Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Siwezi kubisha sana kwa maana hata mechi yenyewe sijaangalia ndo maana nikasema yeye akubali kuwa amefungwa 7 uzembe na mpira ni game la makosa
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚hii weekend bhnaaa,imeisha kihuni sanaaaa....πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
GIF za magoli huwa naweka uzi husika mfano GIF za spurs nimeweka uzi wa spurs angalia humu jukwaan utauona(goli zote sita)

Villa hawana uzi serious humu,goli saba uwiii mb zangu zitaisha.
Ukizipata basi weka za mechi yao tu hizi goli saba

Sisi kule Manchester United zile goli 6 jifanye hujazipata 🀣
 
Yani huyu tokea aokotwe mtaani na kupewa Jezi ya Liverpool nimekuwa nikikosoa usajili wake na kusema bora Karius kuliko huyu! Lakini amekuwa akipatiwa utetezi wa Guinness World Records World Record kuwa ametupa Super Cup.

[emoji23] mkuu bora karius,
Na bora sasa tunaenda kwenye break mpaka tarehe 17,Alison arudi bila hivyo msimu huu tutapoteza point nyingi sana kwa sababu ya huyu jamaa.

Hana uwezo wa kuwa kipa wa liverpool kwa sasa .
 
Huyu kuku ndo alikuwa bingwa mwaka janaπŸ€₯πŸ€₯πŸ€₯πŸ€₯
 
Mmmh mie Man U. Leo hatuchekani na Liver humiliation juu ya humiliation
I feel sorry for you mummy by being heavily defeated 1-6 by Tottenham Hotspurs coz you are always fulfilled with discretion behavior when analyzing or commenting on other football threads like Chelsea thread site.
 
[emoji23] mkuu bora karius,
Na bora sasa tunaenda kwenye break mpaka tarehe 17,Alison arudi bila hivyo msimu huu tutapoteza point nyingi sana kwa sababu ya huyu jamaa.

Hana uwezo wa kuwa kipa wa liverpool kwa sasa .
Huyu Allison naye ni kitobo tu ..mchukueni Kepa mapema ohoo😎😎😎
 
Aston Villa japo tumemuuza Samata ila tuna jambo letu leo..
Sisi kama Aston Villa kuna jitu leo tunalikalisha.
#AVnguvumojaπŸ’ͺπŸ’ͺπŸ’ͺ
Tumelikalishaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa hahahahahahahahahahaha

Kuku kama kukuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
GIF za magoli huwa naweka uzi husika mfano GIF za spurs nimeweka uzi wa spurs angalia humu jukwaan utauona(goli zote sita)

Villa hawana uzi serious humu,goli saba uwiii mb zangu zitaisha.

Haina mbaya,cha muhimu goli saba ziko pale pale
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…