Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Sahihi mzee, sasa mmepangiwa bingwa wetu wa mwaka jana, mtulipie kisasi.
Hapo maji ni ngumu kumeza maana naamini Kiduku/Diego Simeon ni mzoefu sana wa hiyo michuano ya UEFA Vs Lampard ambaye ndiye itakuwa ni mechi yake ya kwanza kama sikosei kwa hiyo 16 stage.

Ninachoomba kwanza kabisa Wachezaji wetu wasiwe na majeruhi.

Nyota njema ya matokeo ing'ae kwa Chelsea.

Lampard aje na mbinu za kutaka matokeo tu wala si ball possession pekee.

Naamini tutapita hapo na itatujengea kujiamini zaidi ktk hatua za nusu fainali n.k

Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
 
Hapo maji ni ngumu kumeza maana naamini Kiduku/Diego Simeon ni mzoefu sana wa hiyo michuano ya UEFA Vs Lampard ambaye ndiye itakuwa ni mechi yake ya kwanza kama sikosei kwa hiyo 16 stage.

Ninachoomba kwanza kabisa Wachezaji wetu wasiwe na majeruhi.

Nyota njema ya matokeo ing'ae kwa Chelsea.

Lampard aje na mbinu za kutaka matokeo tu wala si ball possession pekee.

Naamini tutapita hapo na itatujengea kujiamini zaidi ktk hatua za nusu fainali n.k

Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app

Hatua inayofata huwa ni ngumu zaidi aisee, maana unakuta waliovuka wengi ni watata na unapangwa na yeyote.

Sasa hivi Chelsea inajua kukaba, sema inapocheza defensive game haifungi kabisa, ila mpaka muda huo mtakuwa mmesha-click.

Feb ni miezi miwili mbele, ambapo kimpira kuna mabadiliko yanaweza kuwa yametokea makubwa tu. Maana pia kuna Jan transfers.
 
Adjustments.jpg
 
Bora umesema mapema......Nawaza tu Record yetu ya EPL ya Anfield inaweza kuvunjwa Wednesday hii.

Before 2018/19 tulikuwa na tendency ya kuzifunga Timu kubwa na kuishia kupoteza points kwa Relegators. Hii tabia inaanza kujirudia ambayo tunaiitaga "Small Team Mentality" ya kukomaa usifungwe na Timu kubwa tu.

Liverpool vs Chelsea (Tumeshinda)
vs Arsenal (Tumeshinda)
vs Leicester (Tumeshinda)
vs Ajax (Tumeshinda)
vs Man City (Tumedraw)

Hivyo vs Spurs tunaweza kushinda kirahisi sana then tukaja kufungwa na Palace
 
Nilikuwa nafanya research ndogo kuhusu Front 3 yetu nimegundua bado ni Tishio sana lakini inaangushwa kwa kufanya kazi zisizokuwa zao.

Timu ya mpira ina sehemu kuu 3
1 - Ulinzi (Kipa na Mabeki)
2 - Viungo
3 - Washambuliaji

Uhalisia wa Timu yetu
1) Tupo na Ulinzi
2) Tupo na ushambuliaji
3) Hatuna Viungo
Hivyo mpira unakuwa na part mbili ie. ni kati ya Ulinzi na Ushambuliaji bila ya kupata msaada wowote kutoka kwa Viungo.

Washambuliaji kufanya kazi zisizokuwa za kwao:
Baada ya kuwa Timu yetu imekuwa na Viungo wasiokuwa na uwezo wowote ule wa kuwasaida washambuliaji, Front 3 yetu imekuwa na kazi ya kushuka chini kwenye Boksi letu kutafuta mipira wao wenyewe na kuikimbiza juu ili watengeneze nafasi za kufunga, hii imetokana na kutopata msaada wowote kutoka kwa Viungo wetu.
Unaweza kuta ndani ya Dakika 90 Mane, Salah na Firmino hawajapokea pasi yeyote ya nafasi ya kufunga kutoka kwa Gini au Hendo.
Hii inawapa kazi kubwa sana Front 3 wetu na kuwafanya wachoke waonekane hawana uwezo kwasababu tu wamekosa Mtu wa kuwasaidia.

Imagine Front 3 hii yetu nyuma yao kungekuwa na Mtu kama KDB, Bruno au Pogba! Hivi unahisi kuna game ingeishia bila ya wawili kati yao kufunga goli? Yani wasingesumbuka kutafuta mipira chini na kujipasia wenyewe ili wafunge.

Kwakweli tunahitaji Mido wa kuwasaidia Washambuliaji wetu kwa kuwatengenezea nafasi za kufunga.
 
Nilikuwa nafanya research ndogo kuhusu Front 3 yetu nimegundua bado ni Tishio sana lakini inaangushwa kwa kufanya kazi zisizokuwa zao.

Timu ya mpira ina sehemu kuu 3
1 - Ulinzi (Kipa na Mabeki)
2 - Viungo
3 - Washambuliaji

Uhalisia wa Timu yetu
1) Tupo na Ulinzi
2) Tupo na ushambuliaji
3) Hatuna Viungo
Hivyo mpira unakuwa na part mbili ie. ni kati ya Ulinzi na Ushambuliaji bila ya kupata msaada wowote kutoka kwa Viungo.

Washambuliaji kufanya kazi zisizokuwa za kwao:
Baada ya kuwa Timu yetu imekuwa na Viungo wasiokuwa na uwezo wowote ule wa kuwasaida washambuliaji, Front 3 yetu imekuwa na kazi ya kushuka chini kwenye Boksi letu kutafuta mipira wao wenyewe na kuikimbiza juu ili watengeneze nafasi za kufunga, hii imetokana na kutopata msaada wowote kutoka kwa Viungo wetu.
Unaweza kuta ndani ya Dakika 90 Mane, Salah na Firmino hawajapokea pasi yeyote ya nafasi ya kufunga kutoka kwa Gini au Hendo.
Hii inawapa kazi kubwa sana Front 3 wetu na kuwafanya wachoke waonekane hawana uwezo kwasababu tu wamekosa Mtu wa kuwasaidia.

Imagine Front 3 hii yetu nyuma yao kungekuwa na Mtu kama KDB, Bruno au Pogba! Hivi unahisi kuna game ingeishia bila ya wawili kati yao kufunga goli? Yani wasingesumbuka kutafuta mipira chini na kujipasia wenyewe ili wafunge.

Kwakweli tunahitaji Mido wa kuwasaidia Washambuliaji wetu kwa kuwatengenezea nafasi za kufunga.
Absolutely naked truth we have a dead MF without any major significance when highly needed....

We miss Shaqir he might not start but akiwepo unajua he will find those tight pocket na ajaribu kutupia pass and zile supa delivery zake on the flanks...

We miss Thiago nae from Bavarians tuliona ana second pass to last inakua tamu ajabu...

We miss Chamberlain ana ma shoti nje ya 18 na his runs are direct which can be nuisance for the defenders...

MF iliyopo Jones akicheza Mf upande wa kulia anakua mtamu zaidi kuliko upande wa kushoto...

Hendo acheze katikati MF angalau kunakua na uhai wa front kupunguza mbio kurudi nyuma kuja kusaidia defence..

Gini acheze MF upande wa kushoto na apunguze bwebwe msimu huu pengine ndio MF alie lose position na kupoteza pass nk na kusababisha hatari ama goli kwetu...

Well hopefully TAA can come up to speed na full recovery atupie zile klosi zake...

YNWA
 
It so funny

I find my self with laughter when you mention Those guys (Hendersonand Gini)

😂
Hahahaha hawa tunao ndugu...

Sidhani kama combined wote msimu huu wana assist hata 6 aisee...

Nyumbani utawaona watu ila ugenini unajiuliza hivi hawa ndio watatuletea Trophy msimu huu hahahaha...

Defence ipo intact so far mbele hakuna service pale kati ndio penye udhaifu and as they say in modern football MF wins you game maana wanakua architects ku connect backline and front line ila sasa hawa wetu kuna muda wanakua pedestrians mpaka kui over load defence mno huku akina Mane nao wanalazimika kurudi our half kusaidia ama kuanza mashambulizi...

Kwa uchezaji huu lazima tukwame especially Bobby akiwa uwanjani kwa vile dogo hana mbio kama Salah au Mane au Jota...

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom