Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Ngoja kwanza nijitayarishe kwenda kazini comments zitafuata nikifika Ofisini.
Wewe hivi karibuni tu ulikuwa ukiomba tukuombee unafanya mtihani wa NECTA, leo uko kazini, hahahahahahNgoja kwanza nijitayarishe kwenda kazini comments zitafuata nikifika Ofisini.


mkuu ulikuwa unafanya QT eeeeewh?hilo swala ni lakutafutia ufumbuzi, msimu wa 2018/19 kwenye uefa tuliwafunga hapo etihad,sasa hivi imekuwa city akiwa nyumbani atashinda dhidi ya liverpool au draw hiyo draw hapo utakuta city walikosa penalty.ila sisi kushinda haiwezekani . ni dalili nzuri ,ukiangalia na licha ya baadhi ya wachezaji wa liverpool kukosekana.
Aseno mbovuMkuu DullyJr hawa Aston Villa ukiwaruhusu wacheze mpira wao basi ujue huna chako na hapa naona wameliamsha kweli...
YNWA
Na wewe uliona hio kituGini pia anatakiwa aache unnecessary turn na dribble kwani anaishia kupoteza mipira ambayo husababisha hatari kwetu.

ROBBO bhana yule jamaaRobbo jana was on![]()

ana mapafu ya wapi sijuiMzigo wa kuniBobby ile nafasi ya mapema hakupaswa kukosa kwa namna yoyote ile.
Kiukweli jamaa amepungua uwezo sana! Ila nampa heshima yake kwa aliyotufanyia kwa miaka yote aliyokuwa Liverpool.
Kwasasa anaweza kutafuta new challenge.
Mzigo wa kuni
Aanzie bench ni njia ya kurudsha makali pia kwa mchezaji mkuuJana Bobby mpaka nilimwonea huruma, kuna muda utafika kocha naye itabidi aelewe tu.
Wewe hivi karibuni tu ulikuwa ukiomba tukuombee unafanya mtihani wa NECTA, leo uko kazini, hahahahahahmkuu ulikuwa unafanya QT eeeeewh?
Afadhali Boby kuliko yale mizoga anayonunua Jana TAA naye injury
Tunakoelekea cjui
Aseno mbovu
City mbovu
Man u mbvu
Atleast Chelsea Wana uhai
Hili kombe tukitulia tunabeba asubuhi kabsa
. 🤣🤣🤣🤣 Alafu nakuonaga kiherehere flani Amazing flani hiviiWewe jamaa utapata Shida sana kutafuta attention kwenye huu uzi.
Usione tumenyamaza jua kuna Watu tunakuangalia tu hapa tukiamua kukushukia utakimbia kama kina Mr. Tajiri walivyokimbia hapa.
Yani unapata shida bure tu! Huna sifa nzuri utakayompa Bobby ambayo sisi hatujawahi kumpa hapa.
Labda jiulize alilipataje jina la Bobby kutoka Firmino.
Once Bobby was our hero but not anymore.
EebohNimeajiriwa tokea nipo Kidato cha 4 sasahivi naandaa Post nipo City College nasoma Nursing Certificate![]()

Mkuu DullyJr hawa Aston Villa ukiwaruhusu wacheze mpira wao basi ujue huna chako na hapa naona wameliamsha kweli...
YNWA
MsibaMan city kaisha maana hata sisi ametufunga moja huku akicheza kwa kulinda hatari...Nikiangalia Misimu miwili iliyopita ndani ya Etihad tumepoteza Mfululizo.
2018/19
Man City 2 - 1 Liverpool
2019/20
Man City 4 - 1 Liverpool
But:
2020/21
Man City 1 - 1 Liverpool
Hii ina kila dalili ya kuwa either tumeboreka au Man City ameisha zake.
Bhana kitoto Cha malafyale hicho we jamaaWewe jamaa utapata Shida sana kutafuta attention kwenye huu uzi.
Usione tumenyamaza jua kuna Watu tunakuangalia tu hapa tukiamua kukushukia utakimbia kama kina Mr. Tajiri walivyokimbia hapa.
Yani unapata shida bure tu! Huna sifa nzuri utakayompa Bobby ambayo sisi hatujawahi kumpa hapa.
Labda jiulize alilipataje jina la Bobby kutoka Firmino.
Once Bobby was our hero but not anymore.
Nmekiambia Jana kiache ujingaWewe jamaa utapata Shida sana kutafuta attention kwenye huu uzi.
Usione tumenyamaza jua kuna Watu tunakuangalia tu hapa tukiamua kukushukia utakimbia kama kina Mr. Tajiri walivyokimbia hapa.
Yani unapata shida bure tu! Huna sifa nzuri utakayompa Bobby ambayo sisi hatujawahi kumpa hapa.
Labda jiulize alilipataje jina la Bobby kutoka Firmino.
Once Bobby was our hero but not anymore.