Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,585
Mbona mnachat sana
Hamna kazi nyingine nyie jamaaaa
Mbona sielewi maisha yanavyoenda, wakuu, nyie mnaishi vipi mtaani?
Niko mtaani hapa, sioni ramani kabisa, umri unaenda, mwili unanisumbua unataka kuoa, pesa haionekani, huna hela hapa mjini kila mwanamke anakuona kikalagosi ni virugu na kichwa kuchanganyikiwa, mpaka sasa sina nacho miliki (26 year Old) zaidi ya -Account tatu za kubet ,betpawa ,1xbet,premiaer...
