4 3 3 ya Liva siyo attacking ni 4 3 3 holding. Ingekua 4 3 3 attacking Wijnaldum kuscore isingekua tatizo.
Na Henderson angekua anashambulia.
The reason these two hawawezi niliyoyasema ni kwakua inachezwa 4 3 3 holding.
Ok now kwa hiko kinachochezwa unatarajia Henderson (wewe unadai ni AMF) achezeje? Mimi najua jamaa ni CMF lakini timu yenu haitegemei CMF katika kuattack inategemea speed, stamina na skills za wingers wenu (Salah na Mane) katika hilo.
Also mimi nashabikia Arsenal, nilichoongea ni kwa kadri ninavyouona mpira wenu so kama mna siri za kambi itakua sizijui. Nisamehe ndugu.
Hahaha sasa mzee nimeweza kukuelezea kwanini Henderson haattack na De Bruyne anaattack kisha unaamini mimi uelewa wangu juu ya 4 3 3 ni hivyo unavyosema?On Paper 4-3-3 inaandikwa hivi
GINI - FABINHO - HENDO
na wengi munaitfsiri hivyohivyo kama ilivyoandikwa! Ndugu uwanjani Viungo hawachezi kwa kujipanga hivyo kwa mstari kama ilivyoandikwa!
Hapo wakifika uwanjani Hendo anakuwa mbele Juu (attacking), Gini anakuwa Kati (Central Mid) na Fabinho anakuwa Chini (Difensive Mid). Hawaendi sambamba wote kwa pamona kama ilivyoandikwa.
Sababu ya kuwa ndani ya Liverpool Gini hafungi ni kwamba sikuzote huchezeshwa Nyuma ya Hendo lakini mbele ya Fabinho.
Hivyo mfumo wetu wa 4-3-3 unayo attackiu Mid. Usikariri namba kuwa zimejipanga 4-3-3 wala usikariri mifumo wa Makocha wengine ukayaleta kwa Klopp.
Udhaifu wa Mchezaji kwenye Kiungo cha kushambulia usiufiche kupitia Mfumo.
Hapa ndo umeongea point tangu uanze kuvamia jukwaa hili mkuuHii Club bahili sanaa, sijui inatokea upaleni huko
Mnaokota vitoto kwa vya bei chee, bado mnataka kudominate League
Wekeni pesa mezani, mikono mitupu hailambwi
Wachezaji watawakimbia soon
Masikin havumiliki![]()
msimu ujao tutawaburuza sana.Mkuu kua na maneno ya akiba aisee...
EPL hainanga hizo..
Utapigika tu...
Hongera kwa usajili murwa kabisa Timo, Hakim na Kai ki ukweli hao wote nilitamani niwaone Liverpool...
YNWA



Asepe ili atunze eshima yake mkuu..asepe aende wapi mkuu?
Sisi tuna uhakika arsenal watawapiga maana yale ndo makombe yao ya historia..Hawana uwezo watufunga Arsenal wenyewe wanajua kabisa.
Me nilikuwa nawatamani sana nyinyi ili tuwashushie kipigo kama kile tulichowapa mpaka ukakimbia humu kutokana na maumivu makali uliyoyapata.



Ki ukweli tutaburuzana hamna namna...msimu ujao tutawaburuza sana.
CFC![]()
Yani ni bonge la mchezaji kiasi cha kufanana na kina Torres?Ki ukweli tutaburuzana hamna namna...
Mara pap Hakim na Timo wakaanza maisha yao darajani kama alivyoanza Pulisc haha utakimbia uzi huu walah ndugu maana utakua unapigika tu.. Ama Timo akawa kama Shevchenko ama Torreswewe haya
Yajayo yanafurahisha..
YNWA
Mkuu unamkumbuka 'Torres' wa Chelsea vizuri sio yule wa Liverpool...Yani ni bonge la mchezaji kiasi cha kufanana na kina Torres?
Cool TAA accolade..
Hahaha sasa mzee nimeweza kukuelezea kwanini Henderson haattack na De Bruyne anaattack kisha unaamini mimi uelewa wangu juu ya 4 3 3 ni hivyo unavyosema?
Hahaha 4 3 3 ya Man City inakua kwamba pale kwenye 3 Mid Rodri anakua nyuma as DMF De Bruyne na Silva wanakua mbele km AMF.
Tukinyambua tutasema ni 4 1 2 3.
Tukinyambua formation uliyoleta wewe ambayo unasema Fabinho ni DMF kisha Gini CMF halafu Henderson awe AMF hebu nisaidie tunapata nini?