Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Nina uhakika wakati Unazaliwa Mimi ninasoma Shule ya Msingi kama sio Sekondari.

Ungelikuwa una umri wa kufatilia Mpira kabla ya 2005 nina uhakika usingekuwa Mpenzi wa Chelsea bali ungekuwa Arsenal au Manure aliyetukuka.
Inferiority complex. Nenda kasome hiyo statement
 
Sasa kwahiyo Mwl wa chekechea unataka amuulize mwanafunzi wake swali la form six?
Kutokana na utoto wenu, mnaulizwa maswali munayoendana nayo!
(Dozi lazima izingatie umri)

Ukirudi urudi na hoja usifoke

Na mimi nakazia hoja yake kuwa hakuna shabiki wa Chelsea/Man City wa kweli kabisa aliye over 25yo,
Wengi ni under 20 wamekuja na upepo wa kisulisuli wa Mourinho 2005

Ukiliona libaba la over 25 linashabikia Chelsea/Man City hilo ni LISAKA USHINDI au SHABIKI LA PLASTIKI
baada ya kupata maumivu kutoka katika vilabu vya LIVERPOOL, ARSENAL, MANCHESTER likaona lijiegeshe kidogo kwa mchepuko ili kupunguza maumivu ndio likalowea huko ila nyumbani kukinoga linarudi faster,
Kama Babu Mawe alivyojipumzikia PSG katika harakati zake za kusaka raha



Ndio maana ukubwa wa Club mimi siupimi kwa followers wa social networks, maana haya mamitandao ya kijamii yamekuja tu juzijuzi na wengine hawayatumii kabisa na wana timu zao wanazoshabikia,
Pia tafsiri ya kufollow timu/mtu sio kwasababu unampenda au unashabikia timu hiyo,
wengi wana-follow ili kuhabarika/kupata habari kutoka kila angle, kwa mfano mimi nimezi-follow karibu timu zote za ligi kuu England, sasa nashabikia timu zote?

Na wengi wana-follow ili kujua kinachoendelea kwa wapinzani(haters)

Haji Manara ana followers wengi wa Yanga ambao wamem-follow ili wapate habari na wamtukane(haters)

Mimi naangalia Fanbase, na ndio hiyo ambayo timu kubwakubwa kama Liverpool, Man Utd na Arsenal inazifanya kuwa juu muda wote,
Fanbase inapimwa vipi bila social media. Hata mimi Intagram nimezi follow timu nyingi sana EPL na nje ya EPL lakini kwanini Chelsea imzidi followers Arsenal hata tukitumia mizani hiyo huoni walakini?

Unachojaribu kufanya kujitengenezea vigezo vyako kwakua vilivyowekwa na wanaojua unaona vinakuacha mbali sana.
 
Yani Mshabiki wa Chelsea yuko tayari umwambie umepatikana kwa bao la Nyeto kuliko kumwambia Timu Yenu imeanzishwa 2005
Sema wewe ndio umeanza kuujua mpira kipindi hicho kwa sababu kama ni makombe Chelsea haikuanzia hapo kuyachukua.

Mnadhalilisha uwezo wenu wa kujudge mambo
 
Ok kabla ya 2005 tulibeba FA mara 3, Leageu Cup 3, UEFA super league 1, na Community shield mara 3..

#CFC

Inamana tukiwaambia kabla ya 2005 mulikuwa kama Bolton tu muwe munatuelewa 😂😂

Kwa Makombe hayo basi rudia post yangu ya Jana niliyosema Everton alikuwa Mkubwa kuliko wewe! Then eti unataka uitwe Mfalme wa London mbele ya Arsenal? 😂😂

Mfalme gani aliyeanzishwa 2005? 😂😂

Mwaka ambao Chelsea inaanzishwa (2005) Arsenal unanujuwa alikuwa na Makombe mangapi? 😂😂

Chelsea Kids Football Club 😂😂

CC: DullyJr
 
FSG wametupiga Spana mpaka sote tumeufyata hakuna anyezungumzia usajili 😂😂😂

Kilichobakia sasahivi tunaangalia Shoo tu tunasubiri upepo utakapotupeleka 😂😂😂

Nategemea karibuni tu tutaingia katika Guinness World Records kuwa Club iliyotumia Pesa kidogo kuliko Timu yoyote ndani ya Top 5 Leagues kwa Misimu Miwili Mfululizo kuliko Timu zilizoshuka Daraja.
 
Inawezekana hata hajui kama Chelsea kabla ya 2005 ilikuwa kwenye Level za Kina Bolton manake hata Leeds United, Spurs na Everton zilikuwa kubwa kwa Wakati huo kuliko Chelsea 😂😂
Sasa imagine nani angelikuwa Mshabiki wa Chelsea.
Nakumbuka kabla ya 2005 ni Manure na Arsenal tu ndiyo Wanarunishiana Misuli 😂😂 sisi Liverpool tulikuwa Wasindikizaji tu tukipambana na Alhaj Diof anatema mate kama Nyoka 😂😂


We jamaa kumbe hujui lolote ..
Mimi Liverpool mwenzio Hadi nasikia aibu na
Unayayosema...

EPL Tanzania imeanza kutazamwa miaka mingi sana kabla Dstv haijafika..

Uliza kina Pascal Mayalla waliofanya kazi Dtv..
EPL ilikuwa inaoneshwa bure kabisa Dtv Hadi ITV baadae...

Chelsea ina mashabiki Tz wakati huo ni title contenders ma Star wao kina Ruud Gullit baadae akawa kocha na kina Torre Andre Flo na Zola...walikosa ubingwa kidogo Tu baada ya flo kuumia...

Liverpool kulikuwa na mnyama anaitwa Stan Collymore unamjua?Unayajua mambo yake?

Enzi hizo hapa hapa Tz mpira tunatazama EPL bila kulipia kingamuzi..

Newcastle ya Keegan unaijua?

Middlesbrough's ya Ravaneli unaijua??
 
Kabla ya social media walikuwa wanatumia nini kupima fanbase?
Maana hizi Facebook zimeanza tu hivi karibiuni?
Fanbase inapimwa vipi bila social media. Hata mimi Intagram nimezi follow timu nyingi sana EPL na nje ya EPL lakini kwanini Chelsea imzidi followers Arsenal hata tukitumia mizani hiyo huoni walakini?

Unachojaribu kufanya kujitengenezea vigezo vyako kwakua vilivyowekwa na wanaojua unaona vinakuacha mbali sana.
 
FSG wametupiga Spata mpaka sote tumeufyata hakuna anyezungumzia usajili 😂😂😂

Kilichobakia sasahivi tunaangalia Shoo tu tunasubiri upepo utakapotupeleka 😂😂😂

Nategemea karibuni tu tutaingia katika Guinness World Records kuwa Club iliyotumia Pesa kidogo kuliko Timu yoyote ndani ya Top 5 Leagues kwa Misimu Miwili Mfululizo kuliko Timu zilizoshuka Daraja.

Fsg ni owner wa Boston Red Sox..
Toka waliponunua Boston Red Sox wamechukua ubingwa mara kadhaa na timu haijashuka value...

Liverpool iko very safe na fsg
 
We jamaa kumbe hujui lolote ..
Mimi Liverpool mwenzio Hadi nasikia aibu na
Unayayosema...

EPL Tanzania imeanza kutazamwa miaka mingi sana kabla Dstv haijafika..

Uliza kina Pascal Mayalla waliofanya kazi Dtv..
EPL ilikuwa inaoneshwa bure kabisa Dtv Hadi ITV baadae...

Chelsea ina mashabiki Tz wakati huo ni title contenders ma Star wao kina Ruud Gullit baadae akawa kocha na kina Torre Andre Flo na Zola...walikosa ubingwa kidogo Tu baada ya flo kuumia...

Liverpool kulikuwa na mnyama anaitwa Stan Collymore unamjua?Unayajua mambo yake?

Enzi hizo hapa hapa Tz mpira tunatazama EPL bila kulipia kingamuzi..

Newcastle ya Keegan unaijua?

Middlesbrough's ya Ravaneli unaijua??
Wacha uwongo wewe
Hiyo Chelsea iliyokuwa title contender in IPI?
Hii iliyokaa 50 years bila EPL au nyingine?
Hivi Mimi nikija nikisema QPR ya mastaa kina Julio Cesar ilikuwa kiboko ntakuwa sawa eeeeehhh, usiipaishe timu kwa uwepo wa mastar utaonekana mbumbumbu,
Kuna timu inayokosa mastar,!hao Chelsea ya muda huo unaosema wewe ilikuwa sawa na Wolverhampton hii ya Leo,na hao unaowataja hawana tofauti na kina Neves,,Jimenez na Moutinho.........

Sema wewe una chuki na huyo uliyemquote sasa unaamua kumtolea povu
 
We jamaa kumbe hujui lolote ..
Mimi Liverpool mwenzio Hadi nasikia aibu na
Unayayosema...

EPL Tanzania imeanza kutazamwa miaka mingi sana kabla Dstv haijafika..

Uliza kina Pascal Mayalla waliofanya kazi Dtv..
EPL ilikuwa inaoneshwa bure kabisa Dtv Hadi ITV baadae...

Chelsea ina mashabiki Tz wakati huo ni title contenders ma Star wao kina Ruud Gullit baadae akawa kocha na kina Torre Andre Flo na Zola...walikosa ubingwa kidogo Tu baada ya flo kuumia...

Liverpool kulikuwa na mnyama anaitwa Stan Collymore unamjua?Unayajua mambo yake?

Enzi hizo hapa hapa Tz mpira tunatazama EPL bila kulipia kingamuzi..

Newcastle ya Keegan unaijua?

Middlesbrough's ya Ravaneli unaijua??

Uliwahi kushuhudia Chelsea au Liverpool ikichukua ubingwa wa EPL kupitia DTV?
 
Inamana tukiwaambia kabla ya 2005 mulikuwa kama Bolton tu muwe munatuelewa 😂😂

Kwa Makombe hayo basi rudia post yangu ya Jana niliyosema Everton alikuwa Mkubwa kuliko wewe! Then eti unataka uitwe Mfalme wa London mbele ya Arsenal? 😂😂

Mfalme gani aliyeanzishwa 2005? 😂😂

Mwaka ambao Chelsea inaanzishwa (2005) Arsenal unanujuwa alikuwa na Makombe mangapi? 😂😂

Chelsea Kids Football Club 😂😂

CC: DullyJr
Hawa vijana bado hawajaanza kujielewa mkuu,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom