Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Salah na Mane mimi hata siwajadili tena uchezaji wao kwasababu huu ni msimu wa Tatu wanacheza vile! Hivyo inaonesha Kocha ameridhia au wanacheza vile kwa maelekezo ya Kocha.

Enewey! Hawa ni wachezaji wetu muhimu Mno kwani adui hajui ni muda gani watafunga.
Uchezaji wa Mane na Salah ndio unatufanya tutishe kwa miaka mitatu wakati wowote wanaweza kufanya kitu. Mane wakati mwingine utadhani kapoteza mpira kumbe anawaacha watu. ukitaka kujuwa umuhimu wao waweke nje utaona team nzima inapoteza makali. Hawa ndio wanatufanya tutishe kuna siku mtu anakuwa chini ya kiwango ni kawaida lakini kwakuwa wana vitu special wanapewa muda sababu wakati wowote wanabadilika. Jota anamuingiza taratibu katika mfumo ili asipate pressure ila bonge la mchezaji toka yuko Wolves anatokea kushoto na ana speed na mfungaji mzuri.
 
Hapa ndo naelewa kwanini Adriana alipigwa bao saba🤥🤥🤥🤥
 

Attachments

  • 20201101_105547.jpg
    20201101_105547.jpg
    56.7 KB · Views: 6
Mukifungwa munabadili na lugha.
Mutajifanya munaongea lugha ya malikia.
Ila leo ni kimatumbi kwenda mbele.
 
Jana baada ya game niliingia website ya BBC, Match of The Day.

Kuna polls nadhani ilifanywa na BBC wenyewe kwa mashabiki wa Liverpool kuhusu Jota kuwa starter nafasi ya Bobby.

Around 5,000 wanataka Jota aanze, na ni 1,000 pekee wanaotaka aendelee kuanzia benchi.

Ninachokiona hapa kelele za mashabiki zinaweza kulipa, Klopp akafanya mabadiliko.

Pia interview ya Klopp (post match) alisema, "He's much better than I thought he would be and that's really impressive,"

"He's an exceptional talent. He has the speed, physicality, technique, and he's both-footed."

Hii ni indicator ya Klopp kuanza kumwelewa Jota na ikibidi afanye jambo nafasi ya Bobby.

La sivyo ni mpaka tupoteze poteze mechi kadhaa ndo mabadiliko yafanyike kama ilovyokuwa kwa Fabinho na Hendo (kumchezesha Hendo namba 6 kulitucost ubingwa msimu ule).
When Sky pundits were discussing about who should Jota replace among the front three Jamie Carragher admitted that Firmino is no longer a threat in front of the goal
 
Firmino huu ni msimu wa pili anacheza mauno tu kama Gwajima! Kwahiyo misimu miwili huwezi kusema mchezaji amechoka wakati alipumzika miezi 3 kipindi cha Corona.

Ukweli ni kwamba Bobby amekwisha muda wake, sasa ni kusubiri mkataba wake umalize aende sehemu ambayo atapata nafasi ya kucheza.
Well Said Ngwaba
 
Sawa mkuu nimekuelewa. Ila kwa wakati huu ambao front 3 yetu inaonyesha kusuasua klopp hana budi kuwatumia, Hivyo swala la kupata nafasi sina mashaka nalo na ndo maana unaona anajaribu kutengeneza mfumo utakao wawezesha Jota/Shaqiri wote kucheza.

Kwa Mtazamo wangu naona tunawategemea sana new player kuliko hawa waliopo maana niwachache mpaka sasa walio maintain viwango vyao. Wengi wao wame flop.

✌️✌️✌️
 
Tulinunuwa OX ingawa alikuwa mchezaji bora lakini ni Prone Injury

Tumlinunua Keita ingawa alikuwa mchezaji bora lakini ni Prone Injury

Tumemnunua Thiago ingawa ni mchezaji bora lakini ni Prone Injury.

Mido pekee tuliyoinunua ambayo sio Prone Injury ni Fabinho.

Kutokana na hili wasaidizi wa Klopp wanapaswa kumshauri kuwa usajili wowote wa Mido au CB basi usiwe wa mchezaji ambaye ni Prone Injury.
 
Alisson: "When we are in the changing room everybody is speaking to each other to try to give something extra for the team. We are a really concentrated, really focused team."
Alisson: "We know our jobs, we know what we need to do on the pitch and we have Hendo and Millie. I try to do my best as well."
Alisson: “The key for the team is to bring our intensity to the match. We know our mark is our intensity, our pressing, our counter-pressing and everybody involved in the defensive phase."
Alisson: “There is a mix of a lot of things that makes you win games and win competitions, but the key is our intensity and our passion to play football.”
 
Jurgen Klopp has confirmed that Fabinho will be absent when Liverpool make the trip to Manchester City next Sunday.
“Whether it's a 'minor' hamstring injury or not is not important, but after the international break he will be back for sure.” [liverpool echo]
Klopp: “We have other options like Henderson, or Gini (Wijnaldum) or James (Milner), or Robbo, he can play centre-half as well. They are all not smaller than Javier Mascherano, for example, and he played pretty well in that position (for Barcelona).”

GINI na HENDO ok, but Milner na Robbo NO.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom