Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hii Club bahili sanaa, sijui inatokea upaleni huko

Mnaokota vitoto kwa vya bei chee, bado mnataka kudominate League

Wekeni pesa mezani, mikono mitupu hailambwi

Wachezaji watawakimbia soon

Masikin havumiliki
 
Joe Gomez: “It’s definitely been the best five years of my life. I’ve grown up here. My little boy is a scouser now. It’s home for me and there’s nowhere else I’d rather be.”

Crazy to think he’s still only 23! A vital part of our squad, he’s been brilliant over the last few seasons. Great to see him say this too, a top professional and clearly a very humble man also!
Klopp
FB_IMG_1596736803691.jpg
 
yale yale ya fekir
Haha Fekir mkuu ni fire aisee hivi sijui Klopp amfuate alipo mazima ndogo bado anatufaa..

Thiago naona akitua PSG aisee endapo Edwards atachelewa kukamilisha huu usajili.. Japo binafsi kumkosa huyu naona sio ishu sana kwetu kwani ukiachana na take ons hana jipya sana zaidi ya tulionao..

Thiago the king of take ons pale German for the last season..

I stand to be collected, msimu ulioisha upo hivi Fekir(assist 7 goli 4) ama Coutinho(goli 8 assist 6) kuliko huyu Thiago assist bila bila goli 3 maana tunahitaji a real wizard like Kai (assist 6 na goli 12)..

Tunahitaji game changer aina ya Bruno Fernandes kaja Utd Jan 2020 ana assit 7 na goli 8 EPL..this is class.

YNWA
 
Hahaha, nimecheka kwa huo mfano wako wa Arsenal.

Tusubiri kwa imani. Siyo mara ya kwanza sisi ku-doubt ila jamaa akatugeuka.

Sema nilikuwa nahitaji timu ya kupambana UEFA kibabe, ila kwa style hii sidhani kama itakuwepo timu ya hivyo.

Mkuu ile kutolewa kwenye uefa itakuwa imetupa funzo na kuonesha mapungufu yetu,me naamini tutasajiri tu,maana tuliumia sana kufungwa anfield.

Kwa sasa kukumatika kwenye timu yetu tunakuwa atufungi jamaa wanakaa nyuma timu mzima,sisi tunabaki tunapiga pasi zisizokuwa na maana yoyote.
 
Mkuu ile kutolewa kwenye uefa itakuwa imetupa funzo na kuonesha mapungufu yetu,me naamini tutasajiri tu,maana tuliumia sana kufungwa anfield.

Kwa sasa kukumatika kwenye timu yetu tunakuwa atufungi jamaa wanakaa nyuma timu mzima,sisi tunabaki tunapiga pasi zisizokuwa na maana yoyote.
Exactly ndugu.. Hapo ndio kazi inaanzia kua na mbinu mbadala..

Zile dalili nilizoona ile mechi ya Atletico Madrid nyumbani zinahitaji majibu kwenye dirisha hili na sio lingine...

YNWA
 
Uyo jamaa ajui utani msameheni

Iyo community shild aitakuwa na ladha yeyote maana wapinzani wa kweli atumo..

Wale arsenal wanaeza wakawapiga pia...

#CFC

Hawana uwezo watufunga Arsenal wenyewe wanajua kabisa.

Me nilikuwa nawatamani sana nyinyi ili tuwashushie kipigo kama kile tulichowapa mpaka ukakimbia humu kutokana na maumivu makali uliyoyapata.
 
Tatizo wenzetu wamesajiri sana kutokana kutokufanya vizuri so wamepania labda msimu huu wachukue epl.

Na sisi tunatakiwa kuimalisha kikosi ili kuwa shinda wapinzani.tatizo lipo kwenye kumaliza ligi sio kuanza kutokana na kikosi chetu kuna wachezaji wakikosekana inakuwa inatugharimu sana.

Me naamini klopp lazima atasajiri tu.kulingana na mapungufu yetu maana tulikuwa Na mapungufu mengi na yalionekana wazi Kabisa kuna wachezaji wa namna gani wangesaidia kupata matokeo pale tulipo potezA mechi.
 
Ila De Bruyne ni AMF wakati Henderson ni CMF mwenye akili ya kudefend zaidi. Ndiyo maana akicheza ulinzi unakua wa uhakika.

Hakujawahi kuwa na tofauti kwenye ulinzi anapocheza Hendo au asipocheza! Shida ya Hendo Fanboys hamutaki kutumia stats kwenye chambuzi zenu tu kwasababu munajua kuwa numbers don't lie.
 
Ila De Bruyne ni AMF wakati Henderson ni CMF mwenye akili ya kudefend zaidi. Ndiyo maana akicheza ulinzi unakua wa uhakika.

Hendo sio CMF

Hendo natural yake ni Mido Mshambuliaji au namba 10.
Hiyo Difensive Minded ilijengwa karibuni tu na Klopp baada ya Timu yetu kutokuwa na Kiungo Mkabaji hasa Lucas Leiva alipoondoka kwenye Reli.

Ujio wa Fabinho umemrudisha Hendo kwenye Nafasi yake ya ushambuliaji kwani kwenye CM yupo Gini au Keita.
 
Hendo sio CMF

Hendo natural yake ni Mido Mshambuliaji au namba 10.
Hiyo Difensive Minded ilijengwa karibuni tu na Klopp baada ya Timu yetu kutokuwa na Kiungo Mkabaji hasa Lucas Leiva alipoondoka kwenye Reli.

Ujio wa Fabinho umemrudisha Hendo kwenye Nafasi yake ya ushambuliaji kwani kwenye CM yupo Gini au Keita.
4 3 3 ya Liva siyo attacking ni 4 3 3 holding. Ingekua 4 3 3 attacking Wijnaldum kuscore isingekua tatizo.

Na Henderson angekua anashambulia.

The reason these two hawawezi niliyoyasema ni kwakua inachezwa 4 3 3 holding.

Ok now kwa hiko kinachochezwa unatarajia Henderson (wewe unadai ni AMF) achezeje? Mimi najua jamaa ni CMF lakini timu yenu haitegemei CMF katika kuattack inategemea speed, stamina na skills za wingers wenu (Salah na Mane) katika hilo.

Also mimi nashabikia Arsenal, nilichoongea ni kwa kadri ninavyouona mpira wenu so kama mna siri za kambi itakua sizijui. Nisamehe ndugu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom