koncho77
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 7,787
- 10,394
Mimi huwa nipo tofauti na watu walio wengi huwa sipendi kuwa nabii kwamba ikifika kipindi fulani timu fulani itayumbaHizi ndio habari wqnapenda kusikia Arsenane. Hapa kila fan atakayeputa atalike, comment na kubusu simu zao juu ya hii comment
Tusubiri msimu huu uanze hawafiki Nov hawa wataanza vibweka vyao.
Daima natembea na wakati uliopo 'yajayo' huwa nayaachia 'WAKATI'


