Masamila
JF-Expert Member
- Jun 22, 2014
- 6,505
- 7,465
Ile kofia yako vipi
Au umestaafu kuvaa kofia
Ile kofia yako vipi
Well said KopiteTunaweza kutofautiana kimtazamo ndugu ila wote tunataka mafanikio kwa timu yetu that the beuaty of football...
Nani auzwe nani anunuliwe wanaamua wao kulingana na mahitaji ya timu na nchezaji kua willing ku join na timu yake kua willing kuuza..
ila hili la hawa ma pancha kwangu naona linatunyima a competing edge full throttle mpaka mickey trophies..
Hio taasisi ndio aliwaleta akina Klavan, Karius, Solanke, ambao ni mediocre signings hivyo hata chini ya Klopp huyu guru walichemka ku kutamani kusajili wachezaji quality ni ku maintain status competing at the highest level na kuleta mafanikio zaidi...
Kutetea ubingwa EPL sio a walk in the park to be precise hii itakua ngumu kuliko last season that why its my own wish kuona proper recruitment kumpa mwalimu different dynamics tofauti na sasa ambapo ni 4 3 3 all weeks..
Sio ndoto yangu kuona Klopp heading the Shankly way mpaka akatemwa na timu just because Shankly failed to supplement his aging squad because they were his red army and they had won so much.
We need proper recruitment ku support hawa waliopo na wawe young may be 22 to 25yrs ili they take over as this warriors age.. Hio ndii itatupa continuity na kutuokoa yaliowakuta Arsenal, Manchester United, Barcelona nk
YNWA
Asee hapo na yule kipa wenu amekuwa pazia mnapoteza karibu zote..Game 10 za kwanza tukicheza karata vema we'll be on top
Leeds United (H)
Chelsea (A)
Arsenal (H)
Aston Villa (A)
Everton (A)
Sheffield United (H)
West Ham United (H)
Manchester City (A)
Leicester City (H)
Brighton & Hove Albion (A)



Acha kuandika upumbavu kwanini timu zinaongeza mashabiki.Sisi tunachojivunia ni Fanbase na sio Plastic Fans.
Kuna Timu zina mashabiki wengi lakini sio Fanbase bali ni Plastic Fans waliojiunga kipindi Timu hizo zinabeba Makombe, They are nothing but Glory Hunters.
Timu hizo ni Chelsea, Man City na Barcelona.
• Washabiki wa Barcelona wamejiunga 2005 baada ya kuvutiwa na Ronaldinho, na 2009 baada kuvutiwa na Messi. Hawa ni Plastic Fans na watatoweka watabakia wale wa Real tu.
• Washabiki wa Chelsea watakupa historia ya Vialli kama waliwahi kumuona akicheza kumbe wanagoogle, Wengi wao ni Plastic Fans wamejiunga mwaka ilioanzishwa Timu hiyo 2005 kumfata Mourinho aliyekuwa akibeba Makombe! Timu ikipotea na wao watapotea.
• Washabiki wa Man City wao ndiyo kabisa hamna kitu.
But sisi Liverpool hatuhitani Mademu Plastic Fans bali tunahitani real Fanbase. Wengi wetu timeipenda Liverpool ikiwa sawa na Bolton haijui hata kombe linabebwaje.
Naomba link ya game hii mkuu
Ahsante lakini naona iko live ss3Naomba link ya game hii mkuu
Duh sasa hawa si wanajulikana uwezo wao?
Sema kipindi cha pili kimeingia kikosi kipya kabisaDah! Full Mziki yani
Sure ndugu yangu...Well said Kopite
Succession plan very very much important for us
Yan mtu usipokua unaingia ingia majukwaa mengine ya mpira huwa kuna upumbavu mwingi mnajazana vichwani mwenu.Sisi tunachojivunia ni Fanbase na sio Plastic Fans.
Kuna Timu zina mashabiki wengi lakini sio Fanbase bali ni Plastic Fans waliojiunga kipindi Timu hizo zinabeba Makombe, They are nothing but Glory Hunters.
Timu hizo ni Chelsea, Man City na Barcelona.
• Washabiki wa Barcelona wamejiunga 2005 baada ya kuvutiwa na Ronaldinho, na 2009 baada kuvutiwa na Messi. Hawa ni Plastic Fans na watatoweka watabakia wale wa Real tu.
• Washabiki wa Chelsea watakupa historia ya Vialli kama waliwahi kumuona akicheza kumbe wanagoogle, Wengi wao ni Plastic Fans wamejiunga mwaka ilioanzishwa Timu hiyo 2005 kumfata Mourinho aliyekuwa akibeba Makombe! Timu ikipotea na wao watapotea.
• Washabiki wa Man City wao ndiyo kabisa hamna kitu.
But sisi Liverpool hatuhitani Mademu Plastic Fans bali tunahitani real Fanbase. Wengi wetu timeipenda Liverpool ikiwa sawa na Bolton haijui hata kombe linabebwaje.
Lol!! Huyu ni wewe mkuu?


SawaAsee hapo na yule kipa wenu amekuwa pazia mnapoteza karibu zote..
Mark this
#CFC
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app