Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hujamuelewa Ngwaba na Hujanielewa Mimi pia ndio maana umekuja na spidi kubwa sana,ukweli in kwamba hata Norwich INA washabiki Ila wachache sana kucompare na timu kama Liverpool,Arsenal na Manchester united na ukweli usiopingika mashabiki wengi was Chelsea na Man city ni MAPLASTIKI NA WASAKA USHINDI.
Haya ni mawazo yako eti nawewe uheshimiwe!! Haya sawa endelea kuchangia hoja zako
 
Adjustments.jpg
 
Fsg ni owner wa Boston Red Sox..
Toka waliponunua Boston Red Sox wamechukua ubingwa mara kadhaa na timu haijashuka value...

Liverpool iko very safe na fsg

Ila mkuu fananisha uwajibikaji wa FSG kama wawekezaji na uwajibikaji wa Abramovic&Sheikh Mansour

Hao kina Abramovic&Mansour baada ya kuchukua timu Clubs zimechukua EPL x5 huko wakati FSG ndio kwanza EPL ya Corona
 
Ana miaka 16, nafasi anayocheza ni kiungo mshambuliaji.
Screenshot_20200825-204123-1.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20200825-203654-1.jpg
    Screenshot_20200825-203654-1.jpg
    19.9 KB · Views: 6
Messi has won a record six Ballon d'Or awards during his time at Barcelona as the top player in the world, and has helped the club win 10 Spanish league titles and four Champions League crowns.

Apparently rumours has it he want to leave the Nou Camp boys... His price though 🤔🤔🤔🤔a whopping +£500m.

Messi yupo sokoni come on FSG give us a life time shocker and bring this magician to real Reds home😂😂😂😂😂😂😂...

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom