King Ngwaba
JF-Expert Member
- Jan 11, 2015
- 3,417
- 7,370
Ivi hii Mwanza Jiji haina Vibanda Umiza wala Lodge zenye DsTV? Jana nilishindwa kuiona game ya Man City na leo sijui kama nitaiona hii ya kwetu.
Yani kesho natimka hapa Usukumani
Yani kesho natimka hapa Usukumani