Ukiacha Williams na Jones hicho ndiyo kikosi cha ushindi cha Klop kwa miaka 3 mfululizo.Keita, Ox na Minamino sio wachezaji? Acha dharau jamaa
Ulitaka arisk kuingiza watu wengine ambao siyo kikosi cha ushindi?
Ukiacha Williams na Jones hicho ndiyo kikosi cha ushindi cha Klop kwa miaka 3 mfululizo.Keita, Ox na Minamino sio wachezaji? Acha dharau jamaa
kwa sisi mashabiki wa Man u hii game ikiisha hivi ni furaha kwetu
Game ya leo naona kikosi cha kwanza ndo kitaamua kama ni ushindi au kufungwa maana sub sijaona wa kubadilisha mchezo kama tukizidiwa.
Leo kama kawaida yetu kwa vigogo. Goli moja kila kipindi.
Jose for you.
hatujaachana sana kwa pointsKumbe na Nyinyi munawaza Ubingwa? Dunia haishi vituko
Mane alizingua kidogo lakini hata Salah pia, wangekuwa wametulia game tungeua mapema tuMchezaji gani alizingua leo? Sijaona hata mmoja![]()




Sure, hata mm nilikuwa nimeshasononeka sana ukizingatia game ilipigwa usiku sana halafu tutoke bila points 3, ingetuumiza sana na kutuvunja moyo sanaNingejiskia vibaya Sana,kama tunge draw hii match.... Tuliwakamata kila idara.
Siyo kwamba walizingua, walibanwa. Hiyo ni mbinu ya Jose anapocheza na vigogo. Lazima azime triggers za mpinzani.Mane alizingua kidogo lakini hata Salah pia, wangekuwa wametulia game tungeua mapema tu