Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,360
- 21,713
Msifikili Kama simeon aliwasimamisha, basi anaweza kusimamisha chelseaNaona kama Chelsea ndo wanaishia hapo ..
Au watavuka?
Msifikili Kama simeon aliwasimamisha, basi anaweza kusimamisha chelseaNaona kama Chelsea ndo wanaishia hapo ..
Au watavuka?
Naona kama Chelsea ndo wanaishia hapo ..
Au watavuka?
angelino vs alexander arnold.Thiago anasaidia sana kukaba na kupeleka mipira mbele, sema sasa hizi majeruhi ndo shida.
kwa jicho la kawaida unaweza ukazipa alama ya kufuzu timu kubwa zote, ngoja tuone vugu vugu la february litakuwaje
Sijaona hapo wa kumzuia City
Waleteee
kwa kuangalia ubora wa timu mbili hizo kwa wakati huu ningelikuwa na mamlaka basi mmoja wao ningelimweka kwenye mdomo wa bayern munich na mwengine ningelimpeleka kwa atletico madrid.Mkuu hapo kwa psg na Barcelona nani atafuzu?
Nyie muda wenu wa kutoka ni liniKuna timu sio muda wao wakutoka saizi,wengine wanasubiria robo fainali Na nusu hapo ndio utazungumza wao kutolewa.
Nyie muda wenu wa kutoka ni lini
Lepzg anaweza wasimamisha.
Tubakishe akiba za maneno
Wazee wa Selhurst park and the now tittle contender Jose Mourinho we shall see what we get but I am not sure if we have guaranteed all wins this weekMan una imani na Keita to come and offer something to our course...
Nimemjaribu kumfuatilia namuona kama mzito fulani sijui ni macho yangu tu lakini naona aidha ha fit kwenye system ama hana tena imani na mwili wake mwenyewe sababu ya hizi recurring injuries....
Ukimtazma katika gemu 5 utaona gemu moja anakupa jambo zingine zote anachemka mbaya...
To be frank huyu ingekua tunapiga kura yangu ingekua aodoke tu akatafute maisha kwingine...
Henderson na Gini lol wanakua na gemu moja nzuriiiiii aafu gemu 3 hovyoo in short hatuna consistency pale MF especially away form na hili ni tatizo maana when our MFs get lost tunakosa dimension ya LB na RB kupeleka mashambulizi ndio kama jana Scott alijua vyema black our pembeni channels and we become toothless and aibu Klopp alichelewa kuliona lile...
Kloop kashajua ana MF kimeo wenye almost nill consistency na ndio maana ameamua kumbadili Takumi position na sasa amekua MF ili mradi kuleta uhai pale kati and all the best Takumi....
Ni ngumu kutegmea kushinda EPL kwa kutegemea kushinda mechi za nyumbani tu huku on the road tunaumia...
Jones woow whats a talent in making huyu dogo ni jembe haswa at his age and his vision and ball ideas ni world class in the making hapa tumeokoa almost £40m kuingia sokoni kupata this kind of talent...
Now going forward shinda kuu ni how do we keep Thiago, Shaqir, Chamberlain fit ambao wote wana those killer cutting passes kwenye final 3rd...ni aibu when our usual creators LB na RB wanabanwa tunakua butu kiasi hiki yaaani haikumbaliki...
Next 2 games ni noma kwanza tupo nyumbani na Spurs Jumatano aafu Jumamosi tupo na Crystal Palace ugenini itakua na moja ya viwanja nisivyovipenda ni pale Eagles...
Muda ni mchache all the best kwa vijana..
YNWA
Sio level yetu kabisa hao watoto wa LondonMalizana na timu za saizi yako mkuu, mimi kwa misimu hii siyo saizi yako.
Simeone faster sana anakuja kuwachomoaLeipziq sio Fulham.
kuliko OX????...... au kwa vile OX ni mwingereza?Kwanini nisimnange??? Kwanini???
Na wakati FLOP OF THE SEASON EPL tayari ni yeye.
Usijisahaulishe kuwa huyo huyo Everton ndiye anayekunyimaga usingizi kuliko tim zote pale EPL na bado yajayo yanafurahisha kwa mechi ya marudiano, ni heri ukitunza akiba ya maneno Chifu.
Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
Haya majamaa yanajificha kwenye kivuli cha epl, hapo anfield mbona huwa mnachapika tu .
mbona atlanta katoka na Point tatu hapo
Atletico madrid kawatoa uefa hapo anfield
Sijaona Point ya anfield mimi
Mkuu acheni kujificha epl, mlivompiga Barcelona uefa mlisema" this is anfield " hatoki mtu akijaMuulize Gaurdiola tangu aje EPL katika gemu 4 alizokuja Anfield kapata jumla ya point 1 tuu