Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kuna Kitu cha Kujadili hapa kama wapenda soccer.

PEP ametumia pesa nyingi sana (Huge Budget) kutengeneza strong defence line lakini ameshidwa kufanikiwa, mchezaji pekee aliyefanikiwa kwa 100% ni Laporte lakini kwa bahati mbaya majeruhi yamemrudisha nyuma na kuporomosha kiwango chake kwa takribani 50%.

Je kufeli kwa Defence ya Man City licha ya kusajili Mabeki wazuri wewe ukiwa Mshabiki wa Mpira unadhani sababu ni nini?

Nilichogundua mimi kwa upande wangu ni:-
- Mfumo wa PEP wa Tiktaka haufiti kwa mabeki ambao hawakukulia katika mfumo huo kama waliokulia kina Peque pale Lamacia. Hivyo kila Beki anayesajiliwa anashindwa kuadapt na Mfumo.

- Kuto kuwaamini Vijana au Academy graduates na kukimbilia kuwaamini wale waliosajiliwa kwa Mkwanja mrefu.
MFANO:-
Kama si injury ya Clyne nadhani tusingejua kama kuna Mtu anaitwa TAA.
Kama sio Injury ya Moreno tusingejua kama kuna Mtu anaitwa ROBBO.
Lakini baada ya kucheza Klopp akawaamini.

Hivyo na pale Man City pana Dogo anacheza Left Back anaitwa ZINCHEKO, huyu dogo kiukweli ni mchezaji mzuri sana lakini PEP Kashindwa kumuamini.

Lakini angemuamini huyu Dogo basi angefanikiwa kusolve sehemu ya Defence yake na kupunguza gharama.

Sikujua sababu ya kumsajili Ake kwa gharama kubwa wakati sio upgrade ya mabeki alionao.

Je, una maoni yoyote?
 
Kwa upande wangu navoona

Pep Ni kocha ambaye anapenda Sana kilichotengenezwa Yani wachezaji wazoefu

Kingine: Pep Ni kocha ambaye anaamini kile alichonacho hata Kama kina madhara kwake ana mabeki wazuri bech tatizo hawaamini

Misimu miwili nyuma swala la kufunga kwa Rahem ilikuwa Jambo la kawaida akamuamini nw anahangaika kufunga

KUISHIWA MBINU

Ndiyo Pep pamoja nakuamini kuwa ili upate kushinda yakupasa uwe na wachezaji wazoefu lakini pamoja na uzoefu wao pep ndo kocha ambaye ukimtangulia kumfunga Ni kocha ambaye ukiwa makini Hana maajabu yoyote

All in all 21 YNWA 🙏🙏🙏
 
Vipaji vya kulindwa ndani ya Liverpool

Jones
Elliot
Neco
Ki-Jana
Elliott baada kutolewa Carabao alipelekwa kwa mkopo naamini ni muhimu kwa development yake..

Jones man huyu ni new breed kabisa yupo flexible na ana nidhamu pia japo kuna kazi inabitajika ila zile basics amekamilika haswaaa..

Neco hana utulivu kazi kwake bado sanaaa..

Ki Jana mkuu alishauzwa Wolverhampton... Unless ulimaanisha Sepp..

YNWA
 
Kuna Kitu cha Kujadili hapa kama wapenda soccer.

PEP ametumia pesa nyingi sana (Huge Budget) kutengeneza strong defence line lakini ameshidwa kufanikiwa, mchezaji pekee aliyefanikiwa kwa 100% ni Laporte lakini kwa bahati mbaya majeruhi yamemrudisha nyuma na kuporomosha kiwango chake kwa takribani 50%.

Je kufeli kwa Defence ya Man City licha ya kusajili Mabeki wazuri wewe ukiwa Mshabiki wa Mpira unadhani sababu ni nini?

Nilichogundua mimi kwa upande wangu ni:-
- Mfumo wa PEP wa Tiktaka haufiti kwa mabeki ambao hawakukulia katika mfumo huo kama waliokulia kina Peque pale Lamacia. Hivyo kila Beki anayesajiliwa anashindwa kuadapt na Mfumo.

- Kuto kuwaamini Vijana au Academy graduates na kukimbilia kuwaamini wale waliosajiliwa kwa Mkwanja mrefu.
MFANO:-
Kama si injury ya Clyne nadhani tusingejua kama kuna Mtu anaitwa TAA.
Kama sio Injury ya Moreno tusingejua kama kuna Mtu anaitwa ROBBO.
Lakini baada ya kucheza Klopp akawaamini.

Hivyo na pale Man City pana Dogo anacheza Left Back anaitwa ZINCHEKO, huyu dogo kiukweli ni mchezaji mzuri sana lakini PEP Kashindwa kumuamini.

Lakini angemuamini huyu Dogo basi angefanikiwa kusolve sehemu ya Defence yake na kupunguza gharama.

Sikujua sababu ya kumsajili Ake kwa gharama kubwa wakati sio upgrade ya mabeki alionao.

Je, una maoni yoyote?

Mkuu klopp ametufundisha mengi sana kwenye mpira.

mimi ningekuwa kocha kabla ya ujiowa wa klopp liverpool ningekuwa nasajiri kama pep tu nikifail nasajiri tena.

kushindwa kwa pep kwenye defence line me naona ni kushindwa kwa kocha mwenyewe kwenye mitazamo yake. Yeye anaamini kwenye kutumia hela .

hao madogo wa kuwa pandisha ndio wanakuwa wanapambana sana kuliko hao wakunua hela nyingi ,madogo inakuwA rahisi sana kucopy.



Na kingine hao mabeki anaonunua kwa hela nyingi hawana hiyo thamani ndio maana wanafail,wanawapigwa tu hela kwa kuwa zipo,me inawezekana sijui ila paund mil 40 Kwa beki ambae timu imeshuka daraja sijawahi kuona nimeona kwa man city hapo na fc Bournemouth.

Wachezaji waliosajiriwa na hela nyingi ila huwezo hawana ndio maana wanashindwa kuingia kwenye vile pep anataka.


Pep Angekuwa anawahamini hao madogo kwa kuwajaribu dak za mwisho Baada ya mkupiga mtu goli nyingi,ili kujichagulia beki atakae fiti na mfumo wake mpaka leo angekuwa ameshapata kuliko unanunua unamuweka anafail hapo ndio basi tena.lakini ikiwa ametoka kwenye academy yao unaleta mwingine,na mwingine na watapambana ili waingie kwenye timu ya wakubwa maana wanapendA sana maana wanakuwa ndio wamesha toka hapo.


Klopp amekuwa akimuamini kila mchezaji hata kama anafungisha anabeba lawama zote yeye na pia lakini mara nyingi mwisho wake unakuwa mzuri na for future unakuwa na timu imara.
 
Matip 29yrs
Gini 30yrs
Thiago 29yrs
Milner 34yrs
Firmino 30yrs
Henderson 31yrs

Hapo kuna kitu cha kufanya ili kubalance umri wa Wachezaji
Hahaha kaka ina maana wale serengeti boys walionunuliwa kwa fujo na Edwards dirisha lilopita hukujua wanakuja kuchukua namba kwa hao wakongwe miaka ijayo haha..

Kwa kubalance, Firmino ameanza na Jota..

Jones anachukua namba ya Gini...

Matip kuna Billy the Boy anatafuta match fitness naamini soon nae atapata namba..

YNWA
 
Mkuu klopp ametufundisha mengi sana kwenye mpira.

mimi ningekuwa kocha kabla ya ujiowa wa klopp liverpool ningekuwa nasajiri kama pep tu nikifail nasajiri tena.

kushindwa kwa pep kwenye defence line me naona ni kushindwa kwa kocha mwenyewe kwenye mitazamo yake. Yeye anaamini kwenye kutumia hela .

hao madogo wa kuwa pandisha ndio wanakuwa wanapambana sana kuliko hao wakunua hela nyingi ,madogo inakuwA rahisi sana kucopy.



Na kingine hao mabeki anaonunua kwa hela nyingi hawana hiyo thamani ndio maana wanafail,wanawapigwa tu hela kwa kuwa zipo,me inawezekana sijui ila paund mil 40 Kwa beki ambae timu imeshuka daraja sijawahi kuona nimeona kwa man city hapo na fc Bournemouth.

Wachezaji waliosajiriwa na hela nyingi ila huwezo hawana ndio maana wanashindwa kuingia kwenye vile pep anataka.


Pep Angekuwa anawahamini hao madogo kwa kuwajaribu dak za mwisho Baada ya mkupiga mtu goli nyingi,ili kujichagulia beki atakae fiti na mfumo wake mpaka leo angekuwa ameshapata kuliko unanunua unamuweka anafail hapo ndio basi tena.lakini ikiwa ametoka kwenye academy yao unaleta mwingine,na mwingine na watapambana ili waingie kwenye timu ya wakubwa maana wanapendA sana maana wanakuwa ndio wamesha toka hapo.


Klopp amekuwa akimuamini kila mchezaji hata kama anafungisha anabeba lawama zote yeye na pia lakini mara nyingi mwisho wake unakuwa mzuri na for future unakuwa na timu imara.
Most influential people 2020 in the World Klopp yupo top pale Uingereza na kwenye top 100 duniani hii ni kutokana na uongozi wale pale Liverpool...

Namna anahandle wachezaji, waandishi wa habari nk..

Klopp is definitely a genius..

Long live Klopp..

YNWA
 
Hahaha kaka ina maana wale serengeti boys walionunuliwa kwa fujo na Edwards dirisha lilopita hukujua wanakuja kuchukua namba kwa hao wakongwe miaka ijayo haha..

Kwa kubalance, Firmino ameanza na Jota..

Jones anachukua namba ya Gini...

Matip kuna Billy the Boy anatafuta match fitness naamini soon nae atapata namba..

YNWA


Wale Madogo wamenunuliwa kibiashara tu lakini sio rahisi kutoboa.

Brewster kauzwa
Ki-Jana kauzwa
Wilson alikosekana Mteja aliyefikia bei.
Dem Berge sioni njia ya kutoboa.

Hapa uhakika ni Jones tu.

Neco na Grujic ni 50/50

Jota kanunuliwa kwa ajili ya kutumiwa na sio kusubiri future.

Kwahiyo issue ya wale Madogo haikuwa reality
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom