Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Adjustments.jpg
 
Klopp on transfers: "There's a long way to go until the 6th October. We will see how much we can or want to spend, these kind of things." #LFC
Shinda ya hili ni kwamba the more we wait the more desperate we will appear lool...

Hope behind the scenes kuna mipango inaedelea aisee...

Otherwise the earlier the better..

YNWA
 
Kama mkifungwa na wale Arse8 itakuwa ni aibu sana. Na inaweza kuwa Gundu msimu mzima mkazingua.
 
Siku nyingi sana nilishakukataza na kukuonya ya kwamba usiwe unakuja kupost humu ndani huku ukitambua na kufahamu kabisa ya kwamba umetoka kuvuta bange, naona uelewi tu
Ukipigwa na wale Arse8 utakuwa na wakati mgumu msimu huu.

#CFC
 
Klopp on Community Shield: "We had 2 weeks training and the boys worked really hard. We are preparing for one of the most intense season of our lives."

Ivi hapa kwenye "The Most Intense Season Of Our Lives" Klopp hasa amemaanisha nini?

NOTE: Sijakusudia Tafsiri ya hayo maneno bali kama yupo anaeelewa nataka anifahamishe lile alilokusudia mpaka akasema hivyo.
Kutetea EPL will be hard not easy.
Wewe ukiwa champion tayar una ubora hivyo opponents lazima wakae chonjo.

Likewise huenda klopp anataka back 2 back ili kuprove wrong. Huenda tukaiona heavy throttle geggeng pressing ikitumika sana msimu huu.

Inspiration words to the boys na ni vita ya nje ya uwanja kwanza.
 
Kutetea EPL will be hard not easy.
Wewe ukiwa champion tayar una ubora hivyo opponents lazima wakae chonjo.

Likewise huenda klopp anataka back 2 back ili kuprove wrong. Huenda tukaiona heavy throttle geggeng pressing ikitumika sana msimu huu.

Inspiration words to the boys na ni vita ya nje ya uwanja kwanza.
Genggenpressing is doomed bro...

The rate of injuries was on the higher side..

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom