Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Yani huyu tokea aokotwe mtaani na kupewa Jezi ya Liverpool nimekuwa nikikosoa usajili wake na kusema bora Karius kuliko huyu! Lakini amekuwa akipatiwa utetezi wa Guinness World Records World Record kuwa ametupa Super Cup.

Pole mkuu inauma sana. Kufungwa goli saba ni aibu mnoo.

Nipo hapa kwa niaba ya mashabiki wa chelsea kuleta salamu xa rambi rambi.
15c86d6e-4daf-4c85-a5d5-a61011471ced.jpg
 
Hii ndio hali halisi ya timu yetu kwa sasa,hata mechi tulizoshinda nilishawahi sema hapa, tumeshinda kibahati na wala si kutokana na uimara wa timu.Tuendelee kujifariji tu ila msimu huu hatuna chetu.

Nipe Liverpool ya Buku na wali ya buku jero
ab2df6f8-ddfe-42ab-920a-1ad3b3f06d3c.jpg
 

Attachments

  • 15c86d6e-4daf-4c85-a5d5-a61011471ced.jpg
    15c86d6e-4daf-4c85-a5d5-a61011471ced.jpg
    28.3 KB · Views: 8
Kwa Arsenal wenzangu.

Game ya Ligi ile nikasema Liva kuifunga ni kuubeba ugomvi na kuupeleka mlangoni kwao. Leeds did that na wakasecure three goals.

Nikasema pia kua ingawa liva wanakaba kwa gegenpress namna ya kuipiku hii defense ni kwa kucheza tiki taka, counter au through balls. Tulipiga through balls Lacazette akazingua.

Aston wamepiga counter wameshinda goli 7. Natumaini Arteta anachukua notisi hapa, hauhitaji skills nyingi kuipiga gegenpress, just pass, speed na shooting basi!

Nawaonea wivu Aston Villa.
 
Goli 7 unasema wameshinda kwa taabu.visingizio havikosekani.wewe kubali kuwa mmefungwa kwa uhalali sio tena unaanza kusema mara hao kwa taabu

Mkuu kama umeangalia mpira liverpool hajazidiwa hata kidogo muda wote liverpool ndio wenye mpira,ball possession Liverpool 69 kwa 31.

Tatizo lilikuwa kwa goli kipa maana kila shuti wakilenga goli ni goli.

Ndio maana jamaa anasema hivyo yaani unafungwa halafu mpira unacheza wewe.

Kuna mechi unafungwa halafu unazidiwa lakini hiyo mechi imekuwa tofauti kumefungwa lakini muda mwingi mpira wanamiliki liverpool,ndio maana mashabiki wa liverpool walikuwa wanaamini watarudisha maana liverpool wanafika goli kwa Aston villa vizuri tu.
 
King Ngwaba unastahili kuchekwa kwa kila aina ya kipigo ulichopata leo kwa Aston Villa maana unahangaikaga sana kwenye nyuzi za wenzio.

POLENI SANA WASHABIKI WENGINE WOTE WASTAARABU WA LIVERPOOL KAMA DEN CLERUZIO.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom