Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Basi ukajiona kichwaa mwenyewe? Haya maswali tulikua tunaulizana primary leo hii jibaba linauliza maswali ambayo hata mtoto mdogo anaweza kuyameza google.

Mnataka kutuaminisha kujua mambo hayo ndio kujua mpira. History ipo google yawezekana hata wewe umegoogle.

Hapo usijesema nimekufokea. Naheshimu nafasi zenu ila tusiweke vigezo katika kuheshimiana ukizidiwa hoja kausha.

Sasa nimesema tulikuwa tupo Kijiwe maongezi ya Face to Face hiyo google utaingia kama Terminater au?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom