Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Tukifungwa na spurs kesho ubingwa basi tena

The way I hate Mourinho...ntashindwa kula tukifungwa

The slip hadi leo nikiona clip nakosa raha
Mkuu mechi saa tano utakua ushakula 😂😂😂😂😂😂😂...

Kesho Spurs anakaa mbele ya mashabiki wetu kiduchu utaona kazi kazi ndugu just relax man...

YNWA
 
Mourinho anasema tunalia lia sana kuhusu injuries.

"I can give you a list of 10 injuries at Tottenham. We have two kids of the Under-16s with injuries, we have two others in the Under-21s and two in the Under-23s, we have Lamela and Tanganga. And here is a list of 10 players."
Hahaha kashaanza mind game Jose katika ubora wake...

YNWA
 
Eti anasema na yeye ana injuries 10, under 16, 21 na 23!
Haha anadai significance injury kwetu ni VVD hao wengine ni part time players..

Ina maanisha anakuja kuchukua pointi 3 Anfield na sio kingine hivyo anawapa morale wachezaji wake waje wakijua Liverpool wapo kamili haha Jose huyo.. Sasa akishafungwo anaanza kuwajibu waandishi fyoko kama vile haya ya leo hakutamka...

Hawa Spurs Anfield katika mechi 28 wameshinda mechi 2 hivyo wanajua sio mahala salama kwao...

In the meantime Ollachuga Oc na Werner wake haooooo gemu la pili wanachezea hii ndii EPL haha thanks Nuno...

YNWA
 
Uzembe wetu Tu
Leo ilikuwa Chelsea anajiondoa kwenye race
Anabaki gombea top four
Na kesho ingekuwa tunamtoa spurs..

Tume boronga Sana na Fulham..
Na makosa yalianzia na kuweka kikosi
Champions league..mechi ya mwisho..
Huwa sina HOFU yoyote ile tukiwa tunacheza ANFIELD,Lakini kwa mechi ya kesho naona kabisa Hatutoki kirahisi...........Nimeshajiandaa kisaikolojia.
 
Uzembe wetu Tu
Leo ilikuwa Chelsea anajiondoa kwenye race
Anabaki gombea top four
Na kesho ingekuwa tunamtoa spurs..

Tume boronga Sana na Fulham..
Na makosa yalianzia na kuweka kikosi
Champions league..mechi ya mwisho..

Klopp Klopp!

Ndiye aliyetupandisha, na ndiye atakayetushusha.

Hataki front 3 yake iguswe, ndiyo maana hata kumtoa Jota mapema alikataa, ili Jota acheze 90 minutes apate kisingizio cha kitomchezesha mechi ya weekend.
 
Huwa sina HOFU yoyote ile tukiwa tunacheza ANFIELD,Lakini kwa mechi ya kesho naona kabisa Hatutoki kirahisi...........Nimeshajiandaa kisaikolojia.
Huwa sina HOFU yoyote ile tukiwa tunacheza ANFIELD,Lakini kwa mechi ya kesho naona kabisa Hatutoki kirahisi...........Nimeshajiandaa kisaikolojia.

Mourinho hata akipata draw kwake ni ushindi
 
Huwa sina HOFU yoyote ile tukiwa tunacheza ANFIELD,Lakini kwa mechi ya kesho naona kabisa Hatutoki kirahisi...........Nimeshajiandaa kisaikolojia.
Huwa sina HOFU yoyote ile tukiwa tunacheza ANFIELD,Lakini kwa mechi ya kesho naona kabisa Hatutoki kirahisi...........Nimeshajiandaa kisaikolojia.

Mourinho hata akipata draw kwake ni ushindi
 
Nawaza Nawaza Defence ya kumzuia SON & KANE kwa sasa hatuna ni kuomba tu ALLISON atubebe na sio vinginevyo, Wakati huohuo Front 3 yetu kwa sasa imeisha uwezo wao wa kuibeba timu umepungua.
Shida iko katikati..
Nna wasiwasi Milner ataitwa asaidie..
 
Mourinho anasema tunalia lia sana kuhusu injuries.

"I can give you a list of 10 injuries at Tottenham. We have two kids of the Under-16s with injuries, we have two others in the Under-21s and two in the Under-23s, we have Lamela and Tanganga. And here is a list of 10 players."


Kuna watu akili hawana! Hivi nasisi tungekuwa na injuries 10 za kina:-
1) Origi
2) Neco
3) Tsimikas
4) Nat
5) Rhys
6) OX
7) Adrian
8) Milner
9) Grujic
10) Adekanye

Kuna Mtu hapo angeshuhulika na kusikitika kwa injuries?

Tunapozungumzia injuries anapaswa afahamu Kuwa tunazungumzia Key Players na si Magarasa.
 
Malizana na timu za saizi yako mkuu, mimi kwa misimu hii siyo saizi yako.
Hahahaha liva bhana hahaha team za saizi yangu ndo zinakupga saba clear no red no VAR no penalt mbya zaid team iliytak kushka daraj......... huu msimu namalza nikiwa juu yako tunza comment hii.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom