DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,871
Unafikiri kutajataja hayo ma DTV kila wakati na kuita watu washamba,ndio tutakuona unajua?lete takwimu kutoka 1955-2005,usikurupuke soma kwanza uelewe kisha tafakari ndio utoe jibu,usiendeshwe na mihemko!huwezi kufit kila eneo ,halafu usiwe unakakamaza sana fuvu katika mambo madogomadogo.Hawa watoto washamba aisee
Wakati Kevin Keegan anamsajili asprilla
Hadi siku Ile wanacheza game of the season na Liverpool haya mambo yalikuwa Dtv ..
Dtv walikuwa na vipindi vingi vya uchambuzi wa epl Kwa Kiswahili Hadi DK leakey anachambua..
Mtu akija kujitokeza kushangilia Newcastle leo
Watakuja kusema timu ilikuwa haina mashabiki
Kabla ya 2020..
Relax
