DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,871
Tatizo zile 7 nilijua wamebahatišha dahSisi tumedundwa 7 na tumetulia, Wewe 3 tu unajifanya kuumiiiia![]()
Tatizo zile 7 nilijua wamebahatišha dahSisi tumedundwa 7 na tumetulia, Wewe 3 tu unajifanya kuumiiiia![]()
Madogo wengi sana wana imani kwa vile wote watakua wapo Kirkby basi Klopp atakua anawaona na kushauriana na jopo lake namna vyema ya kuwa integrate kwenye 1st team provisional squad ama kuwatoa kwa mkopo ama kuwauza nk..Wale Madogo wamenunuliwa kibiashara tu lakini sio rahisi kutoboa.
Brewster kauzwa
Ki-Jana kauzwa
Wilson alikosekana Mteja aliyefikia bei.
Dem Berge sioni njia ya kutoboa.
Hapa uhakika ni Jones tu.
Neco na Grujic ni 50/50
Jota kanunuliwa kwa ajili ya kutumiwa na sio kusubiri future.
Kwahiyo issue ya wale Madogo haikuwa reality
Wajina wee fala sana.Tatizo zile 7 nilijua wamebahatišha dah
Matip 29yrs
Gini 30yrs
Thiago 29yrs
Milner 34yrs
Firmino 30yrs
Henderson 31yrs
Hapo kuna kitu cha kufanya ili kubalance umri wa Wachezaji
Wewe jamaa utapata Shida sana kutafuta attention kwenye huu uzi.
Usione tumenyamaza jua kuna Watu tunakuangalia tu hapa tukiamua kukushukia utakimbia kama kina Mr. Tajiri walivyokimbia hapa.
Yani unapata shida bure tu! Huna sifa nzuri utakayompa Bobby ambayo sisi hatujawahi kumpa hapa.
Labda jiulize alilipataje jina la Bobby kutoka Firmino.
Once Bobby was our hero but not anymore.
Hahaha Bobby is the system so they say...Jamaa anampenda Firmino kuliko anavyoipenda Liverpool
Duh timu imejaa wazee hii..🙃🙃Matip 29yrs
Gini 30yrs
Thiago 29yrs
Milner 34yrs
Firmino 30yrs
Henderson 31yrs
Hapo kuna kitu cha kufanya ili kubalance umri wa Wachezaji
Una bahatisha goli saba😳😳😳Tatizo zile 7 nilijua wamebahatišha dah
Duh timu imejaa wazee hii..🙃🙃
Baada ya International Fabinho, Thiago and TAA will be back au karibu karibu na kurudi.
Only VVD atakuwa missed.
OX na Keita no more my favorites, I'm very disappointed by their endless injuries, I wish them kila la kheri kwenye future life zao.
Mkuu Lallana gemu yao ya kwanza hata hakumaliza aliumia zile muscle pull zake..Mkuu hao wakina Ox na keita wakiondoka hapo liverpool utashangaa hawaumii tena kama lallana sasa hivi kila mechi yuko fit.
Brighton hawachezi high pressing game hivyo pale dogo atafanikiwa aisee... Lallana huyu huyu kipindi tunacheza genggenpressing unamkumbuka alikimbiza vyema tu.. Nadhani pia na umri na kuumia mia mara kwa mara kulishusha confidence yake...Mkuu hao wakina Ox na keita wakiondoka hapo liverpool utashangaa hawaumii tena kama lallana sasa hivi kila mechi yuko fit.