Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

"Jota is overpriced" they said.

Robbo thamani yake kwasasa haipungui £70, sisi tulimnunua kwa £8M, kwa kipindi yulichomnunua to ngeliuziwa kwa £30 tu basi angelikuwa Overpriced.

Same kwa Jota Mimi mpaka sasahivi bado nashikilia kauli yangu kuwa tumeuziwa Overpriced.

Hii nimeichukua Bei + Jina + Dakika alizokuwa anacheza + Alichokuwa anadeliver.

Mchezaji hapimwi bei kwa Timu aliyopo sasa, bali anapimwa kwa kule alikotoka, Kuna kitu ufahamu kuwa Jota hakuwa Regular starters huko Wolves.

Ni sawa na wanaosema Salah, Robbo, Mane, VVD walikuwa ni Bargain! Hapana haikuwa Bargain! Kwa Aina ya wachezaji tuliowanunua haikuwa Bargain bali ni bei walizostahili kulingana na Status zao za wakati huo.

Tingeuziwa Salah kwa £60M angelikuwa ni Overpriced.

Tusiangalie Mchezaji aliyevaa Jezi ya Liverpool, Bali angalia mchezaji akiwa amevaa Jezi ya Timu aliyotoka.

Klop anatengeneza Jota yes, Lakini haitoongeza thamani ya alikotoka bali itamuongezea thamani ya alipo sasa.

Kama tunaangalia mchezaji anachokifanya ndani ya Liverpool kwani tingeuziwa Mane kwa £35M ????

Sina uhakika kama nimeelezea Vizuri
 
Keita ni Failed project 💯%

My Concern ya failed project pia ipo kwa Diago Jota, just ni Concern tu.

dexterous ningependa uzingatie maneno yote yanayoandikwa katika post.

Nadhani uliikusudia hii post yangu kuwa nilisema 'Jota ni failed Project'.

Hebu angalia hayo maneno niliyopigia Mstari.

Hilo neno Concern sikulitumia tu, bali lina maana.

Unhelihitaji ufafanuzi siku niliyoweka Post basi ningelikuwa ufafanuzi.

Ungelisema "KUNA MTU ALIONESHA CONCERN KUWA JOTA NI FAILED PROJECT" basi ingelikuwa umenitendea haki! Lakini kwa kusema "KUNA MTU ALISEMA JOTA NI FAILED PROJECT" basi hapa hujanitendea haki ndugu.

KWANINI NILIONESHA CONCERN?
Mpaka muda huu bado nina Concern hiyo kuwa Jota ni Failed project! Reason.

Wasiwasi wangu JOTA hata ajitahidi kiasi gani huenda Klopp asimuanzishe kama Regular starter akaishia kugaiwa hizo Dakika 20 za mwisho tu! Hapo hapana ujanja lazima atafail tu (Na hiyo ndiyo Failed Project) na Mwisho atataka kuondoka.

Huyu kamwe hatopangwa mbele ya Front 3 yetu, kwanini nisioneshe Concern ya kufail?

Mtazame Shakiri, unadhani Shakiri hakuwa na uwezo hata wa kutokea Benchi? Lakini Klopp alimpoteza mpaka tunamuona sikuhizi kwasababu ya Injury zilizotukumba na kuondoka kina Lallana, Breswter na Ings huku Origi akionesha kutokuaminiwa. Hapo ndiyo Shakiri akawa Failed Project.

Kwahiyo sio peke yangu tu, Watu wengi wameonesha wasiwasi huo wa Jota kuwa failed project kwasababu ya hizo Dakika 20 anazopewa.

Keita Kawa Failed Project kwa sababu ya Injury na si Uwezo.

Hivyo kufeli sio lazima Mchezaji afeli kwa uwezo, zipo sababu nje ya uwezo kama huyo Keita, OX na nikazihisi kwa Jota.

Kama kuna swali niulize.
 
dexterous ningependa uzingatie maneno yote yanayoandikwa katika post.

Nadhani uliikusudia hii post yangu kuwa nilisema 'Jota ni failed Project'.

Hebu angalia hayo maneno niliyopigia Mstari.

Hilo neno Concern sikulitumia tu, bali lina maana.

Unhelihitaji ufafanuzi siku niliyoweka Post basi ningelikuwa ufafanuzi.

Ungelisema "KUNA MTU ALIONESHA CONCERN KUWA JOTA NI FAILED PROJECT" basi ingelikuwa umenitendea haki! Lakini kwa kusema "KUNA MTU ALISEMA JOTA NI FAILED PROJECT" basi hapa hujanitendea haki ndugu.

KWANINI NILIONESHA CONCERN?
Mpaka muda huu bado nina Concern hiyo kuwa Jota ni Failed project! Reason.

Wasiwasi wangu JOTA hata ajitahidi kiasi gani huenda Klopp asimuanzishe kama Regular starter akaishia kugaiwa hizo Dakika 20 za mwisho tu! Hapo hapana ujanja lazima atafail tu (Na hiyo ndiyo Failed Project) na Mwisho atataka kuondoka.

Huyu kamwe hatopangwa mbele ya Front 3 yetu, kwanini nisioneshe Concern ya kufail?

Mtazame Shakiri, unadhani Shakiri hakuwa na uwezo hata wa kutokea Benchi? Lakini Klopp alimpoteza mpaka tunamuona sikuhizi kwasababu ya Injury zilizotukumba na kuondoka kina Lallana, Breswter na Ings huku Origi akionesha kutokuaminiwa. Hapo ndiyo Shakiri akawa Failed Project.

Kwahiyo sio peke yangu tu, Watu wengi wameonesha wasiwasi huo wa Jota kuwa failed project kwasababu ya hizo Dakika 20 anazopewa.

Keita Kawa Failed Project kwa sababu ya Injury na si Uwezo.

Hivyo kufeli sio lazima Mchezaji afeli kwa uwezo, zipo sababu nje ya uwezo kama huyo Keita, OX na nikazihisi kwa Jota.

Kama kuna swali niulize.

Sijui unaongea nini mkuu, ishu sio regular starter ishu ni kwa namna mchezaji anavyoweza kudeliver.
 
Sikuangalia game, hongereni kwa ushindi na kazi imekuwa nzuri sana, kuwafunga Westharm si kazi nyepesi hususa ni kipindi hiki kigumu tulichopo kwa sasa

Game ilikuwa nzuri ingawa tulionesha baadhi ya makosa ya kiulinzi hasa beki za kati.

Kwasasa Gomez ndiye Leader wa Defence line alitakiwa kuongoza vizuri Madefenders wetu wote huku akimcoach kwa karibu amateur wetu Nathan Phillips.

Lakini yeye ndiye aliyekuwa anaongoza kwa errors kiasi ya kwamba hata huyu Phillips alikuwa makini.

Na pia Mido inahitaji iongeze umakini kidogo kwenye kulinda kwa sababu kipindi hicho to be honest Hendo anacheza vizuri sana hutaka nimuangalie tu akiwa na mpira, kama misimu mitatu iliyopita angelikuwa anacheza kama anavyocheza msimu huu basi hata mwanangu ningemuita Henderson na Mimi ningevaa Jezi iliyoandikwa Henderson lakini hakufanya hivyo.

Kwahiyo Hendo jana alicheza DM lakini muda mwingi amekuwa akipanda juu kushambulia nadhani imechangiwa na kuona kwenye ushambuliaji hakuna kinachofanyika.

Hivyo sehemu ya ulinzi kwenye Mido wakati mwengine ikawa ipo wazi.

Lakini kiujumla tulicheza Vizuri isipokuwa athari ya injuries ilionekana wazi.
 
Sijui unaongea nini mkuu, ishu sio regular starter ishu ni kwa namna mchezaji anavyoweza kudeliver.

Kweli hujui ninaongea nini!

Ubaya wa kuto kuanza waulize wanaocheza mpira ndiyo wanaojua.
Mchezaji mwenye uwezo asipoanza anapoteza Confidence, hiyo kudeliver pia itapotea.
Kutokea Benchi kunauwa mchezaji kuliko unavyofikiria.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom