Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Keita, Ox na Minamino sio wachezaji? Acha dharau jamaa
Ukiacha Williams na Jones hicho ndiyo kikosi cha ushindi cha Klop kwa miaka 3 mfululizo.

Ulitaka arisk kuingiza watu wengine ambao siyo kikosi cha ushindi?
 
Adjustments.jpg
 
Jose Mourinho record against Jurgen Klopp away from home:

Dortmund 2 - 1 Real Madrid
Dortmund 4 - 1 Real Madrid
Liverpool 0 - 0 Man United
Liverpool 0 - 0 Man United
Liverpool 3 - 1 Man United
Liverpool 2 - 1 Tottenham


Pep na Morinho wanapaswa wawe na nidhamu kwa Klopp
 
Kama kawaida yetu tunawanyoosha vigogo
Kama JK ataendelea hivi kwa mechi Saba mfululizo naamini ubingwa Ni wetu Tena
Ila Kama atazingua kwa kubanwa na kina fuluhamu kirisito palesi newu Casto kina Banileyi Ubingwa tunaweka Reheni japo msimu huu sioni anayetukimbiza

Achana na thomaso aliyeshindwa kuamini kwamba Yesu alifufuka kweli
Gangster mwingine Ni Morinho
Imagine Mwamba ameshindwa kuamini kwamba amefungwa Kizembe Namna ile



🖐️Ilp LFC
🙏#YNWA
 
Mane alizingua kidogo lakini hata Salah pia, wangekuwa wametulia game tungeua mapema tu
Siyo kwamba walizingua, walibanwa. Hiyo ni mbinu ya Jose anapocheza na vigogo. Lazima azime triggers za mpinzani.

Aliyezingua ni Bergwijn, mpuuzi sana yule dogo. Ila siyo mbaya maana kwa uwezo wake alijitahidi hata hivyo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom