Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

20201101-074450_1.jpg
 
dexterous ningependa uzingatie maneno yote yanayoandikwa katika post.

Nadhani uliikusudia hii post yangu kuwa nilisema 'Jota ni failed Project'.

Hebu angalia hayo maneno niliyopigia Mstari.

Hilo neno Concern sikulitumia tu, bali lina maana.

Unhelihitaji ufafanuzi siku niliyoweka Post basi ningelikuwa ufafanuzi.

Ungelisema "KUNA MTU ALIONESHA CONCERN KUWA JOTA NI FAILED PROJECT" basi ingelikuwa umenitendea haki! Lakini kwa kusema "KUNA MTU ALISEMA JOTA NI FAILED PROJECT" basi hapa hujanitendea haki ndugu.

KWANINI NILIONESHA CONCERN?
Mpaka muda huu bado nina Concern hiyo kuwa Jota ni Failed project! Reason.

Wasiwasi wangu JOTA hata ajitahidi kiasi gani huenda Klopp asimuanzishe kama Regular starter akaishia kugaiwa hizo Dakika 20 za mwisho tu! Hapo hapana ujanja lazima atafail tu (Na hiyo ndiyo Failed Project) na Mwisho atataka kuondoka.

Huyu kamwe hatopangwa mbele ya Front 3 yetu, kwanini nisioneshe Concern ya kufail?

Mtazame Shakiri, unadhani Shakiri hakuwa na uwezo hata wa kutokea Benchi? Lakini Klopp alimpoteza mpaka tunamuona sikuhizi kwasababu ya Injury zilizotukumba na kuondoka kina Lallana, Breswter na Ings huku Origi akionesha kutokuaminiwa. Hapo ndiyo Shakiri akawa Failed Project.

Kwahiyo sio peke yangu tu, Watu wengi wameonesha wasiwasi huo wa Jota kuwa failed project kwasababu ya hizo Dakika 20 anazopewa.

Keita Kawa Failed Project kwa sababu ya Injury na si Uwezo.

Hivyo kufeli sio lazima Mchezaji afeli kwa uwezo, zipo sababu nje ya uwezo kama huyo Keita, OX na nikazihisi kwa Jota.

Kama kuna swali niulize.

Jana baada ya game niliingia website ya BBC, Match of The Day.

Kuna polls nadhani ilifanywa na BBC wenyewe kwa mashabiki wa Liverpool kuhusu Jota kuwa starter nafasi ya Bobby.

Around 5,000 wanataka Jota aanze, na ni 1,000 pekee wanaotaka aendelee kuanzia benchi.

Ninachokiona hapa kelele za mashabiki zinaweza kulipa, Klopp akafanya mabadiliko.

Pia interview ya Klopp (post match) alisema, "He's much better than I thought he would be and that's really impressive,"

"He's an exceptional talent. He has the speed, physicality, technique, and he's both-footed."

Hii ni indicator ya Klopp kuanza kumwelewa Jota na ikibidi afanye jambo nafasi ya Bobby.

La sivyo ni mpaka tupoteze poteze mechi kadhaa ndo mabadiliko yafanyike kama ilovyokuwa kwa Fabinho na Hendo (kumchezesha Hendo namba 6 kulitucost ubingwa msimu ule).
 
Game ilikuwa nzuri ingawa tulionesha baadhi ya makosa ya kiulinzi hasa beki za kati.

Kwasasa Gomez ndiye Leader wa Defence line alitakiwa kuongoza vizuri Madefenders wetu wote huku akimcoach kwa karibu amateur wetu Nathan Phillips.

Lakini yeye ndiye aliyekuwa anaongoza kwa errors kiasi ya kwamba hata huyu Phillips alikuwa makini.

Na pia Mido inahitaji iongeze umakini kidogo kwenye kulinda kwa sababu kipindi hicho to be honest Hendo anacheza vizuri sana hutaka nimuangalie tu akiwa na mpira, kama misimu mitatu iliyopita angelikuwa anacheza kama anavyocheza msimu huu basi hata mwanangu ningemuita Henderson na Mimi ningevaa Jezi iliyoandikwa Henderson lakini hakufanya hivyo.

Kwahiyo Hendo jana alicheza DM lakini muda mwingi amekuwa akipanda juu kushambulia nadhani imechangiwa na kuona kwenye ushambuliaji hakuna kinachofanyika.

Hivyo sehemu ya ulinzi kwenye Mido wakati mwengine ikawa ipo wazi.

Lakini kiujumla tulicheza Vizuri isipokuwa athari ya injuries ilionekana wazi.

Yes, injuries imekuwa ni shida. Hata hivyo timu ilicheza kama mabingwa watetezi.

Tatizo langu kubwa ni kwa Firmino (ameisha), nikisema amechoka nitakuwa sijitendei haki, ameisha.

Salah na Mane waangalie jinsi wanavyoweza kucheza kama timu na siyo kama individuals. Wamekuwa hawapeani pasi au kumpa mwingine pasi haiwi ile ya kumalizia.

Thiago akipona, na kocha akaamua kucheza Fabinho nyuma; viungo Thiago, Hendo na Wijnaldum; mbele Jota, Salah na Mane, hakuna timu inaweza kutusumbua kwenye kutafuta ubingwa. Kama majeruhi yasipoongezeka.
 
Jana Money kapoteza mipira mingi sana pale mbele

Kwenye utafiti wangu mdogo nimegundua kuwa Kwenye Mechi Ngumu Mane ndiyo anakuwa 🔥 na ndiyo anayetubeba, Lakini kwenye mechi nyepesi ambazo tumezidhibiti mwanzo mwisho kama jana Mane anakuwa msanii tu uwanjani.
Subiri game vs Man City utaprove hilo.
 
Yes, injuries imekuwa ni shida. Hata hivyo timu ilicheza kama mabingwa watetezi.

Tatizo langu kubwa ni kwa Firmino (ameisha), nikisema amechoka nitakuwa sijitendei haki, ameisha.

Salah na Mane waangalie jinsi wanavyoweza kucheza kama timu na siyo kama individuals. Wamekuwa hawapeani pasi au kumpa mwingine pasi haiwi ile ya kumalizia.

Thiago akipona, na kocha akaamua kucheza Fabinho nyuma; viungo Thiago, Hendo na Wijnaldum; mbele Jota, Salah na Mane, hakuna timu inaweza kutusumbua kwenye kutafuta ubingwa. Kama majeruhi yasipoongezeka.

Firmino huu ni msimu wa pili anacheza mauno tu kama Gwajima! Kwahiyo misimu miwili huwezi kusema mchezaji amechoka wakati alipumzika miezi 3 kipindi cha Corona.

Ukweli ni kwamba Bobby amekwisha muda wake, sasa ni kusubiri mkataba wake umalize aende sehemu ambayo atapata nafasi ya kucheza.
 
Ila hizi gemu za siku hizi tunaomba na mpira uishe, maana point tatu za tabu kweli.
Yaani tukishashinda tu tunaomba mpira uishe haraka kwasababu ya ulinzi,.maana mnaweza kuchezewa counter attack moja matata hata dakika ya 94 mkatoka suluhu
 
Jana baada ya game niliingia website ya BBC, Match of The Day.

Kuna polls nadhani ilifanywa na BBC wenyewe kwa mashabiki wa Liverpool kuhusu Jota kuwa starter nafasi ya Bobby.

Around 5,000 wanataka Jota aanze, na ni 1,000 pekee wanaotaka aendelee kuanzia benchi.

Ninachokiona hapa kelele za mashabiki zinaweza kulipa, Klopp akafanya mabadiliko.

Pia interview ya Klopp (post match) alisema, "He's much better than I thought he would be and that's really impressive,"

"He's an exceptional talent. He has the speed, physicality, technique, and he's both-footed."

Hii ni indicator ya Klopp kuanza kumwelewa Jota na ikibidi afanye jambo nafasi ya Bobby.

La sivyo ni mpaka tupoteze poteze mechi kadhaa ndo mabadiliko yafanyike kama ilovyokuwa kwa Fabinho na Hendo (kumchezesha Hendo namba 6 kulitucost ubingwa msimu ule).

Jota kwasasa aanze tu hakuna namna, Na asichezeshwe Pembeni bali achezeshwe Striker.

MANE - JOTA - SALAH
 
Yaani tukishashinda tu tunaomba mpira uishe haraka kwasababu ya ulinzi,.maana mnaweza kuchezewa counter attack moja matata hata dakika ya 94 mkatoka suluhu

Hii Timu ikitengenea kwenye Ulinzi tu basi tunabeba tena EPL, na akipona Fabinho na Thiago tu basi ninaimani tunawezaje kubeba na UCL.


Kikosi changu cha Msimu huu.

MANE - JOTA - SALAH

THIAGO - FABINHO - HENDO

ROBBO - MATIP - GOMEZ - TAA

ALISSON​
 
Hii Timu ikitengenea kwenye Ulinzi tu basi tunabeba tena EPL, na akipona Fabinho na Thiago tu basi ninaimani tunawezaje kubeba na UCL.

Kikosi changu cha Msimu huu.

MANE - JOTA - SALAH

THIAGO - FABINHO - HENDO​

ROBBO - MATIP - GOMEZ - TAA​

ALISSON​

Hiki kikosi kikiaminiwa, ubingwa ni asubuhi tu.
 
Yes, injuries imekuwa ni shida. Hata hivyo timu ilicheza kama mabingwa watetezi.

Tatizo langu kubwa ni kwa Firmino (ameisha), nikisema amechoka nitakuwa sijitendei haki, ameisha.

Salah na Mane waangalie jinsi wanavyoweza kucheza kama timu na siyo kama individuals. Wamekuwa hawapeani pasi au kumpa mwingine pasi haiwi ile ya kumalizia.

Thiago akipona, na kocha akaamua kucheza Fabinho nyuma; viungo Thiago, Hendo na Wijnaldum; mbele Jota, Salah na Mane, hakuna timu inaweza kutusumbua kwenye kutafuta ubingwa. Kama majeruhi yasipoongezeka.
Naunga mkono
 
Salah ulimuonaje mkuu,amekua na touches za kijinga sana siku hizi utulivu umepotea kabisa

Salah na Mane mimi hata siwajadili tena uchezaji wao kwasababu huu ni msimu wa Tatu wanacheza vile! Hivyo inaonesha Kocha ameridhia au wanacheza vile kwa maelekezo ya Kocha.

Enewey! Hawa ni wachezaji wetu muhimu Mno kwani adui hajui ni muda gani watafunga.
 
dexterous ningependa uzingatie maneno yote yanayoandikwa katika post.

Nadhani uliikusudia hii post yangu kuwa nilisema 'Jota ni failed Project'.

Hebu angalia hayo maneno niliyopigia Mstari.

Hilo neno Concern sikulitumia tu, bali lina maana.

Unhelihitaji ufafanuzi siku niliyoweka Post basi ningelikuwa ufafanuzi.

Ungelisema "KUNA MTU ALIONESHA CONCERN KUWA JOTA NI FAILED PROJECT" basi ingelikuwa umenitendea haki! Lakini kwa kusema "KUNA MTU ALISEMA JOTA NI FAILED PROJECT" basi hapa hujanitendea haki ndugu.

KWANINI NILIONESHA CONCERN?
Mpaka muda huu bado nina Concern hiyo kuwa Jota ni Failed project! Reason.

Wasiwasi wangu JOTA hata ajitahidi kiasi gani huenda Klopp asimuanzishe kama Regular starter akaishia kugaiwa hizo Dakika 20 za mwisho tu! Hapo hapana ujanja lazima atafail tu (Na hiyo ndiyo Failed Project) na Mwisho atataka kuondoka.

Huyu kamwe hatopangwa mbele ya Front 3 yetu, kwanini nisioneshe Concern ya kufail?

Mtazame Shakiri, unadhani Shakiri hakuwa na uwezo hata wa kutokea Benchi? Lakini Klopp alimpoteza mpaka tunamuona sikuhizi kwasababu ya Injury zilizotukumba na kuondoka kina Lallana, Breswter na Ings huku Origi akionesha kutokuaminiwa. Hapo ndiyo Shakiri akawa Failed Project.

Kwahiyo sio peke yangu tu, Watu wengi wameonesha wasiwasi huo wa Jota kuwa failed project kwasababu ya hizo Dakika 20 anazopewa.

Keita Kawa Failed Project kwa sababu ya Injury na si Uwezo.

Hivyo kufeli sio lazima Mchezaji afeli kwa uwezo, zipo sababu nje ya uwezo kama huyo Keita, OX na nikazihisi kwa Jota.

Kama kuna swali niulize.
Sawa mkuu nimekuelewa. Ila kwa wakati huu ambao front 3 yetu inaonyesha kusuasua klopp hana budi kuwatumia, Hivyo swala la kupata nafasi sina mashaka nalo na ndo maana unaona anajaribu kutengeneza mfumo utakao wawezesha Jota/Shaqiri wote kucheza.

Kwa Mtazamo wangu naona tunawategemea sana new player kuliko hawa waliopo maana niwachache mpaka sasa walio maintain viwango vyao. Wengi wao wame flop.
 
Hiyo pasi na hilo goli vinatosha kuturudishia internet.
Sana pass hata VPN haifai, nahati mbaya Shakir hapati sifa anazostahili anafaa sana hasa tukicheza na team wanao defend deep anauwezo wa pass fupi maeneo tight inaweza kuwa baadhi ya mechi asifit kama mnakumbuka mechi na Barca kwa style ile ya mpira wa chini anaweza sana kupenyeza mipira maeneo yake. Huyu sio wa kumuuza atatufaa sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom