Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kwenye ile game Guandoga na Jesus hawakupaswa kuanza na wala hakupaswa kuchezesha mfumo wa uoga wa 3-5-2. Alikuwa achezeshe 4-3-3 au 3-4-3.

Front Three ilikuwa iwe>
Bernardo - Sterling - Mahrez

Kwenye 3-4-3 kati aweke>
Cancelo-Rodri-KDB-Walker

Kwenye 4-3-3 kati aweke>
Cancelo- Rodri - KDB

Lakini jamaa mipango imekuwa mengi mpaka anajichanganya.
Kabisa ndugu mie Ikay nilivyomuona ameanza huku akiwaacha Silva, Bernado na Mahrez benchi niliona watapata taabu hata watangazaji walikua wanasema pengine baada ya kuona response ya Lyon abadili mfumo chap lakini wapiiii kakomaa vile vile...

Pep has damn some balls in him sio utani yaaani jamaa hapangiwi wala nini yeye akiamua selection ndio hivyo hivyo... Lyon had a game plan to sit deep and counter as a unit with no easy ride...

With this kind of mentality utadhani alikutana na Brighton nk.. This is UCL na Lyon wanajua once in blue moon kujikuta wapo on that level of last 8 hata sikumbuki mara ya mwisho walifika hapo lini...

Mshahara wa Pep kwa mwaka before adds on ni £15m 🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️ si mchezo guys... He is paid that salary to compete at the highest level to conquer the rest na ndio maana mpaka wachezaji aki point wanaletwa chap na mishahara yao pia yakueleweka hivyo maumivu waliyonayo sio ya kawaida kuanzia Mansour, Txikki, Solano, Pep, wachezaji, mashabiki nk

Pride comes before fall..

YNWA
 
Atleast jukwaa hili na lile la Arsenal mashabiki wake wanauelewa mpira.

Yani mpira mpira unachambuliwa mpaka raha!

Huko kwengine kwa Manyumbu na Chelshishi ni kuongea utumbo tu, kila mtu anaongea lake.

Hongereni sana, nitakuwa napitapita na comments zenu wakuu.
Hujawajua watu wa humu, ni vile wamechukua epl tena bila mashabiki uwanjani. Uwe unatembelea wakiwa wanakandamizwa ndiyo utajua kukoje. Halafu ile thread yetu ya wafalme wa epl ina tatizo la kuvamiwa na mamluki kama wewe, hasa pale tukifungwa tu, mnakuwa na nongwa, mnaongea pumba, utumbo ndiyo maana liko vile. Ila sisi wenye timu yetu wala hatuna ngebe, tunaitathmini timu na mpira wenyewe wa on pitch.
 
Hujawajua watu wa humu, ni vile wamechukua epl tena bila mashabiki uwanjani. Uwe unatembelea wakiwa wanakandamizwa ndiyo utajua kukoje. Halafu ile thread yetu ya wafalme wa epl ina tatizo la kuvamiwa na mamluki kama wewe, hasa pale tukifungwa tu, mnakuwa na nongwa, mnaongea pumba, utumbo ndiyo maana liko vile. Ila sisi wenye timu yetu wala hatuna ngebe, tunaitathmini timu na mpira wenyewe wa on pitch.
Mfalme umechukua kombe gani?
 
Ni tough loss man, afadhali ukifungwa na power house unasema it was 50 50.

Time is flying, na sioni kama kuna njia yoyote anayoweza kujieleza awa convince waajiri wake kwamba he can do it.

Nina uhakika hana misimu zaidi ya 2 sasa hivi.

Something to remember, Barca is so calling.
Barca are almost bankrupt 😂😂😂hawamuwezi huyu Pep wa sasa..

Manchester City sioni wakimtimua labda kuwe na kipengele cha kusitisha kwa any party mambo yakiwa kama yalivyo sasa..

Hana cha kulaumu amepewa sapoti ya kutosha usajili wa wachezaji kwa mfano kuanzia 2017 wametumia £324m kusajili mabeki tu sasa jamani utasema wamilikia hawamsaidia kutimiza malengo.. Jumla ya usajili wao kwa miaka mitano ni £800m.

Pep has spent 762.3 million euros, tangu ametua Manchester City...

Pep Guardiola's total spending as a coach to 1.307.9 billion euros(Barcelona, Bayern Munich na Manchester City)

jumla amefanya kazi hio kwa misimu 11 akiwa kocha wa hizo timu 3.

Ameshinda UCL mara 2 mwaka 2009 na 2011 tu pamoja na kupewa mahela yote hayo...

Pole kwaoooo..

YNWA
 
Maestro
1597450518665.jpg
 
Ulikuwa bado mdogo hii.

Achia wazee
2004 mkuu nilikuwa na miaka 9+ ivyo naifahamu Chelsea vilivyo naweza kukutajia kikosi chote cha wakati huo ambacho kilileta mapinduzi makubwa kiasi Kwamba kiliweza kubeba ligi mara mbili na kuingia fainal 2008 na man u ..ivyo nikumbushe iyo game mkuu..

#CFC

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom