Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Adjustments.jpg
 
Jota/Thiago au Jota/Keita (kama akiwa mzima), mechi inaisha first half.
Aisee Mkuu Don Clericuzio una imani kali sana ndugu yangu yaanu bado kabisa una hope Keita atakuja kucheza mpira tukasema hureee amerudi haswaaa...

Seeing is believing mpama hapo ata shake off hii trend ya injuries pengine atani convince otherwise ila kwa sasa naona awekwe sokoni tu huyu...

Na hiki kiwango na maturity za huyu kop kid Jones ndio inazidi kumuweka pambaya Keita maana Klopp will definitely go with whats bringing results and that is super talented Jones...

Next gem in waiting ni Leighton Clarkson huyu siku si nyingi nae ataanza kupata nafasi ki ukweli this kids adore TAA na sasa Jones inakua kama benchmark kwao tu step up playing at the highest level...

Meaning tutakua na MF Thiago, Shaqir, Hendo, Chambo, Clarkson, Jones, Gini, Fabinho, Keita, Milner.. Hapo sioni Keita akichomoka na namba...

YNWA
 
Aisee Mkuu Don Clericuzio una imani kali sana ndugu yangu yaanu bado kabisa una hope Keita atakuja kucheza mpira tukasema hureee amerudi haswaaa...

Seeing is believing mpama hapo ata shake off hii trend ya injuries pengine atani convince otherwise ila kwa sasa naona awekwe sokoni tu huyu...

Na hiki kiwango na maturity za huyu kop kid Jones ndio inazidi kumuweka pambaya Keita maana Klopp will definitely go with whats bringing results and that is super talented Jones...

Next gem in waiting ni Leighton Clarkson huyu siku si nyingi nae ataanza kupata nafasi ki ukweli this kids adore TAA na sasa Jones inakua kama benchmark kwao tu step up playing at the highest level...

Meaning tutakua na MF Thiago, Shaqir, Hendo, Chambo, Clarkson, Jones, Gini, Fabinho, Keita, Milner.. Hapo sioni Keita akichomoka na namba...

YNWA

Huu ni msimu wa mwisho kwangu kusema Keita basi, na kinachosababisha niendelee kumweka hapo ni kwa sababu bado sioni talent kama Keita pale kwenye mids.
 
Huu ni msimu wa mwisho kwangu kusema Keita basi, na kinachosababisha niendelee kumweka hapo ni kwa sababu bado sioni talent kama Keita pale kwenye mids.
Talent wise yupo top top but then we need fit legs in the field following the gaffers game plan ndio maana unaona hata Keita akiwa fit the best he can make ni sub na sio starting place ...

Klopp wont drop Gini or Hendo for Keita haha that should tell you something man..

Taikumi nae ameanza reshuffling to the MF gradually and if he come up to speed means Keita will continue to see his chances diminish....

Kwangu naona Edwards amtumie Keita kumnasa Dayot wa RB aisee aje asimame pale nyuma na Fabinho arejee DMF yake na huu ubingwa utakua wrapped mapema sana early next year..

Keita is a failed project and namba 8 shouldn't be his may be itampunguzia presha kiasi...

Aidha RB wamchukue hata kwa mkopo ni sawa tu...

With Jones and Clarkson naona we have a brilliant future pale kati...

YNWA
 
Aisee Mkuu Don Clericuzio una imani kali sana ndugu yangu yaanu bado kabisa una hope Keita atakuja kucheza mpira tukasema hureee amerudi haswaaa...

Seeing is believing mpama hapo ata shake off hii trend ya injuries pengine atani convince otherwise ila kwa sasa naona awekwe sokoni tu huyu...

Na hiki kiwango na maturity za huyu kop kid Jones ndio inazidi kumuweka pambaya Keita maana Klopp will definitely go with whats bringing results and that is super talented Jones...

Next gem in waiting ni Leighton Clarkson huyu siku si nyingi nae ataanza kupata nafasi ki ukweli this kids adore TAA na sasa Jones inakua kama benchmark kwao tu step up playing at the highest level...

Meaning tutakua na MF Thiago, Shaqir, Hendo, Chambo, Clarkson, Jones, Gini, Fabinho, Keita, Milner.. Hapo sioni Keita akichomoka na namba...

YNWA

Nikimuangalia Jones na Keita
Au hata Henderson na Keita..

Nahisi tatizo la Keita ndo lile la waafrika
Umri wa passport sio umri halisi..
We unaonaje??
 
Najiulizaga sana hafu najipa tumaini kwenye mechi kosa kama zile hazikosekani kwa upande wetu tulikua tunampa tu yule golii wao mipira shuti la Mane tu ndo lilikua la nguvu

Sisi kuna namba kila mmoja alikuwa anajaribu kupiga hata kama yuko mbali, au amezungukwa na beki, hatukuweka akili kwenye kupeana pasi tukiwa kwenye 18 yao.
 
Ha ha haaa. You don't know me man. Mimi siyo shabiki maandazi.
Mbona unajishtukia?
Nani kakuita shabiki maandazi?
Ninacho amini wewe ni shabiki wa man united, sema una sababu zako (unazo zijua mwenyewe) zinazo kufanya ukae pembeni.

Hali kama hiyo ilimkuta pia rafiki yangu flani, ambaye alijilazimisha kuichukia Yanga na kujifanya kaamia Azam, cha ajabu kila mechi ya Yanga na simba ukimuuliza unaitakia timu ipi ushindi anakujibu Yanga.

Zaidi ya miaka kumi aliishi hali iyo, ila tangu msimu huu kuanza namuona kabisa karudi Jangwani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom