Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hahaha ndio mpira ndugu kutakiana mambaya.. No offence.

Mpambane Auba abakie EPL na pengine Mikel apewe mkwaja aboreshe defence ili ligi inoge zaidi.. Mikel ameonyesha udhubutu na anahitaji kushikwa mkono msogee mbele zaidi.. Msibweteke kumpiga Liverpool, Manchester City na Chelsea ndugu mbali mnunue kuwa na consistency..

YNWA
Yule bwana akiondoka morali ya timu itashuka.

Halafu bora nyinyi hamsajili mnajua moja sisi tunahusishwa na babu Willian na reject Coutinho. No offense kuhusu Coutinho ila siamini kama ana akili na uwezo aliouonyesha Liva.

Ngoja tuwauzie Man U Guendouz kwa Milioni 40 tupate starter ya cash ya kusajili.
 
Hii ya sub 5 ilikua subject mwisho wa ligi msimu huu, kama klabu zote wakiafiki itakuwepo...

Nadhani baada ya Afcon kua suspended mpaka mwaka kesho ni kama vile Klopp na Edwards wanarudi upya kwenye drawing board... With Afcon tungewakosa Keita, Mane, Salah hivyo hilo lilikua limetukalia vimbaya...

Well dirisha bado changa mno tusubiri tuone mipango iliyopo..

YNWA
Sure thing

Ngoja tuone ukimya wetu utaleta nini kipya
 
Me nadhani klopp anataka atusuprise kama alivyo fanya kwa kwa FABINHO na BACKER
Aisee na iwe hivyo ila mie naona kama vile Klopp atauza kwanza ili anunue...

Unajua wachezaji wengi wanaouzwa inakua ni malipo ya muda mrefu kwa mfano mchezaji anauzwa £60m unakomaa upfront deposit ya £20m na ulipe balance kwa instalments £40m, zinalipwa hata miaka 3 ama zaidi,.. Mtihani mkuu ni mshahara ambao hua hauna mkopo ndugu.. Ila kama ni kununua zipo njia mbadala hata mkopo wa benki kama vile tulivyomnunua Torres enzi hizo..

Miaka hii 3 tumepata ela nyingi tu EPL, UCL nk hivyo siamini kama tumeishiwa kiasi hicho...

YNWA
 
Hahaha, nimecheka kwa huo mfano wako wa Arsenal.

Tusubiri kwa imani. Siyo mara ya kwanza sisi ku-doubt ila jamaa akatugeuka.

Sema nilikuwa nahitaji timu ya kupambana UEFA kibabe, ila kwa style hii sidhani kama itakuwepo timu ya hivyo.

Hahahahaaa, machachari yao si haba kwenye soko

Of course UEFA tunatakiwa tusumbue sumbue ili hata tukipoa tuwe hata na total 8 tittles
 
Aisee na iwe hivyo ila mie naona kama vile Klopp atauza kwanza ili anunue...

Unajua wachezaji wengi wanaouzwa inakua ni malipo ya muda mrefu kwa mfano mchezaji anauzwa £60m unakomaa upfront deposit ya £20m na ulipe balance kwa instalments £40m, zinalipwa hata miaka 3 ama zaidi,.. Mtihani mkuu ni mshahara ambao hua hauna mkopo ndugu.. Ila kama ni kununua zipo njia mbadala hata mkopo wa benki kama vile tulivyomnunua Torres enzi hizo..

Miaka hii 3 tumepata ela nyingi tu EPL, UCL nk hivyo siamini kama tumeishiwa kiasi hicho...

YNWA
Afuu si unajua Klopp ni mzee wa kujimwambafai kwa average playerS sana sana na zile kauli zake dah kiuhalisia Kocha tunae ila sokoni lazima aingie .

Maana game nying zishaonyesha uwezo wetu dhahiri
-vs ATM
-vs MANCITY
 
Yule bwana akiondoka morali ya timu itashuka.

Halafu bora nyinyi hamsajili mnajua moja sisi tunahusishwa na babu Willian na reject Coutinho. No offense kuhusu Coutinho ila siamini kama ana akili na uwezo aliouonyesha Liva.

Ngoja tuwauzie Man U Guendouz kwa Milioni 40 tupate starter ya cash ya kusajili.
Hahah Babu Willian mnampa miaka 3 aisee upo uwezekano mpaka Jumamosi akawa ni wa kwenu...

Coutinho ndugu binafsi ningependa arudi hapa Liverpool naamini chini ya Klopp atarudi tena kwenye kiwango chake...

Matteo naona nyota inang'aa mpaka Barca na Juve wanamtupia macho..

YNWA

YNWA
 
Sure thing

Ngoja tuone ukimya wetu utaleta nini kipya
Sure ndugu after all Klopp alishasema kikosi chake kinamtosha na kipo vizuri haha message sent 😂😂..

Kwa mfano tusiposajili huku tukitegemea akina Origi na Jones nk itabidi ki ukweli wachezaji wote warudi kiwango kile tulichoanza nacho msimu uliosha.. Kiwango chetu mwezi wa August, September, October, November kilikua top top we played as u unit and with a purpose..


Sasa tazama tulivyomaliza msimu yaani kama vile hatupo..

Hopefully Klopp hatabweteka na matokeo na achievements for the last 1 year.

YNWA
 
Afuu si unajua Klopp ni mzee wa kujimwambafai kwa average playerS sana sana na zile kauli zake dah kiuhalisia Kocha tunae ila sokoni lazima aingie .

Maana game nying zishaonyesha uwezo wetu dhahiri
-vs ATM
-vs MANCITY
Haha hilo ni kweli yeye huenda kinyume na soko na makocha wengine..

Yaani this German guru is damn unpredictable.. He does his business in his ways..

Sasa kama Jamal Lewis lol upo uwezekano akatua kama vile Robbo...

Kwangu kwa sasa amnase kwanza Ismail Sarr huyu naona akija kuwa kama Mane...

YNWA
 
Sure ndugu after all Klopp alishasema kikosi chake kinamtosha na kipo vizuri haha message sent ..

Kwa mfano tusiposajili huku tukitegemea akina Origi na Jones nk itabidi ki ukweli wachezaji wote warudi kiwango kile tulichoanza nacho msimu uliosha.. Kiwango chetu mwezi wa August, September, October, November kilikua top top we played as u unit and with a purpose..


Sasa tazama tulivyomaliza msimu yaani kama vile hatupo..

Hopefully Klopp hatabweteka na matokeo na achievements for the last 1 year.

YNWA

Mwishoni mwa msimu sijui huwa tunakumbwa na nini mfano if ingekuwa inabeba reality sijui ingekuaje kama gap lingekuwa 10pts

Game za mwanzo tunaweza anza vizuri tu Kama kipindi Cha BR
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom