Babumawe
JF-Expert Member
- Sep 12, 2014
- 2,585
- 2,666
Achaga kuweka bando la mia mbiliMkuu unajua mimi niko so yesterday![]()
Achaga kuweka bando la mia mbiliMkuu unajua mimi niko so yesterday![]()
Yeah hapo Mkuu kuna shinda kwenye kumalizia sijui mandogo hua wapo hoi ama niaje...Mwishoni mwa msimu sijui huwa tunakumbwa na nini mfano if ingekuwa inabeba reality sijui ingekuaje kama gap lingekuwa 10pts
Game za mwanzo tunaweza anza vizuri tu Kama kipindi Cha BR
😂😂😂Mkuu kua na maneno ya akiba aisee...Nimeibuka mzeee
Machungu yameishaaaa...
Apa tukikamilisha usajili tutakuwa tunakula vichwa msimu ujao bila huruma..
#CFC![]()
Hahaha mkuu nipe Master Pass Ozil aafu wewe chukua huyu Hendo 😂😂😂..Namheshimu sana Captain Marvelous

https://t.co/gHCcATqTrWKlopp ni habari nyingine kwenye suala la mahusiano yake na wachezaji.. I can say he is the best in the business.. Nakumbuka msimu ule mechie dhidi ya Manchester United kwao alimtoa Hendo na our CP hakupenda kutolewa hivyo hakuficha emotions zake vile alichukizwa na hio sub.. Sasa media nyingi tu walisema ndio mwisho wa Hendo chini ya Klopp.. Akaja kuulizwa Klopp vipi Hendo mbona vile akasema anahitaji wachezaji wawe na ari, passion to fight for the team etc yaani alii punch kiasi hata alieuliza swali hakua na la kusema...Ni wakati wa kumfahamu klopp.
Mimi nimeamua kumfahamu klopp kwa sababu hizi.
KLOPP ni kocha asiyependa kuonesha chuki zake wazi wazi au sio mgomvi.
Tuanzie hapa.
Anasema hapendi kua na kikosi kikubwa chenye gharama hapa naona anawabeba FSG. Jamaa ni wagumu sana hivyo anapambana kwendana nao bila migogoro.
Tujikumbushe sakata la Mane na Salah kunyimana pasi jinsi alivyokua anadeal nalo kuanzia kwenye media mpaka huko mafichoni (dressing room, phone,mazoezini n.k).
Klopp sio mtu wa kusema huyu lazima aondoke tuanzie kwa Sackho, Moreno, clyne, lallana na hata lovren ambaye ilisemekana huenda akaongeza mkataba.
Ninaamini, Klopp na Edward bado wanaumiza vichwa sana toward hii transfer window.
Mimi nasubiri deal done.
HahaUnadhani hawa Contents Managers wa JF hawazijui tabia zetu sisi members?
Kwahiyi usidhani kuwa kuna watu humu tunaweza kupigwa Ban kijingajinga
Lakini nikikuitia wewe Mods ndani ya dakika sifuri unalimwa Ban![]()
HahahaMkuu huo ndio ukweli kuntu...
Kuumia kwa Laporte kuliwagharimu mno washindani wetu kiasi walijutia kumwachia Vincent aodoke... Hayo mawili tu ndio kigezo cha jamaaa kupoteana.. Sasa wameanza kazi usajili moto moto...
Sasa kwetu mzee baba ni muda wa kukaa mkao wa kusubiri na huku media nyingi za majuu zikidai kwamba tupo vizuri bila hata kusajili na eti tumeshinda ubingwa huu bila kuingia sokoni sana mwaka jana mwezi 6 2019 na January 2020 kama wengine...
Ukweli ni kwamba tunihitaji usajili ili kwenda sawa na wenzetu..
Imagine Manchester City pale walipo wanadai wachezaji watano usajili ndio wawe kamili lol..
Ukweli tuna bahati pia ya wachezaji wetu kutoumia mara kwa mara.. Kama vile VVD, Trent, Salah nk wamekua na msimu bora kabisa.. sasa yajayo hatuyajui kabisa ndugu..
Tulipo sasa
Naona leo magazeti mengi Jamal Lewis huyu ni one for the future hana hata assist moja msimu mzima.. Labda chini ya Klopp atabadilika..
YNWA
Nakuunga mkono mkuuLiva msiposajili mtaanza kutembelea bahati na uzoefu. Nyie ni mashahidi Arsenal tulifikishwa wapi na hiyo attitude.
Hahaha usimchoke sana ndugu wamekaa EPL msimu mmoja aisee..Hahaha
Kumbe huyo dogo hana assist hata moja?
Hawa lazima wakomae wanajua vyema uzalishaji wa mabeki wa kushoto hua ni adimu sana pia huyu ana meet vigezo vya home grown hivyo tutafika bei.. .Norwich wanatuchukulia vipi lakini
Norwich have rejected #LFC's opening offer of £10m for Jamal Lewis
Tutarudi na offer mpya,Wataachia tu.Norwich wanatuchukulia vipi lakini
Norwich have rejected #LFC's opening offer of £10m for Jamal Lewis
Ila offer yao ya kutaka tu-double naona kubwa sana kwa huyu dogoHawa lazima wakomae wanajua vyema uzalishaji wa mabeki wa kushoto hua ni adimu sana pia huyu ana meet vigezo vya home grown hivyo tutafika bei.. .
Ndogo nadhani ana miaka 22 hivyo watakomaa angalau wapate £10m plus wapewe mchezaji mmoja...
YNWA
Ngoja tuone wanachokitaka Ila offer isiwe double ya waliyoikataaTutarudi na offer mpya,Wataachia tu.


nyie subilini mwaka ujao League ya wanaume kabaki pep