Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Messi has won a record six Ballon d'Or awards during his time at Barcelona as the top player in the world, and has helped the club win 10 Spanish league titles and four Champions League crowns.

Apparently rumours has it he want to leave the Nou Camp boys... His price though a whopping +£500m.

Messi yupo sokoni come on FSG give us a life time shocker and bring this magician to real Reds home...

YNWA
FFP Rules I think zitakaba

500 £mil ni Turnover ya kuuiingiza Club Top five Richest Europe clubs kabisa
 
FFP Rules I think zitakaba

500 £mil ni Turnover ya kuuiingiza Club Top five Richest Europe clubs kabisa
Hahaha Barcelona bhana eti his release clause has to be paid in full yaani....

Major issue hapa ni mshahara ndugu jamaa atahitaji £500,000 per week yaani kwa Liverpool hii ambayo hata Mane, Firmino, Allison nk hawapati hata @ £200,000🤓🤓... May be play station ..

The major teams that can come up with an extended offer ni PSG, Manchester City, Juventus, Inter Milan, Real Madrid 🤔🤔🤔🤔....

Ishu hapa Barcelona hawapo tayari kumwachia hivyo watampa mkataba mpya soon unless kweli nao wanaona muda umefika ndogo kuodoka Nou Camp..

Tumewashindwa Timo, Kai, Traore ambao ni below £80m na mshahara around £170k sasa huyu Messi mhmh dreams lool..

Labda Nike watuletee Xmas party now now now...

YNWA
 
Hahaha Barcelona bhana eti his release clause has to be paid in full yaani....

Major issue hapa ni mshahara ndugu jamaa atahitaji £500,000 per week yaani kwa Liverpool hii ambayo hata Mane, Firmino, Allison nk hawapati hata @ £200,000... May be play station ..

The major teams that can come up with an extended offer ni PSG, Manchester City, Juventus, Inter Milan, Real Madrid ....

Ishu hapa Barcelona hawapo tayari kumwachia hivyo watampa mkataba mpya soon unless kweli nao wanaona muda umefika ndogo kuodoka Nou Camp..

Tumewashindwa Timo, Kai, Traore ambao ni below £80m na mshahara around £170k sasa huyu Messi mhmh dreams lool..

Labda Nike watuletee Xmas party now now now...

YNWA
Labda aje Liverpool halafu ajilipe mwenyewe kupitia matangazo
 
Adjustments.jpg
 
Only psg can do that
Hahaha Barcelona bhana eti his release clause has to be paid in full yaani....

Major issue hapa ni mshahara ndugu jamaa atahitaji £500,000 per week yaani kwa Liverpool hii ambayo hata Mane, Firmino, Allison nk hawapati hata @ £200,000... May be play station ..

The major teams that can come up with an extended offer ni PSG, Manchester City, Juventus, Inter Milan, Real Madrid ....

Ishu hapa Barcelona hawapo tayari kumwachia hivyo watampa mkataba mpya soon unless kweli nao wanaona muda umefika ndogo kuodoka Nou Camp..

Tumewashindwa Timo, Kai, Traore ambao ni below £80m na mshahara around £170k sasa huyu Messi mhmh dreams lool..

Labda Nike watuletee Xmas party now now now...

YNWA
 
We jamaa kumbe hujui lolote ..
Mimi Liverpool mwenzio Hadi nasikia aibu na
Unayayosema...

EPL Tanzania imeanza kutazamwa miaka mingi sana kabla Dstv haijafika..

Uliza kina Pascal Mayalla waliofanya kazi Dtv..
EPL ilikuwa inaoneshwa bure kabisa Dtv Hadi ITV baadae...

Chelsea ina mashabiki Tz wakati huo ni title contenders ma Star wao kina Ruud Gullit baadae akawa kocha na kina Torre Andre Flo na Zola...walikosa ubingwa kidogo Tu baada ya flo kuumia...

Liverpool kulikuwa na mnyama anaitwa Stan Collymore unamjua?Unayajua mambo yake?

Enzi hizo hapa hapa Tz mpira tunatazama EPL bila kulipia kingamuzi..

Newcastle ya Keegan unaijua?

Middlesbrough's ya Ravaneli unaijua??

Sasa wewe Jamaa umeshaanzisha Ugonmvi gena tena na Mimi?

Mimi ninaongea na Washabiki wa Chelsea na Arsenal for Fun, hayo mashambulizi yako yametokea wapi tena?

Na haya Uliyoyaandika yanahusu nini kwenye Post yangu?

Hayo ya ITV na DTV, ya kina Gullit na mengine yote uliyoyaandika Mimi nayajua na Walaya sihitaji msaada wako kufahamishwa! Labda nikuongezee tu kuwa hata TVZ (Sasa ZBC) ya Zanzibar ilikuwa kila Jumamosi na Jumapili inaonesha Mechi moja kubwa ya EPL bure.
Mimi usinichukulie Powa kiasi hicho ukadhani kutokujiunga JF 2009 kama wewe ndiyo nilikuwa Sijazaliwa wakati mwaka inaanzishwa JF 2006 Mtoto wangu wa kwanza anatimiza miaka 3, na 2019 nikaowa Mke wa Pili.
Huenda ikawa naijuwa Liverpool wewe tokea unasoma Shule ya Msingi lakini nashangaa unanitajia Wachejazi wa mwaka 1997?????

Kuhusu Title Contender kwa Chelsea umedanganya Bro,
Kuanzia mwaka 1905 mpaka kufikia mwaka 2000 Chelsea hakuwahi kuwa Regular kwenye Hata Top 4 achiliambali title Contender! Prove me Wrong kwa kuweka Msimamo wa Ligi angalau kwa miaka 5 mfululizo.

Kuanzia mwaka 2001 mpaka 2004 Chelsea hakuwahi kuwa Regular title Contender kwani Vita ilikuwa ni Arsenal v/s Manure, Chelsea akawa Regular Top Four, Prove me Wrong.

Kuanzia 2005 ndiyo Chelsea kawa Regular Title Contender.

Kutokezea mwaka mmoja ukabahatisha kuwa Title Contender haijawa Kigenzo kama wewe kwenye zama hizo ni Title Contender wa kupigiwa mfano, Hata Liverpool mwaka 2001 tulikuwa title Contender Je tujihesabu kuwa kuanzia era ya 2001 mpaka sasa tulikuwa title Contender kwa miaka yote hiyo? Leicester City kwasababu mwaka 2016 alikuwa title Contender na akabeba Kombe nayeye tumuhesabu mpaka sasa ni miaongoni mwa Matitle Contenders?

Usipende kukurupuka bro.
 
Jibu langu lilihusu hizi timu kutokuwa na mashabiki kabla ya 2005..
Je ni kweli Chelsea Hana mashabiki Tz kabla ya 2005?

Nimekupa mfano Chelsea ya Zola na flo ilikuwa na mashabiki na walikosa ubinga kidogo sana

Shida yako kwangu ni kwamba umegeuka yule jamaa aliyekuwa anajiita Tajiri,
Kuna siku utakuja kunibishia hapa kuwa Chelsea haijaanzishwa 2005 bali imeanzishwa 1905.

Nadhani tunaposema Chelsea imeanzishwa 2005 basi uwe unauliza huwa tunakusudia nini!

Na tunaposema Chelsea imeanza kupata Mashabiki 2005 uwe unauliza tumekusudia nini?

Kwani wale wanaosema Liverpool ina kombe 1 tu la EPL unadhani hawajui kuwa tuna makombe 19 ya Ligi?

Basi mfano huo wa Liverpool na EPL ndiyo mfano wa Chelsea na mashabiki, usidhani sijui kuwa Chelsea ilikuwa na mshabiki kabla ya 2005, Classmate wangu 4 walikuwa Mashabiki wa Chelsea tokea 1996 na mpaka leo wapo.

Uwe unasoma kwa kuelewa na sio kukurupuka.
 
Hawa watoto washamba aisee
Wakati Kevin Keegan anamsajili asprilla
Hadi siku Ile wanacheza game of the season na Liverpool haya mambo yalikuwa Dtv ..
Dtv walikuwa na vipindi vingi vya uchambuzi wa epl Kwa Kiswahili Hadi DK leakey anachambua..

Mtu akija kujitokeza kushangilia Newcastle leo
Watakuja kusema timu ilikuwa haina mashabiki
Kabla ya 2020..

Mtoto mimi?
Unajuwa nimezaliwa mwaka gani? Umri wangu?
 
Hehee.. kumbe alikua mkubwa lakini kwa sasa si mkubwa tena. Unadhani wakati nampita Everton alijisikiaje? Lakini kwakua nishampita hana namna amekubali. Chuki uliyonayo kwangu nahisi ndio aliyokuwa nayo Everton kwa wakati huo.

Unahofu naweza kukukuta na kukuacha ndio hofu aliyonayo Arsenal kwa sasa ndio maana wanachuki na Chelsea na siyo muda wataanza kuwachukia Tot.

Inahitajika Nivunje Timu halafu uwepo peke yako kwa miaka 100 mbele ndiyo uweze kunipita.
 
Yeye kasema kabla ya 2005 na Liverpool ilikuwa kama Bolton..

Ndo maana nikamjibu
Chelsea ya Zola na Flo ilikuwa hatari sana.
Newcastle ya Keegan walikuwa title contenders..

Hizi timu zilipata mashabiki sababu watu
Walizifuatilia na kutazama mechi zao kila wiki
Mfano mzuri Middlesbrough ya Ravaneli na juninho...ilikuwa na mashabiki wengi mno Tz..

Hata kama ubingwa walikosa huwezi sema
Hazikuwa na mashabiki...

Kigezo cha kuitaja Dtv ni kuonesha watu wengi walitazama mechi zao..free to air TV Kwa kila mtu but English football Tanzania ina mashabiki hata kabla ya Dtv
Wapo waliokuwa na satellite dish wengi pia mjini na walikuwa mashabiki...

Yaani asije mtu kesho kusema ni mshabiki wa Middlesbrough ..mtu akaanza kumponda.kuwa ni plastic fan..ndio my main point

Yani maelezo yako yote yanacheza kati ya mwaka 2000 - 2003

Kumbe ndiyo walewale kizazi cha 2000+
 
Sasa wewe Jamaa umeshaanzisha Ugonmvi gena tena na Mimi?

Mimi ninaongea na Washabiki wa Chelsea na Arsenal for Fun, hayo mashambulizi yako yametokea wapi tena?

Na haya Uliyoyaandika yanahusu nini kwenye Post yangu?

Hayo ya ITV na DTV, ya kina Gullit na mengine yote uliyoyaandika Mimi nayajua na Walaya sihitaji msaada wako kufahamishwa! Labda nikuongezee tu kuwa hata TVZ (Sasa ZBC) ya Zanzibar ilikuwa kila Jumamosi na Jumapili inaonesha Mechi moja kubwa ya EPL bure.
Mimi usinichukulie Powa kiasi hicho ukadhani kutokujiunga JF 2009 kama wewe ndiyo nilikuwa Sijazaliwa wakati mwaka inaanzishwa JF 2006 Mtoto wangu wa kwanza anatimiza miaka 3, na 2019 nikaowa Mke wa Pili.
Huenda ikawa naijuwa Liverpool wewe tokea unasoma Shule ya Msingi lakini nashangaa unanitajia Wachejazi wa mwaka 1997?????

Kuhusu Title Contender kwa Chelsea umedanganya Bro,
Kuanzia mwaka 1905 mpaka kufikia mwaka 2000 Chelsea hakuwahi kuwa Regular kwenye Hata Top 4 achiliambali title Contender! Prove me Wrong kwa kuweka Msimamo wa Ligi angalau kwa miaka 5 mfululizo.

Kuanzia mwaka 2001 mpaka 2004 Chelsea hakuwahi kuwa Regular title Contender kwani Vita ilikuwa ni Arsenal v/s Manure, Chelsea akawa Regular Top Four, Prove me Wrong.

Kuanzia 2005 ndiyo Chelsea kawa Regular Title Contender.

Kutokezea mwaka mmoja ukabahatisha kuwa Title Contender haijawa Kigenzo kama wewe kwenye zama hizo ni Title Contender wa kupigiwa mfano, Hata Liverpool mwaka 2001 tulikuwa title Contender Je tujihesabu kuwa kuanzia era ya 2001 mpaka sasa tulikuwa title Contender kwa miaka yote hiyo? Leicester City kwasababu mwaka 2016 alikuwa title Contender na akabeba Kombe nayeye tumuhesabu mpaka sasa ni miaongoni mwa Matitle Contenders?

Usipende kukurupuka bro.
Huyu jamaa amekuwa kama yule tajiri msomi,
Haelewi kuwa kila sehemu na lugha zake, ni wa kupuuza tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom