Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Dah, usinikumbushe huo mpunga wa Ozil unaniumiza sana
Na hahami kwenda Westham au Hather Barlin akaishia kulipwa £70K kwa wiki, atang'ang'ania hapohapo Arsenal kula Minoti ya kufa Mtu mpaka mkataba wake umalizike 😂😂

