duh, ile mechi hata mimi iliniumiza sana! Sijui kale ka kocha kaliendaga wapi "Tony Pulis". Ndiko kalikatisha ndoto za ubingwa za Liverpool msimu huo!!
Niliumia sana siku ile. Mpaka dakika ya 75 ilikuwa 3- 0. Mara kikaingia kijamaa kinaitwa Dwight Gayle (siku hizi kipo Newcastle). Dakika ya 85 ilikuwa 3- 2 nikazima TV na kwenda kulala maana nilikuwa ba uhakika lazima goli la 3 lingekuja tu. Ule msimu sitakuja kuusahau kamwe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom