Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hayo maombi hapo juu, yana nguvu sawasawa na yale yaliyowatoa jasho dhid ya fulham

Mkaishia Point moja tena ya kupewa penalty na var


Heshimu nguvu ya maombi, ukiona mtu anamshirikisha Mungu, maana yake ameacha nguvu za kiroho zipambane

Nguvu ya kiroho ndio ilifanya mpigwe 7 na aston Villa, ndio maaana hata wao Aston Villa ukiwauliza walifunga vip zile gori saba kuanzia, bench la ufundi ,kocha hadi wachezaji hawajui

This is Holly sprit Power

Mtu mwenye Winning Mentality anatafuta mbinu za kushinda yeye sio kumuombea mwengine apoteze.

Ukishashinda wewe huwa hushuhulishwi na matokeo ya wengine
 
Spurs huyu huyu ambaye Mara ya mwisho kutufunga Anfield ilikuwa Mwaka 2011 ndo anifunge Leo kama alishindwa kuifunga ile Liverpool ya kipindi kila ya Klopp ataiwezea wapi. Kickapoo kipo pale pale we subiria maumivu
Sawa leo West brom ni wachovu

Lakin fulham sio wachovu...!


Usitusi mamba hujavuka mto ,uzuri unajua kabisa leo ukijitahid utaambulia Point moja kwa Spurs


Muda ni rafiki mzuri sana
 
Spurs huyu huyu ambaye Mara ya mwisho kutufunga Anfield ilikuwa Mwaka 2011 ndo anifunge Leo kama alishindwa kuifunga ile Liverpool ya kipindi kila ya Klopp ataiwezea wapi. Kickapoo kipo pale pale we subiria maumivu
Huwa nawashangaa sana mnaposema "anfield"

Sijajua huwa mnakuwa mnajifariji


Si juzi Atalanta kapress hapo anfield mkala gori mbili

Mbona mnapenda sana kujificha "anfield "

Overrated pitch
 
Lazima tujiamini we Google tu msimu uliopita matokeo yetu ya Anfield game 38 win 37 D 1 na msimu huu so far tuna play 7 win 7
Huwa nawashangaa sana mnaposema "anfield"

Sijajua huwa mnakuwa mnajifariji


Si juzi Atalanta kapress hapo anfield mkala gori mbili

Mbona mnapenda sana kujificha "anfield "

Overrated pitch
 
Huwa nawashangaa sana mnaposema "anfield"

Sijajua huwa mnakuwa mnajifariji


Si juzi Atalanta kapress hapo anfield mkala gori mbili

Mbona mnapenda sana kujificha "anfield "

Overrated pitch

Mkuu jitahidi uwe unaangalia na mechi za anfield,sio tu unaletewa matokeo.

Mkuu mechi karibia zote za anfield kwenye epl tumecheza vizuri sana yaani tuna kuwa tunashinda Halafu tunakuwa tumeupiga mwingi sana.sio ushindi wa kubahatisha.

Ndio maana kila mtu anakuambia anfield liverpool licha ya kishinda tu ila anaupiga mwingi sana.

Mkuu naona leo utakuwa wa kwanza kuamini kuwa anfield sio mahali salama kwa timu pinzani.

Msimu ulipita ni burnley peke yake alijitahidi akapata point 1, wengine wote walikufa pale. Msimu huu hakuna atakae chukua point hata moja pale anfield, na dalili zinaonekana.

Hata kama timu inapata ushindi uwe unaangalia na huo ushindi wake,mfano ushindi wa Chelsea kumbe alikuwa anakutana na timu zipo nje ya top 12, sasa hivi anakutana na timu zipo ndani ya top 12 anafungwa mechi mbili mfululizo watu wanaona timu inazingua .

Ushindi wa anfield kwa liverpool hauna mashaka yoyote.

Game ya kwanza na atalanta tulimfunga 5 bila nyumbani kwake,mechi ya marudio kocha kazarau mechi yule aliyewapiga hatrick na wengine wakutegemewa waliwekwa nje Baada ya kufungwa goli moja zikafanyika sabu 5. Ikawa too late,na sio kwamba tulizidiwa.

Hicho ndio kilichotokea kwenye mechi na atalanta.

Sasa spurs na wengine huko tunapo enda sijao wakipata msamaha pale anfield.
 
Mkuu jitahidi uwe unaangalia na mechi za anfield,sio tu unaletewa matokeo.

Mkuu mechi karibia zote za anfield kwenye epl tumecheza vizuri sana yaani tuna kuwa tunashinda Halafu tunakuwa tumeupiga mwingi sana.sio ushindi wa kubahatisha.

Ndio maana kila mtu anakuambia anfield liverpool licha ya kishinda tu ila anaupiga mwingi sana.

Mkuu naona leo utakuwa wa kwanza kuamini kuwa anfield sio mahali salama kwa timu pinzani.

Msimu ulipita ni burnley peke yake alijitahidi akapata point 1, wengine wote walikufa pale. Msimu huu hakuna atakae chukua point hata moja pale anfield, na dalili zinaonekana.

Hata kama timu inapata ushindi uwe unaangalia na huo ushindi wake,mfano ushindi wa Chelsea kumbe alikuwa anakutana na timu zipo nje ya top 12, sasa hivi anakutana na timu zipo ndani ya top 12 anafungwa mechi mbili mfululizo watu wanaona timu inazingua .

Ushindi wa anfield kwa liverpool hauna mashaka yoyote.

Game ya kwanza na atalanta tulimfunga 5 bila nyumbani kwake,mechi ya marudio kocha kazarau mechi yule aliyewapiga hatrick na wengine wakutegemewa waliwekwa nje Baada ya kufungwa goli moja zikafanyika sabu 5. Ikawa too late,na sio kwamba tulizidiwa.

Hicho ndio kilichotokea kwenye mechi na atalanta.

Sasa spurs na wengine huko tunapo enda sijao wakipata msamaha pale anfield.
Leo mkipigwa hapo anfield utasikia

"match zote za fa na carabao hapo anfield hatujawahi kufungwa, huwa tunaupiga Sana"


Naona leo mnamtusi mamba na bado mnataka kuvuka mto


Tukutana 23:00
 
hayo maeneo anayocheza jota ni hatari.
trent ni 🙏🙏🙏🖐
liverpool bila ya fullback ni namungo FC
1608132134477.png
 
Upo Mwanza kitongoji gani ili nikupe uelekeo ila pia gesti nyingi wana cable TV's ambazo mpira ndo huwa chaguo la kwanza

Nipo katikati ya Jiji hapa barabara ya kuenda Ilemela jirani na Jengo la CCM la Mkoa huwa nashindashinda kwenye haka kagarden fulani hivi kina kamnara wa mawe katikati
 
Mkuu hata uwe mtu wa ibada vp, Bar hakukwepeki, na kama kuna mtu wa ibada sana humu ajifunze kujichanganya kila mahali, huko anaweza akapata na wafuasi
Ha ha haaa hafu kubwa ni kua mfuasi na si kupata wafuasi.
Hukawii kuonekana mchoraji.
Walevi hawakawii kulushiana chupa mara paa kwako ha ha haaaa.
 
The Annual Christmas charity program for Liverpool fc fans Zambia is on this festival season.
We invite the rest of the soccer fans family in Zambia to join us as on the 26th December 2020 At HOME OF LOVE ORPHANAGE of Changing Lives Zambia in Chawama Johaward. This timely visitation will inspire the orphans and help shape the future of the young ones through inspirations and basic support..
Donations include
Money
Clothes
Shoes
Sanitary napkins for the young girls
Stationary
Beddings e.t.c
The age group ranges from 6 to 20

To support or join the LIVERPOOL FANS Charity works or HOME OF LOVE ORPHANAGE contact details below:

LIVERPOOL FANS: Andy on
+260971820367 or 0966415126
Danny on 0972 815491

HOME OF LOVE ORPHANAGE: WhatsApp 0966885291 OR 0978237037

#Prince_Astone_Majesty.




NB: Hivi Tanzania kwanini na sisi Tanzania tusiende mbali kama wenzetu wa Zambia...LFC Tanzania Fans YWNA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom