Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

We panzi bila shaka Klop umemfahamu alipofika Liverpool
Ndio maana nimesema umeanza kucheki soka Jana jk humjui bwana mdogo.

Kaa wa kutulia na utulize tekno hiyo.
Uache kuroppka vitu ambavyo huvijui.

Jk aliipandisha daraja Mainz ,halafu akachukua kombe lao la df pockal.
Akaenda bvb,hapo kwa bajeti finyu kabisa akavunja utawala wa Bayern akabeba kombe la ligi na df pockal..

Akaenda UEFA huko akatoa dozi kwa vigogo kama Real Madrid ya cr 7 walikula vibano nje ndani, akaingia final na Bayern

Akafungwa mbili moja..kwa kikosi kile kile cha bei ya mkaa, no money..!

Halafu hakukaa sana akaenda Liverpool huku akaingia final EUROPE kama tatu akapoteza, akaunda kikosi upya.

Baada ya misimu mitatu kikosi kikawakikawa fresh akaingia final UEFA na Madrid akapoteza ,
Next season akingia tena final na Tottenham na kuchukua ndoo,
Halafu akachukua na super cup .

Na msimu unaofatia akavunja rekodi ya miaka 30 na kutupa EPL ,mbele ya vigogo man city na wenzao...

Kwahiyo utilize domo lako kama kona ya bus.halafu nipe historian ya Hans nyumbu wewe
 
Ndio maana nimesema umeanza kucheki soka Jana jk humjui bwana mdogo.

Kaa wa kutulia na utulize tekno hiyo.
Uache kuroppka vitu ambavyo huvijui.

Jk aliipandisha daraja Mainz ,halafu akachukua kombe lao la df pockal.
Akaenda bvb,hapo kwa bajeti finyu kabisa akavunja utawala wa Bayern akabeba kombe la ligi na df pockal..

Akaenda UEFA huko akatoa dozi kwa vigogo kama Real Madrid ya cr 7 walikula vibano nje ndani, akaingia final na Bayern

Akafungwa mbili moja..kwa kikosi kile kile cha bei ya mkaa, no money..!

Halafu hakukaa sana akaenda Liverpool huku akaingia final EUROPE kama tatu akapoteza, akaunda kikosi upya.

Baada ya misimu mitatu kikosi kikawakikawa fresh akaingia final UEFA na Madrid akapoteza ,
Next season akingia tena final na Tottenham na kuchukua ndoo,
Halafu akachukua na super cup .

Na msimu unaofatia akavunja rekodi ya miaka 30 na kutupa EPL ,mbele ya vigogo man city na wenzao...

Kwahiyo utilize domo lako kama kona ya bus.halafu nipe historian ya Hans nyumbu wewe
Achana nae
 
Ndio maana nimesema umeanza kucheki soka Jana jk humjui bwana mdogo.

Kaa wa kutulia na utulize tekno hiyo.
Uache kuroppka vitu ambavyo huvijui.

Jk aliipandisha daraja Mainz ,halafu akachukua kombe lao la df pockal.
Akaenda bvb,hapo kwa bajeti finyu kabisa akavunja utawala wa Bayern akabeba kombe la ligi na df pockal..

Akaenda UEFA huko akatoa dozi kwa vigogo kama Real Madrid ya cr 7 walikula vibano nje ndani, akaingia final na Bayern

Akafungwa mbili moja..kwa kikosi kile kile cha bei ya mkaa, no money..!

Halafu hakukaa sana akaenda Liverpool huku akaingia final EUROPE kama tatu akapoteza, akaunda kikosi upya.

Baada ya misimu mitatu kikosi kikawakikawa fresh akaingia final UEFA na Madrid akapoteza ,
Next season akingia tena final na Tottenham na kuchukua ndoo,
Halafu akachukua na super cup .

Na msimu unaofatia akavunja rekodi ya miaka 30 na kutupa EPL ,mbele ya vigogo man city na wenzao...

Kwahiyo utilize domo lako kama kona ya bus.halafu nipe historian ya Hans nyumbu wewe
Hahaha...we dogo bila shaka umewashiwa hotspot u Google historia ya kocha wako.
 
Wakuu Thiago anakaribia kupona mazima..

Je MFs itapendeza kama ni

Gini, Thiago, Hendo au

Gini, Thiago, Jones au

Hendo Thiago Jones

Thiago huyo ni mtamu zaidi akiwa CM.

Selhurst Park mapema kabisaaaaa kesho tunafanya yetu...

YNWA

I had go Hendo, Thiago and Jones.

Hendo ameongeza kiwango, napenda anavyokaba pia.

Gini namwelewa halafu simwelewi.
 
Ndio maana nimesema umeanza kucheki soka Jana jk humjui bwana mdogo.

Kaa wa kutulia na utulize tekno hiyo.
Uache kuroppka vitu ambavyo huvijui.

Jk aliipandisha daraja Mainz ,halafu akachukua kombe lao la df pockal.
Akaenda bvb,hapo kwa bajeti finyu kabisa akavunja utawala wa Bayern akabeba kombe la ligi na df pockal..

Akaenda UEFA huko akatoa dozi kwa vigogo kama Real Madrid ya cr 7 walikula vibano nje ndani, akaingia final na Bayern

Akafungwa mbili moja..kwa kikosi kile kile cha bei ya mkaa, no money..!

Halafu hakukaa sana akaenda Liverpool huku akaingia final EUROPE kama tatu akapoteza, akaunda kikosi upya.

Baada ya misimu mitatu kikosi kikawakikawa fresh akaingia final UEFA na Madrid akapoteza ,
Next season akingia tena final na Tottenham na kuchukua ndoo,
Halafu akachukua na super cup .

Na msimu unaofatia akavunja rekodi ya miaka 30 na kutupa EPL ,mbele ya vigogo man city na wenzao...

Kwahiyo utilize domo lako kama kona ya bus.halafu nipe historian ya Hans nyumbu wewe
We jamaa mahaba yamekuzid mpka unakera tuzo ile ni ya kocha bora wa mwaka hatuangalii nyuma umefanya nn kwa sababu kipind hicho pia tuzo ilitoka kiazi ww kama ni ivo wangewapa wakina pep. Jklop mwnywe analijua hilo na kakiri kwamba hakustahili...



Halafu Madrid hakufungwa nje ndani kima ww ilikuwa nusu fainal 2013 madrid alitoka kwa agg ya 4-3 away alipigwa 4-1 home akashinda 2-0 dortmud walitafutwa sana goli la tatu wakaponea chupuchupu......

Hafu mambo ya tecno yameingiaje hapa,huna akili ww sikukoti tena.
 
Ndio ni ya msimu mmoja lakini nadhani wapiga kura hasa makocha nadhani wamemchagua Klopp ukiacha kuchukuwa EPL baada ya 30yrs pia kwa kazi ngumu aliyoifanya kwenye hii misimu mitatu
Lakini ile tuzo ni ya msimu mmoja tu, haiangalii umefanya nini nyuma.
 
Ndio ni ya msimu mmoja lakini nadhani wapiga kura hasa makocha nadhani wamemchagua Klopp ukiacha kuchukuwa EPL baada ya 30yrs pia kwa kazi ngumu aliyoifanya kwenye hii misimu mitatu

Maybe, uelewa wangu ni kwamba tuzo inaangalia ulichafanya msimu unaozungumziwa.

Football World inashangaa mpaka sasa nini kimetumika kumpa Klopp badala ya jamaa.

Klopp mwenyewe alishangaa.

Bayern wameshinda vikombe 5 chini ya huyo kocha.

Kiushabiki, naweza sema sawa, ila kiuhalisia sidhani kama Klopp alistahili hii tuzo.
 
Ndo maana hata mimi nasema labda kilichowafanya makocha wengine wampe Klopp kura nyingi ni wameangalia kazi nzuri aliyoifanya mfululizo kwenye hii misimu mitatu otherwise Hata mimi nilijua tuzo anabeba Hans Flick
Maybe, uelewa wangu ni kwamba tuzo inaangalia ulichafanya msimu unaozungumziwa.

Football World inashangaa mpaka sasa nini kimetumika kumpa Klopp badala ya jamaa.

Klopp mwenyewe alishangaa.

Bayern wameshinda vikombe 5 chini ya huyo kocha.

Kiushabiki, naweza sema sawa, ila kiuhalisia sidhani kama Klopp alistahili hii tuzo.
 
Ndo maana hata mimi nasema labda kilichowafanya makocha wengine wampe Klopp kura nyingi ni wameangalia kazi nzuri aliyoifanya mfululizo kwenye hii misimu mitatu otherwise Hata mimi nilijua tuzo anabeba Hans Flick

Okay, plus Bielsa kuwa kwenye top 3!
 
We jamaa mahaba yamekuzid mpka unakera tuzo ile ni ya kocha bora wa mwaka hatuangalii nyuma umefanya nn kwa sababu kipind hicho pia tuzo ilitoka kiazi ww kama ni ivo wangewapa wakina pep. Jklop mwnywe analijua hilo na kakiri kwamba hakustahili...



Halafu Madrid hakufungwa nje ndani kima ww ilikuwa nusu fainal 2013 madrid alitoka kwa agg ya 4-3 away alipigwa 4-1 home akashinda 2-0 dortmud walitafutwa sana goli la tatu wakaponea chupuchupu......

Hafu mambo ya tecno yameingiaje hapa,huna akili ww sikukoti tena.
Hivi mbona umeniganda sana wewe jamaa
Mbona nimesema wazi?
Unaforce sana nifate akili yako fupi.
Jk ni kocha bora lakini kocha bora wa msimu uliopita ni Hans ..
Lakini hiyo haimaanishi Hans ni bora kuliko jk kama unavyodai hapa na likichwa lako..!

Eti Dortmund alitafutwa ..! Tunachojua sisi alitolewa basi ..!
Au Madrid aliingia final?

Weka hiyo statement hapa kuwa jk amekiri kuwa hakustahili tuamini!
Kwanza aanze kuongea hivyo ili iweje?

Aliyepewa kapewa..

Huwa najibu kutokana na MTU unavyokuja ...!

Kaa na tekno yako kwanini Mimi na wewe alieanza kumkoti mwenzie ni nani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom