Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mkuu haya maneno ya kujipa moyo tu ila uhalisia ule ndio uwezo wetu kwa sasa.

Epl msimu huu bila kurekebisha pale katikati na forwad hata mmoja tutastraggle sanaa.

Halafu ile front three yetu kila baada ya msimu inaenda inapungua makali no doubt katika hili

Tatizo timu nyingine zimeanza kutujulia kwa kuwa wanakaa nyuma muda mwingi ,na sisi tumebaki hivyo bila kubadilisha mbinu za kukabiliana.tunabaki tunalazimisha hivyo hivyo mwisho wa siku tunafungwa tunakaa kimya kama hatujaona tatizo vile.

Mpira tunautawala ila tatizo kwenye kuscore pale mbele.
 
Liverpool are reportedly set to complete the signing of young goalkeeper Marcelo Pitaluga from Fluminese. The club have made a swoop for the 17-year-old as they look to build for the future. Michael Edwards has spent plenty of cash on bolstering Liverpool's academy ranks since being appointed as sporting director.

Ni kusajili vitoto lol kazi ipo

YNWA
For the future...
 
Hii hapa chini ni status ya miezi 3 (tukiondoa mapumziko ya corona).

Screenshot_20200831-094228_FlashScore.jpg
 
Tatizo timu nyingine zimeanza kutujulia kwa kuwa wanakaa nyuma muda mwingi ,na sisi tumebaki hivyo bila kubadilisha mbinu za kukabiliana.tunabaki tunalazimisha hivyo hivyo mwisho wa siku tunafungwa tunakaa kimya kama hatujaona tatizo vile.

Mpira tunautawala ila tatizo kwenye kuscore pale mbele.
Ni wakati sahihi tupate namba 9 wa ukweli..

Zile klosi almost 10 za Robertson vs Arsenal kwa namba 9 wa uhakika angetupia hata moja aisee..

Ipo tatizo maana wachezaji wetu tumewazoea kuwa kwenye kumi na nane pindi wanavyohitajika ila sasa sijui miguu mizito ama niaje..

Tunahitaji wachezaji wawili wapya pale mbele dynamic winger mmoja ambae atacheza mpaka AM na namba 9 wa uhakika... Firmino tunampenda ila ki ukweli asipokuja kivingine msimu mpya basi awapishe wengine...

Tumpate Ismaila Sarr kwanza aje kuleta changamoto na asiwe mbadala wa kumuuza Mane...

YNWA
 
Kama kasomwa aje amfunge pale anfield,anfield kupata draw tu haiwezekani. Anfield mwaka wa 4 sasa kwenye epl hatujafungwa.

Tusubirie uone mkuu maana game liverpool na Arsenal sio mbali ni September tu hapo.na uzuri anakuja hapo anfield yaaani hapo tunamalizia hasira zetu zote hapo .
Kwa sasa under mikel ubavu wa kumfunga ndani nje hamna ndiyo maana mlimfunga yule siyo huyu na si ninyi tu hadi uumie man city kapigwa, Chelsea kapigwa na wataendelea kupigwa tu hakuna namna tuna uwezo huo na tumefanya hivyo na tutaendelea kufanya hivyo pale kwenu ukishinda sana ni sare.

Usikariri maisha huwa yanabadirika na msiposajiri mtajuta kikosi kimechoka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Game 3 za mwanzo tunakutana na ninyi na Chelsea.

Kama hatutapata points 6 kwenye hizo game 2, itakuwa ni wakati wa ku-click panic button.
Duu Mkuu mwenzio kwangu ni kama vile hio panic button imewaka mazimaaa...

Swali rahisi Klopp atakuja na mfumo tofauti na wa juzi mhmh sidhaniiii...

Unless our front 3 wawe more clinical like last year August walivyoanza ligi basi tutakua vizuri na pia wenzetu wapoteane mazima..
YNWA
 
Duu Mkuu mwenzio kwangu ni kama vile hio panic button imewaka mazimaaa...

Swali rahisi Klopp atakuja na mfumo tofauti na wa juzi mhmh sidhaniiii...

Unless our front 3 wawe more clinical like last year August walivyoanza ligi basi tutakua vizuri na pia wenzetu wapoteane mazima..
YNWA

Kwa sasa Salah na Firmino wamefikia mwisho wa uwezo wao, they need to find new scenery to rejuvenate their games.

We also need to do the changes as well before it is too late.
 
Kwa sasa Salah na Firmino wamefikia mwisho wa uwezo wao, they need to find new scenery to rejuvenate their games.

We also need to do the changes as well before it is too late.
Brewster na Curtis Jones wanafaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom