Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kuna muda nawaza sana kuhusu usajili, ila najipa moyo kwamba hata msimu ulioisha hatukusajili na mambo yamejipa.

Binafsi nikifanya rejea kwenye UEFA, kuna muda naona kabisa tumechukua PL si kwa ubora sana, bali ni kwa ubovu wa wapinzani.

Tusipoimarisha tutateseka sana msimu ujao.
 
Kuna muda nawaza sana kuhusu usajili, ila najipa moyo kwamba hata msimu ulioisha hatukusajili na mambo yamejipa.

Binafsi nikifanya rejea kwenye UEFA, kuna muda naona kabisa tumechukua PL si kwa ubora sana, bali ni kwa ubovu wa wapinzani.

Tusipoimarisha tutateseka sana msimu ujao.
ndio ukweli mkuu, pale mbele kuna tatizo, tunahitaji msaada , bila kusahau AM japo kwenye AM i guess klop anategemea Keita atakua fit!
 
ndio ukweli mkuu, pale mbele kuna tatizo, tunahitaji msaada , bila kusahau AM japo kwenye AM i guess klop anategemea Keita atakua fit!

Timu tuliyonayo inaweza kufanya vizuri EPL, ila UEFA inahitaji wachezaji bora zaidi ya hawa wa sasa.

Firmino ni determinant kubwa sana kwenye hii timu, kama atarudi form na Keita asiwe na majeruhi, kiungo tunaweza kusamehe, ila beki ni habari nyingine aisee.
 
Jurgen Klopp:

“I never looked like my father my whole life. I looked like my mother. All of a sudden, “It’s my dad!”. Really crazy. But the support never stops.

My dad died four months before I became a manager. That’s hard, to be honest, from time to time. What makes it really strange is, now I’m 53, if I sit in a specific angle and look in the mirror, I am scared to death because I look exactly like my father.”
FB_IMG_1596626699555.jpg
 
Timu tuliyonayo inaweza kufanya vizuri EPL, ila UEFA inahitaji wachezaji bora zaidi ya hawa wa sasa.

Firmino ni determinant kubwa sana kwenye hii timu, kama atarudi form na Keita asiwe na majeruhi, kiungo tunaweza kusamehe, ila beki ni habari nyingine aisee.
ngoja tuone, ila nimeona kops wengi hata wale die hard wanaongelea cb, cover ya robo, na striker.........

tatizo hatujui klop anawaza nini, mana nae yule akishawaamini wachezaji wake huwa mgumu sana kugeuka!
 
Jurgen Klopp:

“I never looked like my father my whole life. I looked like my mother. All of a sudden, “It’s my dad!”. Really crazy. But the support never stops.

My dad died four months before I became a manager. That’s hard, to be honest, from time to time. What makes it really strange is, now I’m 53, if I sit in a specific angle and look in the mirror, I am scared to death because I look exactly like my father.”View attachment 1527822
anaogopa nini sasa!
 
Liverpool are exploring a player plus cash deal to buy JAMAL LEWIS as Norwich are understood to be interested in Left back Yasser Larouci,who Liverpool have already made available.
SKYSPORTS
 
FSG wajanja kuliko Shetani 😂😂

Walitumwagia mihela ya kufa Mtu ya kuwasajili Fabinho, Alisson, Keita, VVD, OX na Salah tukaona Yes sasa na sisi tumeingia kwenye kundi la kununua Top Players na sio tena kina Voronini 😀😀

Dadeki kumbe waliplan kabla kuwa misimu 5 mbele hawanunui tena mchezaji 😂😂😂

Sasahivi wanatutupia Vitoto vya £3M tu kwa kisingizio cha Future plan 😂😂😂

Hivi present hatuihitaji sisi ni wazee wa future tu 😂😂

Kama bado kuna Wanaoamini kuwa alichotufanya Atletico Madrid ni bahati mbaya na sio red light kwetu basi kazi ipo! 😂

Washabiki wenzangu tuukubali ukweli kuwa AM hakutufunga kwa bahati mbaya bali ule ndiyo uwezo wetu kwasasa 😂😂

Tusajili tu sio kila siku Ijumaa
 
FSG wajanja kuliko Shetani

Walitumwagia mihela ya kufa Mtu ya kuwasajili Fabinho, Alisson, Keita, VVD, OX na Salah tukaona Yes sasa na sisi tumeingia kwenye kundi la kununua Top Players na sio tena kina Voronini

Dadeki kumbe waliplan kabla kuwa misimu 5 mbele hawanunui tena mchezaji

Sasahivi wanatutupia Vitoto vya £3M tu kwa kisingizio cha Future plan

Hivi present hatuihitaji sisi ni wazee wa future tu

Kama bado kuna Wanaoamini kuwa alichotufanya Atletico Madrid ni bahati mbaya na sio red light kwetu basi kazi ipo!

Washabiki wenzangu tuukubali ukweli kuwa AM hakutufunga kwa bahati mbaya bali ule ndiyo uwezo wetu kwasasa

Tusajili tu sio kila siku Ijumaa
aisee wakiendelea na mtindo wa kusajili wachezaji wa mia mbili tutaachwa tena fsta, hawa wamarekani wanadhani liverpool ni boston red sox nyingine!
 
FSG wajanja kuliko Shetani 😂😂

Walitumwagia mihela ya kufa Mtu ya kuwasajili Fabinho, Alisson, Keita, VVD, OX na Salah tukaona Yes sasa na sisi tumeingia kwenye kundi la kununua Top Players na sio tena kina Voronini 😀😀

Dadeki kumbe waliplan kabla kuwa misimu 5 mbele hawanunui tena mchezaji 😂😂😂

Sasahivi wanatutupia Vitoto vya £3M tu kwa kisingizio cha Future plan 😂😂😂

Hivi present hatuihitaji sisi ni wazee wa future tu 😂😂

Kama bado kuna Wanaoamini kuwa alichotufanya Atletico Madrid ni bahati mbaya na sio red light kwetu basi kazi ipo! 😂

Washabiki wenzangu tuukubali ukweli kuwa AM hakutufunga kwa bahati mbaya bali ule ndiyo uwezo wetu kwasasa 😂😂

Tusajili tu sio kila siku Ijumaa

Mkuu Gomez na adrian wanahitaji mbadala wao, hawa watatucost sana msimu ujao tusipoingia sokoni.
 
Kuna muda nawaza sana kuhusu usajili, ila najipa moyo kwamba hata msimu ulioisha hatukusajili na mambo yamejipa.

Binafsi nikifanya rejea kwenye UEFA, kuna muda naona kabisa tumechukua PL si kwa ubora sana, bali ni kwa ubovu wa wapinzani.

Tusipoimarisha tutateseka sana msimu ujao.
Mkuu huo ndio ukweli kuntu...

Kuumia kwa Laporte kuliwagharimu mno washindani wetu kiasi walijutia kumwachia Vincent aodoke... Hayo mawili tu ndio kigezo cha jamaaa kupoteana.. Sasa wameanza kazi usajili moto moto...

Sasa kwetu mzee baba ni muda wa kukaa mkao wa kusubiri na huku media nyingi za majuu zikidai kwamba tupo vizuri bila hata kusajili na eti tumeshinda ubingwa huu bila kuingia sokoni sana mwaka jana mwezi 6 2019 na January 2020 kama wengine...

Ukweli ni kwamba tunihitaji usajili ili kwenda sawa na wenzetu..

Imagine Manchester City pale walipo wanadai wachezaji watano usajili ndio wawe kamili lol..

Ukweli tuna bahati pia ya wachezaji wetu kutoumia mara kwa mara.. Kama vile VVD, Trent, Salah nk wamekua na msimu bora kabisa.. sasa yajayo hatuyajui kabisa ndugu..

Tulipo sasa👇👇👇

Naona leo magazeti mengi Jamal Lewis huyu ni one for the future hana hata assist moja msimu mzima.. Labda chini ya Klopp atabadilika..

YNWA
 
Oya nyie liverkuku aya njooni mtazame vidume vikiwawakilisha SAA 4 nyie si mshatolewa
 
Kuna muda nawaza sana kuhusu usajili, ila najipa moyo kwamba hata msimu ulioisha hatukusajili na mambo yamejipa.

Binafsi nikifanya rejea kwenye UEFA, kuna muda naona kabisa tumechukua PL si kwa ubora sana, bali ni kwa ubovu wa wapinzani.

Tusipoimarisha tutateseka sana msimu ujao.
Pep katika ubora wake kashapata wawili Torres kutoka Valencia ni winga na beki machachari Ake mwenye uzoefu wa EPL..

Yetu macho na masikio 🤔🤔🤔🤔

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom