Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Adjustments.jpg
 
Muda wa kutafuta statistics za Liability player kama Keita sina.

Keita is more than a liability kwa Club.......He is a big Liability .
That's not a Footballer.

19 yrs old local lad CURTIS JONES was far better than £48 ml Keita.
Kipenzi chako Gini anampita hadi Henderson kwa square passes
 
Kwamba hujui kama EPL ni mashindano tofauti na UEFA?

Najua unajua ila umetafuta kichaka cha kujifichia.

Nitajie timu unayoshabikia nikupe matokeo yake Anfield kwa miaka hii minne.

To be clear: Mara ya mwisho Liverpool kufungwa Anfield kwenye Ligi ilikuwa tar 27 April 2017, ni zaidi ya miaka mitatu na nusu. A record your team can dream of.
Don
Remember chelsea alicheza 86 games from february 2004 to october 2008 bila kupoteza games yoyote ya league alizocheza home
 
Muda wa kutafuta statistics za Liability player kama Keita sina.

Keita is more than a liability kwa Club.......He is a big Liability .
That's not a Footballer.

19 yrs old local lad CURTIS JONES was far better than £48 ml Keita.
Na pia usiwe na muda wa kumnanga mchezaji wa high Caliber ila ana tatizo la majeruhi kama Keita
 
Spurs & then Crystal palace..

I'm slightly worried about Spurs, because wapo kwenye top form, but i think it will be a narrow win or a draw, itakuwa at Anfield, so ni big advantage.

But, Crystal Palace will be TOUGH.
Yes, you are right. You should be worried about that team with a real cock on their logo. They are very dangerous in terms of obtaining results from top teams.

Beat United 6-1

Beat City 2-0

Beat Arsenal 2-0

Chelsea survived, but will be shot again in the reverse fixture

Guess what's next for you on Wednesday night.
 
Kwamba hujui kama EPL ni mashindano tofauti na UEFA?

Najua unajua ila umetafuta kichaka cha kujifichia.

Nitajie timu unayoshabikia nikupe matokeo yake Anfield kwa miaka hii minne.

To be clear: Mara ya mwisho Liverpool kufungwa Anfield kwenye Ligi ilikuwa tar 27 April 2017, ni zaidi ya miaka mitatu na nusu. A record your team can dream of.
Hahaha me bingwa wako wako wa kihistoria

Mkuu unatka kunmbia ukicheza mechi za epl ukiwa home unakaza kuliko UEFA ukiwa home???

Me nadhan hata EPL home unachapika ila muda wako bado unakarbia tena Safari hii nitakuchapa hapo hapo uwanja wko wa 40k.
 
I'm not trying to blame anyone for this painful draw, but lets face it, the two Klopp's system midfielders (Hendo + Gini), wametu-let down sana this season, especially kwenye away games, its just surreal kuona a 19 year-old MF anakuwa mchezaji wetu bora kwenye midfield-3 katika game tight zote tulizokuwa nazo this season.

Hawa system MFs wanashindwa kabisa ku-function system ikiwa haifanyi kazi, Fulham managed to shut down our 2 fullbacks, and pressed hard kutokea katikati kwenye 1st half, midfield ikawa inakosa kabisa room za ku-supply mipira kwenye wide areas, they cant drive the ball foward, they cant hold on mipira even for 2 seconds, Hendo akipata mipira kwenye tight angles anakimbilia tu ku-hoof forward bila hata kujaribu ku-hold possession and let the team ku-organize line patterns za ku-influence out attacking procedures, Gini anaishia kupiga short passes (most of them are side ways & back passes) ambazo hazisaidii kabisa ku-retain progressive possession from MF area, mtoto mdogo kama Jones ndiyo anaishia kuwa our driving MF, this is embarrassing, we are missing Fabinho a LOT kwenye MF, but hatuna jinsi now, anatakiwa aendelee kuongoza back-line yetu.

Klopp bought Thiago, kwaajili ya ku-nulify hawa system MFs tulionao, he wanted something new kwenye MF, but Thiago injury problems zimelazimisha turudi kule kule, midfield yetu imekuwa mbovu sana msimu huu, bila umahiri wa Fab, alisson, Matip and the kids (young CBs) pamoja na our front 3,especially Salah & Jota, tungekuwa sehem mbaya sana kwenye league, 1st half yote leo tumecheza bila MF, midfield gani ambayo Trent & Robertson wakinyimwa nafasi ya kutawala mpira inakuwa hovyo? we need to change this, Klopp anatakiwa kubadilisha hii, thanks to Jones anajitahidi sana ku-drive the MF, but he's still a kid, hatuwezi kumtegemea sana kwa hili, tutaumia sana huko mbeleni.

Now, we just need to pray kuendelea kuwa kwenye top 3, mpaka january, then tununue a serious CB, and pray to God Thiago atakuwa fit, because kurudi kwake ndiyo kutatufanya tushinde hii LEAGUE, i dont expect Fabinho kurudi tena kwenye DM role this season kwasababu ya fitness issues za Matip, hata tukinunua CB he will be partnered na Fabinho, so he needs to stay there, and we need to hope, Thiago, Ox, Shaqiri and Keita wawe fit kiasi (worrying about Keita man), ili waweze ku-impact our 2nd round kwenye league.


And, Klopp needs to work on away form, its not good at all this season.
Man una imani na Keita to come and offer something to our course...

Nimemjaribu kumfuatilia namuona kama mzito fulani sijui ni macho yangu tu lakini naona aidha ha fit kwenye system ama hana tena imani na mwili wake mwenyewe sababu ya hizi recurring injuries....

Ukimtazma katika gemu 5 utaona gemu moja anakupa jambo zingine zote anachemka mbaya...

To be frank huyu ingekua tunapiga kura yangu ingekua aodoke tu akatafute maisha kwingine...

Henderson na Gini lol wanakua na gemu moja nzuriiiiii aafu gemu 3 hovyoo in short hatuna consistency pale MF especially away form na hili ni tatizo maana when our MFs get lost tunakosa dimension ya LB na RB kupeleka mashambulizi ndio kama jana Scott alijua vyema black our pembeni channels and we become toothless and aibu Klopp alichelewa kuliona lile...

Kloop kashajua ana MF kimeo wenye almost nill consistency na ndio maana ameamua kumbadili Takumi position na sasa amekua MF ili mradi kuleta uhai pale kati and all the best Takumi....

Ni ngumu kutegmea kushinda EPL kwa kutegemea kushinda mechi za nyumbani tu huku on the road tunaumia...

Jones woow whats a talent in making huyu dogo ni jembe haswa at his age and his vision and ball ideas ni world class in the making hapa tumeokoa almost £40m kuingia sokoni kupata this kind of talent...

Now going forward shinda kuu ni how do we keep Thiago, Shaqir, Chamberlain fit ambao wote wana those killer cutting passes kwenye final 3rd...ni aibu when our usual creators LB na RB wanabanwa tunakua butu kiasi hiki yaaani haikumbaliki...

Next 2 games ni noma kwanza tupo nyumbani na Spurs Jumatano aafu Jumamosi tupo na Crystal Palace ugenini itakua na moja ya viwanja nisivyovipenda ni pale Eagles...

Muda ni mchache all the best kwa vijana..

YNWA
 
Mimi siyo linguistic, na ni dalili za mwisho kuishiwa hoja hadi umehamisha akili yako kuleta personal attacks, pole sana Chifu, hii ndiyo dunia.

Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app

Nimesema ungeandika kiswahili ningeelewa ulichoandika ili nikujibu, maana tulikuwa tunajadili kwa kiswahili, then nikaona umenibadilikia kwa kutumia kiingereza tena kigumu sana.
 
Ulikuwa wapi hizyo miaka 30 yote ambayo ulikuwa huna ubingwa wa EPL ilihali tangu Mourinho atue Chelsea 2003 hadi sasa tumeshabeba EPL zaidi ya mara 6? Tunza akiba ya maneno NARUDIA TENA "tunza akiba ya maneno"

Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app

Ukiweza kutaja miaka mliyochokuwa ikazidi 6 nahamia kushabikia Chelsea au najipiga ban mwaka mzima.

Toka Chelsea imeumbwa, kama mmechukua Ligi kuu zaidi ya mara 6, niwekee miaka hapa.
 
Hahaha me bingwa wako wako wa kihistoria

Mkuu unatka kunmbia ukicheza mechi za epl ukiwa home unakaza kuliko UEFA ukiwa home???

Me nadhan hata EPL home unachapika ila muda wako bado unakarbia tena Safari hii nitakuchapa hapo hapo uwanja wko wa 40k.

Malizana na timu za saizi yako mkuu, mimi kwa misimu hii siyo saizi yako.
 
Tuanze kwanza penati tuliyonyimwa Chelsea pale OT Magure akimkaba Azpilicueta, itoshe tu kusema wakati mwingine waamuzi huwa na mahaba yao au wanabeti full stop.

Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
. Kwanza changanua HARIMAGWAYA Ni mwisho MBritish na Reffar Ni MBritish Wabritish huwa wanabebana tofauti na hapo kipaji chako kikusaidie mwenyewe
 
Haya majamaa yanajificha kwenye kivuli cha epl, hapo anfield mbona huwa mnachapika tu .

mbona atlanta katoka na Point tatu hapo

Atletico madrid kawatoa uefa hapo anfield


Sijaona Point ya anfield mimi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom