Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

hilo swala ni lakutafutia ufumbuzi, msimu wa 2018/19 kwenye uefa tuliwafunga hapo etihad,sasa hivi imekuwa city akiwa nyumbani atashinda dhidi ya liverpool au draw hiyo draw hapo utakuta city walikosa penalty.ila sisi kushinda haiwezekani . ni dalili nzuri ,ukiangalia na licha ya baadhi ya wachezaji wa liverpool kukosekana.

Misimu mitatu iliyopita hatujawahi kutoa draw kwenye ligi pale Etihad, tumekufa 5, 2 kwa 1 na last time 4 bila.
 
Afadhali Boby kuliko yale mizoga anayonunua Jana TAA naye injury


Tunakoelekea cjui
 
Afadhali Boby kuliko yale mizoga anayonunua Jana TAA naye injury


Tunakoelekea cjui

Wewe jamaa utapata Shida sana kutafuta attention kwenye huu uzi.

Usione tumenyamaza jua kuna Watu tunakuangalia tu hapa tukiamua kukushukia utakimbia kama kina Mr. Tajiri walivyokimbia hapa.

Yani unapata shida bure tu! Huna sifa nzuri utakayompa Bobby ambayo sisi hatujawahi kumpa hapa.

Labda jiulize alilipataje jina la Bobby kutoka Firmino.

Once Bobby was our hero but not anymore.
 
Wewe jamaa utapata Shida sana kutafuta attention kwenye huu uzi.

Usione tumenyamaza jua kuna Watu tunakuangalia tu hapa tukiamua kukushukia utakimbia kama kina Mr. Tajiri walivyokimbia hapa.

Yani unapata shida bure tu! Huna sifa nzuri utakayompa Bobby ambayo sisi hatujawahi kumpa hapa.

Labda jiulize alilipataje jina la Bobby kutoka Firmino.

Once Bobby was our hero but not anymore.
. 🤣🤣🤣🤣 Alafu nakuonaga kiherehere flani Amazing flani hivii

Sibishanagi na shabiki ambaye hajawahi kukanyaga hata ANFIELD

Attention unatafuta wewe kubwa jinga

Na mpira wako unaouangalia f...k
 
Nikiangalia Misimu miwili iliyopita ndani ya Etihad tumepoteza Mfululizo.

2018/19
Man City 2 - 1 Liverpool

2019/20
Man City 4 - 1 Liverpool

But:
2020/21
Man City 1 - 1 Liverpool

Hii ina kila dalili ya kuwa either tumeboreka au Man City ameisha zake.
Man city kaisha maana hata sisi ametufunga moja huku akicheza kwa kulinda hatari...
 
Wewe jamaa utapata Shida sana kutafuta attention kwenye huu uzi.

Usione tumenyamaza jua kuna Watu tunakuangalia tu hapa tukiamua kukushukia utakimbia kama kina Mr. Tajiri walivyokimbia hapa.

Yani unapata shida bure tu! Huna sifa nzuri utakayompa Bobby ambayo sisi hatujawahi kumpa hapa.

Labda jiulize alilipataje jina la Bobby kutoka Firmino.

Once Bobby was our hero but not anymore.
Bhana kitoto Cha malafyale hicho we jamaa

Kijinga kimoja hvi
 
Wewe jamaa utapata Shida sana kutafuta attention kwenye huu uzi.

Usione tumenyamaza jua kuna Watu tunakuangalia tu hapa tukiamua kukushukia utakimbia kama kina Mr. Tajiri walivyokimbia hapa.

Yani unapata shida bure tu! Huna sifa nzuri utakayompa Bobby ambayo sisi hatujawahi kumpa hapa.

Labda jiulize alilipataje jina la Bobby kutoka Firmino.

Once Bobby was our hero but not anymore.
Nmekiambia Jana kiache ujinga
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom