Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liver na man u wangekuwa ni wanawake bc wameliwa style ya popo kanyea mbingu
 
AstonVilla 7-8 LiverPool

salah
zuchu 93'
amber Rutty 99'
Nabii Titto 102'
Mama Anna Makinda 107'
Tundu Lissu 117'
Paulo Bashite 120'

#comeback ya kibabe
 
Mpira una matokeo matatu..
Ushindi
Kufungwo
Saree

Tulifungwo msimu uliopita na haikuzuia kulitwaa kombe hivyo hatujasema tunamaliza ligi bila kufungwo mbali ni kupambana tu...

Hivyo hakuna jipya ndugu kila timu ipambane na hali yake..

Ubingwa unarejea Anfield japo ngumu kumeza kwa wapinzani lakini ndio furaha yangu..

YNWA
Haya nimekusikia, kaa na ndugu zako muifanyie analysis kwa kiingereza timu lenu kama kawaida yenu. Mmetepeta kweli kweli leo.
 
Shame....
Tujiandae kwa kelele.....
Hii kipigo sikuwahi kufikiri mwamba kwa liverpool hii ingeweza kuwa mdebwedo kwa kiwango hiki.

Heddo angecheza tusingepigwa goals zote hizo. Jamaa anajua ku control tempo ya game. Ikiwa ya moto anaipooza. So pengo lake naliona wazi kabisa.

Tumemkosa Mane farward line ikapoteA makali. Nilale tu maana kelele Itakuwa nyingi kwa week nzima.

Poleni kops wooote. Msisahau kumpa mh Lissu kura hapo 28/10
3 games with Alison , three wins with Alusson.

1 game with Adrian, tumebugizwa migoli 7
Wakuu kwema humu ndani?

Msiba wa wengi sherehe
 
"You will never walk alone"Huu msemo kumbe una tafsiri nyingi moja wapo nimeijua leo baada ya timu yenu kuona kwamba haitakuwa busara kwa sisi mashabiki wa united kupita peke yetu kwenye kipindi hiki kigumu hii heshima tutaikumbuka daima..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom