Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Lile jamaa lakujiita Kingwaba qummer sana kuna siku limeita mod mpaka kaniban faller huyu nilitaka nimlipizie

Unadhani hawa Contents Managers wa JF hawazijui tabia zetu sisi members? 😂😂
Kwahiyi usidhani kuwa kuna watu humu tunaweza kupigwa Ban kijingajinga 😂😂

Lakini nikikuitia wewe Mods ndani ya dakika sifuri unalimwa Ban 😀😀😀
 
Lile jamaa lakujiita Kingwaba qummer sana kuna siku limeita mod mpaka kaniban faller huyu nilitaka nimlipizie
Sasa unafikiri hawa Mods wa humu hawana akili yaani uzingue wewe alafu utegemee kuwasababishia wengine ban, watu wanaangalia chanzo, na wewe ndio chanzo sasa ban uliyoiita utaipata kabla ya giza halijaingia.....
 
Unadhani hawa Contents Managers wa JF hawazijui tabia zetu sisi members?
Kwahiyi usidhani kuwa kuna watu humu tunaweza kupigwa Ban kijingajinga

Lakini nikikuitia wewe Mods ndani ya dakika sifuri unalimwa Ban
Wewe jamaa sio mshabiki wa mpira mashabiki siku zote hawanaga tabia kama zako inaelekea umelelewa malezi ya kudekadeka sana sasa angalia sana hii dunia
 
Sasa unafikiri hawa Mods wa humu hawana akili yaani uzingue wewe alafu utegemee kuwasababishia wengine ban, watu wanaangalia chanzo, na wewe ndio chanzo sasa ban uliyoiita utaipata kabla ya giza halijaingia.....
Kwenye majukwaa ya mipira hamnaga kumsababishia mwenzio ban hapa ni kama vibanda umiza we ushawahi kuona kibanda umiza mtu akitukanwa anakimbilia polisi au
 
Kwenye majukwaa ya mipira hamnaga kumsababishia mwenzio ban hapa ni kama vibanda umiza we ushawahi kuona kibanda umiza mtu akitukanwa anakimbilia polisi au
Ndio maana nimekushangaa wewe unavyokimbilia polisi, na kiuhalisia hujatukanwa maana umeambiwa tu kuwa kama wataka raha upewe kidole, sasa mbona ukawa unapiga kelele za kuita mods kama ulikuwa wapata maumivu makali sana huko.

Yameisha lakini rudi kule unyumbuni wenzio wanamsubiri Jaso sancho mkampokee, au BvB hawataki pesa za mafungu?
 
Ndio maana nimekushangaa wewe unavyokimbilia polisi, na kiuhalisia hujatukanwa maana umeambiwa tu kuwa kama wataka raha upewe kidole, sasa mbona ukawa unapiga kelele za kuita mods kama ulikuwa wapata maumivu makali sana huko.

Yameisha lakini rudi kule unyumbuni wenzio wanamsubiri Jaso sancho mkampokee, au BvB hawataki pesa za mafungu?
Mi nilikuwa nataka nimrudishie nayeye ale ban ila basi nimempotezea
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom