Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Utamu wa EPL... Haina mwenyewe msimu huu hahahaha sikumbuki lini Villa wameshinda Emirates yaaani noma sanaaa..![]()
![]()
Msiba
YNWA
Utamu wa EPL... Haina mwenyewe msimu huu hahahaha sikumbuki lini Villa wameshinda Emirates yaaani noma sanaaa..![]()
![]()
Msiba
Hahaha easy said than done...Aseno mbovu
City mbovu
Man u mbvu
Atleast Chelsea Wana uhai
Hili kombe tukitulia tunabeba asubuhi kabsa
Mostly hua anakua kwenye half ya upinzani ndio maana hizo turn zake hazinaga madhara sasa jana bila Fabby he was almost near our back line na pale hapatakiwi Turns Au Dribbles... Klopp will get a word aelewe...he has to borrow some past games cds kwa FabbyGini pia anatakiwa aache unnecessary turn na dribble kwani anaishia kupoteza mipira ambayo husababisha hatari kwetu.
Hahaha Le Scotland Captain was warming up wana gemu ya Euro play off ngumu sana vs Serbia 12/11/20 na lazima washinde ili kucheza fainali Euro 2020...Robbo jana was on 🔥
🤣🤣🤣
🤣🤣🤣 Alafu nakuonaga kimbelembele flani hivi Amazing flani hiviiBhana kitoto Cha malafyale hicho we jamaa
Kijinga kimoja hvi
Ushasema alikua, lakini ndio haikuaMshukuruni KDB alikuwa anawainamisha
OkAlafu nakuonaga kimbelembele flani hivi Amazing flani hivii
Usichikijua Ni kuwa Ni mmoja wa waanzilishi wa jukwaa so nawaonaga vizee flani hivi Amazing flani hivii
Wewe na mwenzio f...k all
Bobby anapitia wakat mgum sana kiakili he needs quick recoveryAlafu akiwekwa benchi na Jota mtu anakuja kulalamika hapa.
Liverpool's Trent Alexander-Arnold is expected to be out for around four weeks after injuring his calf in the Reds' 1-1 draw with Manchester City on Sunday.
🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️...
Sky.
YNWA