Sometimes ni vizuri kuishi Kwa matumainiKausha mzee baba usiwambiee.....
Acha watuone kama hatupo, kumbe tunakumbiza mwizi kimya kimya.
Leo tunaanza kuwajambisha.....
Magoli 29 mkuu29 ? sio 28?
Wonderful shall never endKausha mzee baba usiwambiee.....
Acha watuone kama hatupo, kumbe tunakumbiza mwizi kimya kimya.
Leo tunaanza kuwajambisha.....
29 ? sio 28?
The Boss. Umemuona Gini?Mourinho kiukweli amekwisha
Leo ndo nimethibitisha..
Kaja na mbinu zile zile za miaka yote
Kuvizia vizia..rafu.nyingi..
Kama second leg tukiwa na Jota,Thiago..
Halafu fabinho akae kati?Tuwe hata na matip nyuma na huyo dogo? Tunaweza mpiga hata
4-0
chochote alichokuwa anaamua kukifanya basi alikitimiza kwa uhakika, kuna nyakati alikuwa anatembea na mipira juu kwa speed ya hatari mpaka nikawa namshangaa.The Boss. Umemuona Gini?
Kachafua vibaya kiungo cha Mourinho.
Nyumbu hawahawa ninaowajua MimiPoa tu, bora muongoze nyinyi vibonde,
kuliko akiongoza Morinho.
Huu msimu Manchester United tuna jambo letu.


wee jamaaa umenichekesha Sana...Wijnaldum ni Intelligent Footballer.Amepiga tackles ngapi jana ? Ametoa assist ngapi na kafunga goli ngapi ? Ameintercept successful interceptions ngapi ?
Wijnaldum vs Tottenham.Amepiga tackles ngapi jana ? Ametoa assist ngapi na kafunga goli ngapi ? Ameintercept successful interceptions ngapi ?
Jose jana katulizwa tuliiii hana bwebwe tena...Mzeebaba Captain Marvelous ulisema kweli aseeh yametimia .
Nachelea kusema mjerumani wetu huyu ni master plan
Bwana wee Keita ana ka upara fulani haha ka mwenye miaka 28+🙈🙈🙈🙈Nikimuangalia Jones na Keita
Au hata Henderson na Keita..
Nahisi tatizo la Keita ndo lile la waafrika
Umri wa passport sio umri halisi..
We unaonaje??
Ni Curtis Julian Jones..Kuna huyu dogo Curtis Jackson ni kwikwi