Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Arsenal ndo wa kumlalamikia Mikel maana game hii arsenal walikuwa wanaimaliza mapema sema vile vitoto havijatulia kabisa vimekosa goli karibia tatu.
Liva kasomwa na mikel na kadhibitiwa refer last game .

Sent using Jamii Forums mobile app

Kama kasomwa aje amfunge pale anfield,anfield kupata draw tu haiwezekani. Anfield mwaka wa 4 sasa kwenye epl hatujafungwa.

Tusubirie uone mkuu maana game liverpool na Arsenal sio mbali ni September tu hapo.na uzuri anakuja hapo anfield yaaani hapo tunamalizia hasira zetu zote hapo .
 
Adjustments.jpg
 
Ukiachana na poor marking ya Neco jana Mane katu ua mbele ya kadamnasi

Zile 2 clear chances zinaniuma mpaka sahizi n kibaya zaidi wachezaji wamelose focus yani wanacheza hata hawaelewi wanacueza nini....

We need Thiago na ikiwezekana turudishe hata lile zee SUAREZ
 
Maybe this would serve Klopp as a wake up call. We need to see some reactions in this window.
Klop is one of the arrogant bosses out there, very arrogant............ he will stick with his guns to the bitter end!
 
Mnawalipa wachezaji mishahara ya mboga, usajili mnajibana, mnatafuta cheap player ambao hawana effect, minamino mmepigwa,
Achen ubahili
mishahara ya mboga ambayo wewe hadi kufa kwako hautokaa ulipwe hio hela mboga na singida fc yako. Kufungwa ni jambo la kawaida tunasonga mbele.
 
Nawashangaa mashabiki wa Liva mnavyolumbana kuhusu kiwango chenu cha leo wakati Arsenal alikosa wachezaji wake wengi muhimu wa kikosi cha kwanza.

Watu wanamlaumu Gini, wengine Milner na wakati huo huo wachezaji wote walikuwepo kwenye benchi kasoro TAA tu!

Arsenal wangemlaumu nani?

Usijisifu unambio, msifu na anaekukimbiza!

Wote walistahili kushinda lakini imetokea Arsenal kastahili zaidi.

###
the fact kwamba aseno aliingiza vitoto vingi ndio linatuumiza zaidi........


kina holding kweli ndio wakutusumbua?
 
Kama kasomwa aje amfunge pale anfield,anfield kupata draw tu haiwezekani. Anfield mwaka wa 4 sasa kwenye epl hatujafungwa.

Tusubirie uone mkuu maana game liverpool na Arsenal sio mbali ni September tu hapo.na uzuri anakuja hapo anfield yaaani hapo tunamalizia hasira zetu zote hapo .
Sababu kubwa ya Liva kuwa ngumu kufungwa kwenye uwanja wa Anfield ni kutokana na uwepo wa mashabiki.

Sasa msimu huu tunaanza mashabiki hakuna..

Jiandaeni kisaikolojia!
 
Fabby is class man... Shinda ni Klopp ataona asisajili CB mwingine ili ku accommodate fit again Hendo na Fabby awe ana deputise CB lol..

Gomez akicheza RB ni mzuri ku defense ila sio kuleta ma assist ya kutosha...

The way i see jana performance tunahitaji usajili pia wa RB hatuna muda wa trial and error aisee... Huyu Neco apelekwe kwa mkopo kwingine aisee..

YNWA
kweli joe alipoenda rb mambo yakatulia jamaa linaenda kitemi mnoo
tunahitaji mbadala wa TAA for sure..
 
Sababu kubwa ya Liva kuwa ngumu kufungwa kwenye uwanja wa Anfield ni kutokana na uwepo wa mashabiki.

Sasa msimu huu tunaanza mashabiki hakuna..

Jiandaeni kisaikolojia!
pumba .
mashabiki wawepo au wasiwepo anakufa mtu
 
napata uoga sana kui disrupt ile midfield ya sasa. if it ain't broken, why fix it? they do have an off day occasionally (like today) but who doesn't?


mmmmhhhhh........ yale yale ya kutoi-disrupt front 3,,,,,........ mid yetu imeshachuja, hendo,millie&gini walitakiwa kuungana na lalana kuondoka!


tusijidanganye tuta-overachieve this season, hatuna tena x-factor ya kutubeba!
 
mmmmhhhhh........ yale yale ya kutoi-disrupt front 3,,,,,........ mid yetu imeshachuja, hendo,millie&gini walitakiwa kuungana na lalana kuondoka!


tusijidanganye tuta-overachieve this season, hatuna tena x-factor ya kutubeba!
sawa.... unaweza kuwa upo right pia!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom