mart66
JF-Expert Member
- Nov 7, 2018
- 610
- 691
Same to Man untd wapo fans pia wasiojielewa tVishabiki uchwara huwa ni vya Arse8 na Chelshit
Atleast Liverpool ndo mashabiki wao wengi wanajiheshimu
Same to Man untd wapo fans pia wasiojielewa tVishabiki uchwara huwa ni vya Arse8 na Chelshit
Hadi sasa record ya epl home unbeaten team inashikiliwa na chelsea ,86 games ,2004-2008.Kwamba hujui kama EPL ni mashindano tofauti na UEFA?
Najua unajua ila umetafuta kichaka cha kujifichia.
Nitajie timu unayoshabikia nikupe matokeo yake Anfield kwa miaka hii minne.
To be clear: Mara ya mwisho Liverpool kufungwa Anfield kwenye Ligi ilikuwa tar 27 April 2017, ni zaidi ya miaka mitatu na nusu. A record your team can dream of.
Tena baada ya Refa kuwabeba sana, wakatuumizia na wachezaji wetuUnajifariji tu, 0 point vs 1 point bado ni mbali mbali.
Huyo Everton mimi nimepata point 1 uwanja huo huo.
Hiyo ndo ile "mapenzi kazini " Mfanyakazi anaepiga kazi sana Bosi hamtaki Bosi anamtaka anaempendaKlopp alimchezesha hivyo ili amalize dakika 90, akimaliza dakika 90 maana yake game ya leo Firmino anaanza, na Jota anakaa benchi.
Ni kama alikuwa na plan ya kumpunguza spidi ili Firmino aendelee kuanza, maana alishaanza kutishia namba.
Hata siku ya Wolves nilishangaa hakumwanzisha, uzuri tulishinda.
Klopp amekipata alichokuwa anakitafuta, front 3 yake imebaki salama. Ngoja tuone itatupa matokeo gani.
Wewe acha chuki za hovyo zinakuharibiaHawana faida hao Kenge ni wakutimua wote........Mchezaji kama Keita sijawahi kuona faida yake tangu asign Liverpool sasa mtu kama huyu wa nini???Linajifanya lina miaka 24 kumbe ni zee la miaka 40......STUPID PLAYER.
HakikaBaada ya kupata taarifa ya majeruhi kwa Jota, nimekata tamaa ya kuchukua ubingwa.
Jota alifufua uhai kwenye mashambulizi, na watu walianza kijituma kwa kuhofia kupoteza namba zao.
Ila sasa hivi ndo tunarudi kwenye uhalisia.
Wakati huo umefungwa na evertonUna tafuta draw na Fulham badala ya kutafuta ushindi..
Tupe source maana Twitter kwa James siioniHiyo ripoti ya James Pearce ni kweli?
Au uzushi??
Basi uzushiTupe source maana Twitter kwa James siioni
Hiyo ripoti ya James Pearce ni kweli?
Au uzushi??