Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Nilipoona Chelsea kapigwa, nikahis kale ka ugonjwa ka wiki ya wakubwa kuzingua kamefika. Man U na City droo nikawa na 50%. Droo ya Spurs ikanipa 80% ya ama liver kupigwa au droo.
Mashaniki wenye mahaba walikuwa wanashangilia tu jana Vidume Chelsea alipofungwa 1-0 kumbe na wenyewe ni sawa na watoto tu hawawezi kulala na hela hahaaaa...

Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
 
Mashaniki wenye mahaba walikuwa wanashangilia tu jana Vidume Chelsea alipofungwa 1-0 kumbe na wenyewe ni sawa na watoto tu hawawezi kulala na hela hahaaaa...

Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
Wiki ya hovyo kabisa hii
Bora Chelsea, Man U, City na Spurs wamecheza na strong clubs
Huyu Liverpool anaitafuta draw kwa relegation!!!
 
Wiki ya hovyo kabisa hii
Bora Chelsea, Man U, City na Spurs wamecheza na strong clubs
Huyu Liverpool anaitafuta draw kwa relegation!!!

Yaani unalinganisha Chelsea aliyepata 0 point na Liverpool aliyepata point 1?

Hiyo timu iliyomfunga Chelsea sisi tumepata point 1 pia kwenye huo uwanja.
 
Hao jamaa wana kelel sana yani jana nilikuwa najitahidi kuwavumilia lkn wapi, sasa ndipo wanaanza kuelewa kwanini epl huwa haina cha ball possesion wala more strikers linapokuja swala la mechi.

Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app

Unajifariji tu, 0 point vs 1 point bado ni mbali mbali.

Huyo Everton mimi nimepata point 1 uwanja huo huo.
 
Manapoona

Man City ana draw

Spurs ana draw

Chelsea anapigwa

Msije mkadhan nyie ni special sana


Mungu ni wetu sote

Hii Dunia ni ya wote


Maombi yangu yametimia,

Asante sana mwenyezi Mungu


Endelea kutenda miujiza hadi jumatano

Kampe nguvu SON Kama za samson ,akawapanue pale anfield Kama alivopanua mdomo wa simba

Wote tuseme Amina...!
AMINA.

Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
 
Klopp alimchezesha hivyo ili amalize dakika 90, akimaliza dakika 90 maana yake game ya leo Firmino anaanza, na Jota anakaa benchi.

Ni kama alikuwa na plan ya kumpunguza spidi ili Firmino aendelee kuanza, maana alishaanza kutishia namba.

Hata siku ya Wolves nilishangaa hakumwanzisha, uzuri tulishinda.

Klopp amekipata alichokuwa anakitafuta, front 3 yake imebaki salama. Ngoja tuone itatupa matokeo gani.
Amefanya utoto aiseee
 
Hahaha, ulipanic sana jana baada ya kufungwa.

Ligi ngumu sana hii, leo ilifika sehemu nikatamani tupate sare tu.
Wala sinaga hii tabia ya kuja kwenye majukwaa ya wengine lkn uliponiambia kuwa hii ni open forum ilihali Chelsea ikishinda hamuonekani kule nami nikaamua niunge mkono juhudi zako Chifu hahaaa...26 next matches are still downloaded there to realize which team is deserved to the new champion of epl 2020-2021, namwomba MUNGU atujalie uzima zaidi.

Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
 
Wiki ya hovyo kabisa hii
Bora Chelsea, Man U, City na Spurs wamecheza na strong clubs
Huyu Liverpool anaitafuta draw kwa relegation!!!
That is why the EPL is obviously seen as too difficult comparing to the other European countries leagues, hence it does not take the big team as the most catalyst reference to win every small team and vise versa is true.

Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
 
Yaani unalinganisha Chelsea aliyepata 0 point na Liverpool aliyepata point 1?

Hiyo timu iliyomfunga Chelsea sisi tumepata point 1 pia kwenye huo uwanja.
Usijisahaulishe kuwa huyo huyo Everton ndiye anayekunyimaga usingizi kuliko tim zote pale EPL na bado yajayo yanafurahisha kwa mechi ya marudiano, ni heri ukitunza akiba ya maneno Chifu.

Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
 
Usijisahaulishe kuwa huyo huyo Everton ndiye anayekunyimaga usingizi kuliko tim zote pale EPL na bado yajayo yanafurahisha kwa mechi ya marudiano, ni heri ukitunza akiba ya maneno Chifu.

Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app

Nimepata point 1 kwenye uwanja wake, ambapo wewe umepata 0.

Next game yeye atakuja Anfield, uwanja ambao sijafungwa inaenda mwaka wa nne sasa kwenye EPL, akija atafungwa.

Wewe pia una point zangu 3 za round ijayo, maana round hii umeshanipa.
 
Nimepata point 1 kwenye uwanja wake, ambapo wewe umepata 0.

Next game yeye atakuja Anfield, uwanja ambao sijafungwa inaenda mwaka wa nne sasa kwenye EPL, akija atafungwa.

Wewe pia una point zangu 3 za round ijayo, maana round hii umeshanipa.
Hahhaa mkuu sory nimeingilia mada kwan liva akicheza UEFA na EPL anakuwa tofauti?

logic yangu ni kwmba anfield unapigika vzr usijitete na EPL yahn si unawakumbuka atletico walivyokunyonyoa in out?

Atalanta mweke pemben hapo.
 
Wala sinaga hii tabia ya kuja kwenye majukwaa ya wengine lkn uliponiambia kuwa hii ni open forum ilihali Chelsea ikishinda hamuonekani kule nami nikaamua niunge mkono juhudi zako Chifu hahaaa...26 next matches are still downloaded there to realize which team is deserved to the new champion of epl 2020-2021, namwomba MUNGU atujalie uzima zaidi.

Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app

Ni open forum mkuu, binafsi natembelea nyuzi zote timu ishinde au isishinde.

Tatizo lenu Chelsea mmeji overrate sana, mnataka mzungumziwe kwa kiwango kisicho chenu, when it comes to Liverpool you are just an average team. Nikihitaji matokeo kutoka kwenu nayapata anytime.
 
Hahhaa mkuu sory nimeingilia mada kwan liva akicheza UEFA na EPL anakuwa tofauti?

logic yangu ni kwmba anfield unapigika vzr usijitete na EPL yahn si unawakumbuka atletico walivyokunyonyoa in out?

Atalanta mweke pemben hapo.

Kwamba hujui kama EPL ni mashindano tofauti na UEFA?

Najua unajua ila umetafuta kichaka cha kujifichia.

Nitajie timu unayoshabikia nikupe matokeo yake Anfield kwa miaka hii minne.

To be clear: Mara ya mwisho Liverpool kufungwa Anfield kwenye Ligi ilikuwa tar 27 April 2017, ni zaidi ya miaka mitatu na nusu. A record your team can dream of.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom